Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #141
nime msambazia Cv nasikizia resultsKuwa chawa wa mshikaji mmoja, unaweza kupewa shavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nime msambazia Cv nasikizia resultsKuwa chawa wa mshikaji mmoja, unaweza kupewa shavu.
sahihi chiefAkiacha huo ualimu si atakufa njaa
sahihi chiefBinidamu tumeumbwa kuhangaika na kuzoea. Wewe ndugu yangu hauna umasikini bali umeizoea hali uliyonayo. Ukikizoea kitu au hali unaiona ya kawaida sana na mwishowe haina thamani. Na akili yako ikikosa kuchangamka inatafuta changamoto mwishowe unatafuta kasoro kwenye mahali ambapo hamna kasoro. Unachotakiwa kufanya ni kuamka na kupambana mpaka uzoee kupambana na ubadilike. Kuna watu wamezoea ku hustle mpaka wakikaa siku moja tu nyumbani wanaumwa. Ukishazoea kupambana hautochoka maana utakuwa umeshazoea hali ya kutafuta na kuwajibika. Maana akili zetu zimeumbwa zichakarike na zizoee vitu vipya kila siku. Jilinganishe na wewe wa jana yako usijilinanishe na mtu mwingine. Jiulize kama Bakhresa angekuwa anajilinganishe na wapemba wenzie angekuwa tajiri mkubwa leo hii. Maana kumiliki mjengo Masaki tu angeridhika na si kuongeza boti za Azam au kumiliki timu za mpira wa miguu. Jizoeshe kujifunza kitu kipya kila siku na pia jikubali na usikate tamaa. Pambana ukipiga hatua kidogo jiüpongeze kidogo then rudi katika kupambania ugali. Usibweteke ukapiga hatua kidogo halafu ukajiachia. Pumzika kidogo halafu rudi kupambania ugali. Mungu akubariki na akulinde katika upambanaji.
Namuunga mkono kwa asilimia mia moja huyu mwanajamii maana amenisaidia kuifafanunua pointi zangu hapo juu.
hahaaaUko pale Mkwanaboo nini bro!? 😲 Au Uswaa, Mkwarungo?.…. 🤔
wana wana nunua vitu kwa bei chafu. huku washkji ambao maisha yametuegemea awatupi hta Abc za kutokea.Kuna mshkaji amejipata sanaaa,nikimwomba ani assist kidogo anasema hamna shida but hakuna utekelezaji.Ila kila siku ni kunisimulia nimenunua hiki,kile n.k. tena kwa gharama kubwaaa.
Na mimi naomba msaada kidogo tu.Hamna shida na mimi napambana ipo siku yangu.
Au Nshara, Nronga, NkwesekoUko pale Mkwanaboo nini bro!? 😲 Au Uswaa, Mkwarungo?.…. 🤔
daah tupeane madiliMkuu nakusalimia nikiwa bariadi wewe endelea kukomaa na dar.
Kuna uzi wako ulitudhihaki sana watu wa mikoani naukumbuka, nakusalimu nikiwa tandahimba.daah tupeane madili
We are poor because we are poor. Ukiona we maskini ujue umejitakia.Kwahiyo kwako MAFANIKIO ni kutoa mifuko ya cement au ni Nini ? Hiyo hatua uliyopo umejiweka wewe hapo na sio Mungu
mkuu nimejitakia kuishi hvi?We are poor because we are poor. Ukiona we maskini ujue umejitakia.
Nolicomment kutoka na context ya alichokiandika mshikaji.... Ila pia ukweli ni kwamba wengi hatukomai na maisha ile kupush sanamkuu nimejitakia kuishi hvi?
umasikini ni fedheha''I don't have that type of richness. My richness is life, forever.'' - BOB MARLEY
Tuishi kwenye nukuu hii ya Bob Marley mkuu.
Alikua anao, lakini alikua akitufundisha kwamba kwenye maisha haijalishi unapitia changamoto gani, utajili mkubwa ni afya ambayo itakufanya uishi.umasikini ni fedheha
marley , alikua hana uhakika wa kula,kuvaa na pakulala?
ogopa sana mtu anaefundisha vitu ambavyo hata yeye ameshindwa kuviishi!Alikua anao, lakini alikua akitufundisha kwamba kwenye maisha haijalishi unapitia changamoto gani, utajili mkubwa ni afya ambayo itakufanya uishi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 Kama una Afya endelea kupambana ila Kwa kuwa uko weak emotianally ni vyema ukawa mbali na hao Jamaa na kwenu pia ikibidi usiende hata huko kanisani maana utakuja kujitundika Bure kisa ujinga wa kujilinganisha na kujikataa.Nimerudi nyumbani huu mwisho wa mwaka kama ilivyo jadi yetu tulio wengi.
Nimewakuta Baba na mama hali si shwari, nikicheki madogo all eyes on me, na mmoja anashughulikia mikopo ya elimu ya juu mwaka huu ila mambo bado tafrani.
Juzi tulivyoenda ibadani kukatokea mchango wa ujenzi na ukarabati wa nyumba ya ibada, daah washikaji wa rika yangu wamechangia mifuko ya cement 200, mmoja katoa cheque ya milioni 10 katika maongezi yake anamiliki kampuni ya clearing and forwarding huko mjini. Mwingine kaahidi tipa 20 za mchanga.
Hakika ibada ilifaana sana, mchungaji aliwaita wazazi wa wale washikaji pale madhabahuni na kutamka kwamba hakika mumezaa chema sana na MUNGU amebariki uzao wenu.
Hali ile ilinifanya nijiulize maswali yasiyo na mwisho kuhusu hatma ya maisha yangu pamoja na wazazi wangu.
Mungu why najitafuta lakini sijipati? Dunia hii ni ya wachache? Wazazi wangu wataishi katika umasikini huu wa kutisha hadi lini?
wakati narudi nyumbani na mama yangu kwa mguu, nikawa napitwa na wana wakiwa kwenye tinted za Black athlete crown, Ford ranger, Subaru nk, wakati mimi naendelea kupita kando ya barabara kukwepa tope la mvua hizi.
ufukara ni fedheha, hauvumiliki🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 Kama una Afya endelea kupambana ila Kwa kuwa uko weak emotianally ni vyema ukawa mbali na hao Jamaa na kwenu pia ikibidi usiende hata huko kanisani maana utakuja kujitundika Bure kisa ujinga wa kujilinganisha na kujikataa.
Nimeboresha comment yangu,Rudi Upya kusoma ndio ulete mrejeshoufukara ni fedheha, hauvumiliki