Washiriki wa Miss Tanzania 2006 hawaoleki? Ni watu wa media sana na ufuska?

Washiriki wa Miss Tanzania 2006 hawaoleki? Ni watu wa media sana na ufuska?

Khaaaaa! Kweli umepitwa na mengi sana.Kwahiyo hata alivyozimia hujui?
Kiukweli huyu au Jokate ndio waliostahili ndio hivyo tena.

Lisa na Wema walikua best hasa Wema uwoya alikua bonge Jokate andunje uwoya pamoja na kutoa pachuchi akawa watano.
 
Khaaaaa! Kweli umepitwa na mengi sana.Kwahiyo hata alivyozimia hujui?
Kiukweli huyu au Jokate ndio waliostahili ndio hivyo tena.

Yaani ndo nasikia humu kweli vile.
Hayo mashindano ya kina Wema yalinipita. Nadhani nilikuwaga shule ndo maana sikuwajua washiriki wake, hata huyo Lisa mwenyewe nimeanza kumjua kupitia vitu vingine baadae ndo nikafahamu kuwa aliwahi kugombea.
 
Yaani ndo nasikia humu kweli vile.
Hayo mashindano ya kina Wema yalinipita. Nadhani nilikuwaga shule ndo maana sikuwajua washiriki wake, hata huyo Lisa mwenyewe nimeanza kumjua kupitia vitu vingine baadae ndo nikafahamu kuwa aliwahi kugombea.

Basi pole mwaya.Mimi nilikua std 7 kipindi hicho na niliangalia mwanzo mwisho.Huu umbea nimeanza zamani sana acha tu.
Ndio hivyo alizimia mwenzangu!
 
Bado wanasubiri muujiza wao utendeke wapate waume
 
Hii ndo Top Five ya Miss Tanzania 2006 katika picha. Picha kutoka Maktaba.
Dah totoz zilikuwa kali sana wakati huo nyakati hizo nilikuwa alosto kinoma, zingekuwa zinajirudia walah bilah ningekufa na mmoja wao.
 
Basi pole mwaya.Mimi nilikua std 7 kipindi hicho na niliangalia mwanzo mwisho.Huu umbea nimeanza zamani sana acha tu.
Ndio hivyo alizimia mwenzangu!

Duh we kiboko!
Std 7 but mpaka leo takwimu zimo kichwani?? Teh ipo siku utasutwa mdogo wangu! Lol
 
Duh we kiboko!
Std 7 but mpaka leo takwimu zimo kichwani?? Teh ipo siku utasutwa mdogo wangu! Lol

Hatari sana.Na kiukweli nilianza kufuatilia miss Tanzania tokea ya K-Lyn!
Basi tu tuishie hapohapo...lol
 
duh!! aisee, shikamoo jf. mahali ambapo mtu na mama yake wanapiga umbea bila kujuana

Kabisa kabisa! Umri sio kigezo katika umbea bwana....wenyewe tunaelewana na kufurahia.
 
Basi pole mwaya.Mimi nilikua std 7 kipindi hicho na niliangalia mwanzo mwisho.Huu umbea nimeanza zamani sana acha tu.
Ndio hivyo alizimia mwenzangu!
Nifah wallahi uanze kuniamkia!
2006 uko darasa la 7B?
 
Back
Top Bottom