KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Napenda kukuhakikishia kuwa utacheza tena. Michezo hiyo ni kama mtego, na principle ya mitego yote ni moja tu, ni rahisi kuingia lakini ngumu kutoka.Leo ndo kuna Jackpot ya mil. 9 na bodaboda. Nisiposhinda hii sichezi tena.
Ni sahihi, huwa wanatumia chambo ya washindi kadhaa ili kuvutia wengine wacheze.Kamali ni kama michezo ya pyramid. Wanakusanya fedha nyingi kwa watu na kumlipa mmoja wa hao waliochangia kiasi fulani cha pesa ambacho kiukweli ni kiduchu. Ile baki inarudi kwao na faida yake ni kubwa sana. Akili mukichwa, kazi yao ni kukusanya tu pesa na kukuhakikishia kuwa waweza kushinda ukicheza zaidi na zaidi. Na kwa bahati mbaya michezo hii hujenga uraibu, ukishaanza kuacha ni kazi, hasa ukiwaona wenzio ambao wamefanikiwa kupata zawadi hizo.
Mkuu sichezi tena nshaamua,maana hii sio sawa,natamani niwasisitize watanzania wote tupuuzie hii michezo inaweza kukutia kwenye umaskini zaidi.Napenda kukuhakikishia kuwa utacheza tena. Michezo hiyo ni kama mtego, na principle ya mitego yote ni moja tu, ni rahisi kuingia lakini ngumu kutoka.
Asante kwa uamuzi wako wa busara na Mungu akupatie hitahi la moyo wako. Amina.Mkuu sichezi tena nshaamua,maana hii sio sawa,natamani niwasisitize watanzania wote tupuuzie hii michezo inaweza kukutia kwenye umaskini zaidi.
Hauwezi kuacha kirahisi ivyooLeo ndo kuna Jackpot ya mil. 9 na bodaboda. Nisiposhinda hii sichezi tena.
Jiulize kuhusu ile Jackpot ya Sportspesa. Ina mwaka sasa haijapata Mshindi!Mjini watu wanaishi kwa kutumia akili sana.
Cha ajabu sasa wanaoumizwa ni masikini kwani hawana uelewa huo na wanatamani kutoboa haraka, wakiona fursa kama hiyo wanairukia kumbe wanadondokea shimoni.
Mmmhhh!!!Oya kama unahela wewe bet kila mtu Mungu anajua riziki yake ndomana kuna anae bet anashinda mpaka 100m hio ni bahat au riziki yake ilishapangwa na kufanikiwa inataka akili na ujanja. Si bora mtu anaebet kuliko anaekula rushwa uyo akishinda ni jasho lake na anaekula rushwa??. Acha propaganda
Hata dini zenyewe ni kamali tosha.....Katika maisha Always Be you and don't compare!!
Huyo anayekula 100m do you know the secret behind mpaka kula kiasi chote hko na Kama Ni ujanja kwann wewe hujawah kula pesa Kama hyo?
Betting ni kamali na hata dini imekataza ndo Mana hata Ali kiba alikataa Kaz ya ku promote betting ila Mwijaku kutokana na Tamaa ya pesa akaamua kuchukua dili fatilia interview zake.
Amnaga riziki ya kucheza kamali Ni sawa na kama kibaka tu anakaba apate ela ambayo siyo halal.
Kama una Kaz komaa nayo ikupe mafanikio Kama huna Muombe Mungu tafuta connection and work hard utatoboa tu hata ss tultoka huko.