Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Miss Tanzania 2006 crew nzima iliyoshiriki hii hapa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss Tanzania 2006 crew nzima iliyoshiriki hii hapa...
![]()
Aseee...umenikumbusha paradise hotel bagamoyo...hapo walipo ma miss
kwa hawa mabinti wote, kuna ambaye alikuwa under 20???
Najaribu kutafakari real age ya wema sepetu....
Mmh cna uhakika ila ndio alikua katoka shule nadhani academic pale..
kwa hawa mabinti wote, kuna ambaye alikuwa under 20???
Najaribu kutafakari real age ya wema sepetu....
Wema ndo alikua mdogo Tena alikua hajafikisha 18 old ilikua bado miezi.
Wema ndo alikua mdogo Tena alikua hajafikisha 18 old ilikua bado miezi.
that means alivunja sheria ya kushiriki miss Tz ama vipi?
hebu nijuze, under 18 anaruhusiwa kushiriki hili shindano?
that means alivunja sheria ya kushiriki miss Tz ama vipi?
hebu nijuze, under 18 anaruhusiwa kushiriki hili shindano?
Ha kuvunja maana ilikua bado miezi kufikisha umri kamili kwahyo wakamuacha a shiriki.
duh!
mkuu, mwaka 1995 nilikuwa bado nachunga kondoo na mbuzi wa baba yangu mpenzi! Hapo hata Kiswahili nilikuwa nakisikia kwa shida sana tena kwenye radio za Kenya!:lol::lol::lol:
Nilikuwa mdogo sana kumfahamu Emily A.
Nimeona info zake google inasemekana alifukuzwa na shule kabisa mtoto wa watu...
![]()
Nifah wallahi uanze kuniamkia!
2006 uko darasa la 7B?
Mmmmh,haya dada shkamoo!
hahahhahaah,usigune mpe tu shikamoo yake kiroho safii
duh!
mkuu, mwaka 1995 nilikuwa bado nachunga kondoo na mbuzi wa baba yangu mpenzi! Hapo hata Kiswahili nilikuwa nakisikia kwa shida sana tena kwenye radio za Kenya!:lol::lol::lol:
Nilikuwa mdogo sana kumfahamu Emily A.
Nimeona info zake google inasemekana alifukuzwa na shule kabisa mtoto wa watu...
![]()
Shindano hili niliuzulia, mdada huyu kwa kweli mtu safi sana , tupo naye kwenye mghahawa wake msasani, sasa hivi yuko na mmarekani jamaa mnene balaa, sijui anaipataje k, afadhali aliachana na Italiano ambaye ngumi zilikuwa aziishi, Ila tulikosa uondo maana alikuwa anapika kiti moto balaa, ukila na ugari utatamani ulale pale.
Sawa sawa karibu na Wallet Pub, au karibu na Polisi osterbayKimweri road?