Fikra potofu tu unamjua faraja kotta,mama wawil je(kln),yule miss mtznia mwenye asil ya kihindi,miss africa(n.sumar) na yule mtangazaj wa chanel 10 tazama tanzani,tafakar kidogo siwatetei ila wapo wanaojiheshimu na ukizingatia ile ajira kimtindo.
Sikupendaga tu u'missi yani,nilishauriwa sanaa nishiriki,
Mmmh! Cjakuckia vzr! Ndo maana watu wanajaa pm kukusalimia? Nami naja huko!
Aunt aliwah kushiriki miss tz ila sio mwaka 2006 ni b4 that kajala hajawah kushiriki na ule mwili asingefaa hata
haya,mambo vipi lakn
NimekusomaHivi Nyalandu kabla ya kuwa na Faraja status yake kindoa ilikuwaje!!!!!!!
K lyn muache tu apumzike kwa babu sa hizi unaangalia pia opportunities za kimaisha
Nancy yule jamaa si alikuwa mme wa mtu kamficha ficha we mwishowe akaona yote ya nini akajilipua tu
wapo wanaojiheshim na wapo magarasa pia
Okay, mi nkadhani bongo movie ndo imemtoa...
na irene uwoya
Fikra potofu tu unamjua faraja kotta,mama wawil je(kln),yule miss mtznia mwenye asil ya kihindi,miss africa(n.sumar) na yule mtangazaj wa chanel 10 tazama tanzani,tafakar kidogo siwatetei ila wapo wanaojiheshimu na ukizingatia ile ajira kimtindo.
Kweli Aunt Ezekiel alikuwa miss Mwanza 2006
Source:Mkasi EATV
Irene uwoya alishika namba 5 mwaka 2006...nasikia alizimia alivyorudi backstage nadhani alijua atachukua taji
Hii ndo Top Five ya Miss Tanzania 2006 katika picha. Picha kutoka Maktaba.
Leo ndo nimejua kuwa Uwoya aliwahi kushiriki umiss!