Mrengwa wa kulia
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,091
- 3,695
Hio miezi mitatu urusi atakuwa anawasubiria tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]??? Poleni sana
Kama walimwambia tarehe flan tutaanza counteroffensive kherson na kharkiv waka subiria watashindwaje kumsubiria vimiezi vitatu?
Kama waliweza kusubir HIMARS zije watashindwa nn kumsubiria Baba ibrahim na chui kuna ndoige wanaandaliwa wakae kwa kutulia.