WASHINGTON DC: Marekani yakubali kutuma vifaru 31 aina ya M1 Abrams nchini Ukraine

WASHINGTON DC: Marekani yakubali kutuma vifaru 31 aina ya M1 Abrams nchini Ukraine

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Msemaji wa White house amesema kwamba miezi michache ijayo Marekani itatuma vifaru aina ya M1 Abrams nchini Ukraine. Wanajeshi wa Ukraine wataanza kupatiwa Mafunzo ya vifaru hivyo nchini Poland kwa muda wa miezi 3.

Hayo yanajiri siku moja baada ya Ujerumani kukubali kutuma vifaru 29 aina ya Leopard 2 nchini Ukraine. Nchi za Poland, Finland na Canada zikiwa tayari zimetuma Maombi rasmi kwa Ujerumani ya kuziruhusu kutuma vifaru vya Leopard nchini Ukraine.

Maoni yangu
Kwanini vifaru vichukue muda mrefu hivyo Kufika Ukraine? Ujerumani imesema Vifaru vyake chapa ya Leopard vitawasili mwezi wa nne nchini Ukraine baada ya Tangazo Hilo huku Vifaru vya Marekani aina ya M1 Abrams vikitarajiwa kuwasili nchini Ukraine mwezi wa 6.

Pia, Marekani ina vifaru vya M1 Abrams zaidi ya 3,000 ambavyo viko Store vinakula vumbi tu havina Kazi. Kwanini watume vifaru 31 tu? Au wanaidharau jeshi la Urusi mpaka lishindwe na vifaru vichache tu vya Magharibi?

Time will tell.
 
Nchi za magharibi kupeleka silaha Ukraine wasichukulie kama jambo la hisani bali wajibu wao.

Bila wao leo Ukraine isingelikuwa katika matatizo iliyonayo.

Wakailaghai Ukrein kukabidhi silaha zake za Nyuklia kwa Urusi. leo ingelikuwa na hizo silaha Ukraine ingelibaki kuwa kama Noth Korea kwa Marekani.
 
Hivo vifaru ingia youtube ucheki CV zake.

Vilitumika Afghan na Iraq halafu sasa wana generation 3 ambayo inaweza kumudu sehemu mazingira yoyote.

Pili ni computer system yaani mnaweza kuwa wawili tu dereva na wewe mkamaliza jambo.

Spidi yake kukimbia sio ya kitoto inafukuzana V8 ya TISS .

Kwenye mafuta ni kama carina TI.

Inayoweza kushambulia kifaru ni elikopta ambazo Marekani anazo sikumbuki model.

RPG za mazoea si rahisi kuharibu.

Ina rada unaweza kusema ndege ya vita.

Kuna zile RPG za kisasa zinaweza kuzuiwa kulipua kifaru.

USA baby lazima mtoto wangu atimize ndoto zake huko
 
Naona raia tunaponda process za vifaru hivyo kuanza kazi hapo Ukraine. Tunajiona tunajua kuliko serikali za hayo mataifa.

Ninachokiona hapa ni kwamba, bado ngoma mbichi kabisa. NATO wana silaha nyingi kuzifikisha Ukraine, upande wa russia ameshatumia pengine ya 80% ya uwezo wake wa kijeshi, na alifanya hivi ili awahi kuiteka Ukraine ila ndo hivyo ameshachemka.

NATO walishasema nia yao ni kuona vita inachukua muda mrefu zaidi, mambo yote haya wanayofanya sio kwa bahati mbaya au kukosea, wao ndo wanajua kesho ya vita ikoje.
 
Hivo vifaru ingia youtube ucheki Cv zake.

Vilotumika Afghan na Iraq alafu sasa wana generation 3 ambyo inaweza kumudu sehemu mazingira yoyote.

Pili ni computer system yani mnaweza kuwa wawili tu dereva na wewe mkamaliza jambo.

Spidi yake kukimbia sio ya kitoto inafukuzana V8 ya TISS .

Kwenye mafuta ni kama carina TI.

Inayoweza kushambulia kifaru ni elikopta ambazo marekani anazo sikumbuki model.

RPG za mazoea si rahisi kuharibu.

Ina rada unaweza kusema ndege ya vita.

kuna zile RPG za kisasa zinaweza kuzuiwa kulipua kifaru.

USA baby lazima mtoto wangu atimize ndoto zake huko
Range ya kilometre 500 ni Dar-Same 🤣🤣🤣!!!
 
Hivo vifaru ingia youtube ucheki Cv zake.

Vilotumika Afghan na Iraq alafu sasa wana generation 3 ambyo inaweza kumudu sehemu mazingira yoyote.

Pili ni computer system yani mnaweza kuwa wawili tu dereva na wewe mkamaliza jambo.

Spidi yake kukimbia sio ya kitoto inafukuzana V8 ya TISS .

Kwenye mafuta ni kama carina TI.

Inayoweza kushambulia kifaru ni elikopta ambazo marekani anazo sikumbuki model.

RPG za mazoea si rahisi kuharibu.

Ina rada unaweza kusema ndege ya vita.

kuna zile RPG za kisasa zinaweza kuzuiwa kulipua kifaru.

USA baby lazima mtoto wangu atimize ndoto zake huko

RPG haziwezi sawa vipi kukusu anti tank mine na stinger mkuu maana hayo madude shuguli yake si ndogo yaki target kifaru.
 
Kweli kabisa, yaani kwa jinsi hizi story za vifaru zinavyotajwa, utadhani vipo tayari uwanja wa vita.

Kumbe ni habari ya mwezi wa 6 huko.

ushawahi ona vinafanyiwa show off kwenye pared? wenzio wanakuambia specification wanakuachie mwenyewe uyaone.
mrusi mwenyewe kashaziclassify kama silaha nzito. wew mrusi wa mkogamimba umekazania propaganda.
 
Back
Top Bottom