sarah6
Senior Member
- May 24, 2013
- 134
- 57
Fikra potofu tu unamjua faraja kotta,mama wawil je(kln),yule miss mtznia mwenye asil ya kihindi,miss africa(n.sumar) na yule mtangazaj wa chanel 10 tazama tanzani,tafakar kidogo siwatetei ila wapo wanaojiheshimu na ukizingatia ile ajira kimtindo.
mtoa mada ameongelea wa 2006 ndo wengi wenye skendo, hao uliowataja ni wa miaka mingine