Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #181
ahsante chiefAise pole Sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahsante chiefAise pole Sana mkuu
mambo ni magumu chiefAcha kupata motisha kwa kuangalia watu wengine, utajiona kama unakosea kumbe hujuia nyuma ya pazia
Sasa wewe mwajiriwa unataka ujifananishe na wafanyabiashara chifu?ahsante chief, ndio mimi ni mwalimu wa kiswahili na civics
hiio ni professional yangu not job occupation.Sasa wewe mwajiriwa unataka ujifananishe na wafanyabiashara chifu?
Ajira zinapoteza future millionaires and billionaires kila mwaka
Hakuna tajiri aliyeajiriwa
Unadeal na nini?hiio ni professional yangu not job occupation.
upo sajihi chief japo miongoni mwao wengine ni watumishi wa umma.
na huyo mfanyabiashara awali alikua mtumish pi chief
nafanya biashara ya machungwaUnadeal na nini?
Komaa mkuunafanya biashara ya machungwa
Komaa ukuze mtaji, ufanye diversification kwenye biashara mbalimbali hata kama ni ndogo ndogo ili kuongeza mapatonafanya biashara ya machungwa
shukrani mkuuKomaa ukuze mtaji, ufanye diversification kwenye biashara mbalimbali hata kama ni ndogo ndogo ili kuongeza mapato
Kweli maweedSali sala ya toba UJinyonge mkuu tumewachoka watu wenye mitazamo mavi
Sasa wewe mwajiriwa unataka ujifananishe na wafanyabiashara chifu?
Ajira zinapoteza future millionaires and billionaires kila mwaka
Hakuna tajiri aliyeajiriwa
Kwa nchi za wenzetu hakuna kitu kunalia kama talentRonaldo je?
ahsante chiefPole sana mkuu