Washindi wa Mchongo Pesa ni halali au uhuni unafanyika?

Washindi wa Mchongo Pesa ni halali au uhuni unafanyika?

koba lee

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2016
Posts
981
Reaction score
1,606
Wakuu habari za majukumu,

Nisiwachoshe nidumbukie kwenye mada. Najua wengi hamko tayari kukiri ila ni ukweli kua wengi huwa tunacheza hii michezo ya kubahatisha ukiwemo huu wa mchongo pesa. Sasa tatizo ni kua mbona wanashinda wengine?

Mimi nina entries zaidi ya 120 lakini kushinda sishindi, vp wewe mdau mwenzangu hua haikufikirishi na kuanza kuhoji ukweli wa hii kitu. Inawezekana hii ya kuitwa Clouds Media imetugeuza njia ya kupiga hela?

Ebana kama ushawahi kushinda naomba uje humu uandike hata comment fupi tu
Asante.
 
Wakuu habari za majukumu,
Nisiwachoshe nidumbukie kwenye mada. Najua wengi hamko tayari kukiri ila ni ukweli kua wengi huwa tunacheza hii michezo ya kubahatisha ukiwemo huu wa mchongo pesa. Sasa tatizo ni kua mbona wanashinda wengine? Mimi nina entries zaidi ya 120 lakini kushinda sishindi, vp wewe
Ndio maana ya bahati nasibu, unaweza kucheza hata kwa miaka 20 na usibahatike kushinda na mwingine akacheza mara moja tu akashinda.

Ndio maana kwenye dini hiyo michezo ni haramu.
 
Me nakushaur bro tafuta pesa yako kwa niia halali Mungu atakubariki Zaid achana na maswala ya betting we mwenyew jiulze umekula Mara ngapi tangu uanze utajikuta pesa unayopoteza unaweza kupata hata mtaji wa genge kuliko unachokula..Think Twice!!
 
Hao jamaa ni wahuni sana, twende taratibu kwa siku wanaweza toa hadi 8m sasa piga mara 30 unapata 240m kwa mwezi[emoji28][emoji28].

Wanacheza na akili zetu kwamba kwa mwezi Watu 240,000 wanacheza so hapo hujapiga hesabu za kodi na faida yao. Unakuja kugundua hapo ni mchongo na hakuna pesa hapo ila wajinga ndo waliwao[emoji28]
 
Hao jamaa ni wahuni sana, twende taratibu kwa siku wanaweza toa hadi 8m sasa piga mara 30 unapata 240m kwa mwezi[emoji28][emoji28].

Wanacheza na akili zetu kwamba kwa mwezi Watu 240,000 wanacheza so hapo hujapiga hesabu za kodi na faida yao. Unakuja kugundua hapo ni mchongo na hakuna pesa hapo ila wajinga ndo waliwao[emoji28]
Kwani unadhani wanaochezesha bahati nasibu hawajalenga faida?
Lengo ni kuingiza faida wanachotoa na kinachobaki ni mbingu na ardhi hakuna upigaji hapo hiyo ni biashara tu
 
Mara100 abet tu[emoji28]
Ndio yale Yale mkuu we mwanaume ulishaambiwa utakula kwa jasho so Pambana....In short Betting inakuweka mbali na imani ya kumuamini Mungu coz unaamini in your real sense kwamba kuptia Kamal I will be successful kitu ambacho not true But the principal of God anataka umuamini kuwa atakupa pesa ya kiwango chako kutokana na uhitaji kwa kufanya kazi kwa bidii...shida tunapenda Excess money kwa ajil ya matanuzi na anasa.
 
Ndio yale Yale mkuu we mwanaume ulishaambiwa utakula kwa jasho so Pambana....In short Betting inakuweka mbali na imani ya kumuamini Mungu coz unaamini in your real sense kwamba kuptia Kamal I will be successful kitu ambacho not true But the principal of God anataka umuamini kuwa atakupa pesa ya kiwango chako kutokana na uhitaji kwa kufanya kazi kwa bidii...shida tunapenda Excess money kwa ajil ya matanuzi na anasa.

Oya kama unahela wewe bet kila mtu Mungu anajua riziki yake ndomana kuna anae bet anashinda mpaka 100m hio ni bahat au riziki yake ilishapangwa na kufanikiwa inataka akili na ujanja. Si bora mtu anaebet kuliko anaekula rushwa uyo akishinda ni jasho lake na anaekula rushwa??. Acha propaganda
 
Oya kama unahela wewe bet kila mtu Mungu anajua riziki yake ndomana kuna anae bet anashinda mpaka 100m hio ni bahat au riziki yake ilishapangwa na kufanikiwa inataka akili na ujanja. Si bora mtu anaebet kuliko anaekula rushwa uyo akishinda ni jasho lake na anaekula rushwa??. Acha propaganda
Katika maisha Always Be you and don't compare!!
Huyo anayekula 100m do you know the secret behind mpaka kula kiasi chote hko na Kama Ni ujanja kwann wewe hujawah kula pesa Kama hyo?

Betting ni kamali na hata dini imekataza ndo Mana hata Ali kiba alikataa Kaz ya ku promote betting ila Mwijaku kutokana na Tamaa ya pesa akaamua kuchukua dili fatilia interview zake.

Amnaga riziki ya kucheza kamali Ni sawa na kama kibaka tu anakaba apate ela ambayo siyo halal.

Kama una Kaz komaa nayo ikupe mafanikio Kama huna Muombe Mungu tafuta connection and work hard utatoboa tu hata ss tultoka huko.
 
Ndio maana ya bahati nasibu, unaweza kucheza hata kwa miaka 20 na usibahatike kushinda na mwingine akacheza mara moja tu akashinda.

Ndio maana kwenye dini hiyo michezo ni haramu.
Bado sijakubali asee
 
Mjini watu wanaishi kwa kutumia akili sana.

Cha ajabu sasa wanaoumizwa ni masikini kwani hawana uelewa huo na wanatamani kutoboa haraka, wakiona fursa kama hiyo wanairukia kumbe wanadondokea shimoni.
Kama mimi.
 
Na hizi kamali zimezidi maredioni
Clouds -mchongo pesa
E-FM mshindo -millionea
Times Fm -Tobo

Yaani hatari
Leo ndo kuna Jackpot ya mil. 9 na bodaboda. Nisiposhinda hii sichezi tena.
 
Back
Top Bottom