Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #121
huwa naenda kuwajulia hali wazaziKwann uriludi maskan bro ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa naenda kuwajulia hali wazaziKwann uriludi maskan bro ?
kwahio unataka kumaanisha niwe omba omba?Haya maisha ukiamua kujiua au kukata tamaa utakuwa mpuuzi tu, ombaomba wamejazana posta hawana mikono wala miguu wanaomba vishilingi ,wanakula na maisha yanaenda hawakati tamaa
Hapana mkuu,nimemaanisha ni kupambana tu,as long una nia na hukati tamaa utafanikiwakwahio unataka kumaanisha niwe omba omba?
hali ni mbaya kuliko maelezoHoi itawekwa kwenye post za jamiiforum hakika, Maana inawagusa wengi sana..
Noted chiefHapana mkuu,nimemaanisha ni kupambana tu,as long una nia na hukati tamaa utafanikiwa
bado dakika tano jahazi lizame?Mpaka hapo ni DK ya 85. Nikupambana TU
wengine hata hio mifumo kuingia hatuipati.Ukitaka kufanikiwa ukiwa Afrika hasa Tanzania lazima uwe mkwepa kodi, mhujumu uchumi, mbadhirifu, mla rushwa na upige madili ya michongo.
Watanzania wengi ni wanafiki sana, Hapa utasikia wengi wanasema mara oooh! Pambana lakini nyuma ya pazia wengi ni wahujumu uchumi..
Walio fanikiwa kihalali barani Afrika ni wachache sana kulinganisha na wengi waliofanikiwa kwa wizi wizi na janja janja.
Mifumo ya kiafrika automatically imekaa kiupigaji.
mkuu unataka kusema niridhike na hali ya ufukara?Robertinho kwenye ule uzi wako mwingine mbona tulikubaliana vizuri tu, unahitaji composure na si kitu kingine masta….
umasmkuu unataka kusema niridhike na hali ya ufukara?
Noted chiefHapana pambana mkuu umasikini ni wakuuchukia kwa nguvu zote mastaaa, ukiwa huna kitu unakuwa na mawazo magumu magumu tu yani unakuwa na hasira, kisiran yan kila aina ya upuuzi, mzee bado hujachelewa pambana, nakumbuka kuna mwaka me hadi ndugu wote tuligombana nlikuwa sina hili wala lile wao wakawa wanaona kama nakosea yan mtu unapitia magumu alafu ndugu wanaona unakosea, nlikuwa mkali nlikuwa nawachenchia mpaka nlivyofanya revolution ndio nikarud nikawa normal, nikubali kabisa nilikuwa nimevurugwa aisee acha kabisa mkuu. Hakuna kukata tamaa mkuu jichanganye masta utakuja kujipata tu one day kila kitu kitakuwa poa aisee
umas
yaah chief, naendelea kupambanaUkiona una wasiwasi na hali yako ya maisha ya sasa jua unajitambua , wapo wengi ni vijana wadogo wameshakata tamaa wanaona ni kawaida tu.
Mbaya zaidi ni pale kujilinganisha kwako na hao walifanikiwa kutakapo kufanya ukate tamaa .
Jizabe shaba ya kichwa. Manake kweli huna maana kabisaNimerudi nyumbani huu mwisho wa mwaka kama ilivyo jadi yetu tulio wengi.
Nimewakuta Baba na mama hali si shwari, nikicheki madogo all eyes on me, na mmoja anashughulikia mikopo ya elimu ya juu mwaka huu ila mambo bado tafrani.
Juzi tulivyoenda ibadani kukatokea mchango wa ujenzi na ukarabati wa nyumba ya ibada, daah washikaji wa rika yangu wamechangia mifuko ya cement 200, mmoja katoa cheque ya milioni 10 katika maongezi yake anamiliki kampuni ya clearing and forwarding huko mjini. Mwingine kaahidi tipa 20 za mchanga.
Hakika ibada ilifaana sana, mchungaji aliwaita wazazi wa wale washikaji pale madhabahuni na kutamka kwamba hakika mumezaa chema sana na MUNGU amebariki uzao wenu.
Hali ile ilinifanya nijiulize maswali yasiyo na mwisho kuhusu hatma ya maisha yangu pamoja na wazazi wangu.
Mungu why najitafuta lakini sijipati? Dunia hii ni ya wachache? Wazazi wangu wataishi katika umasikini huu wa kutisha hadi lini?
wakati narudi nyumbani na mama yangu kwa mguu, nikawa napitwa na wana wakiwa kwenye tinted za Black athlete crown, Ford ranger, Subaru nk, wakati mimi naendelea kupita kando ya barabara kukwepa tope la mvua hizi.
Uko pale Mkwanaboo nini bro!? 😲 Au Uswaa, Mkwarungo?.…. 🤔Nimerudi nyumbani huu mwisho wa mwaka kama ilivyo jadi yetu tulio wengi.
Nimewakuta Baba na mama hali si shwari, nikicheki madogo all eyes on me, na mmoja anashughulikia mikopo ya elimu ya juu mwaka huu ila mambo bado tafrani.
Juzi tulivyoenda ibadani kukatokea mchango wa ujenzi na ukarabati wa nyumba ya ibada, daah washikaji wa rika yangu wamechangia mifuko ya cement 200, mmoja katoa cheque ya milioni 10 katika maongezi yake anamiliki kampuni ya clearing and forwarding huko mjini. Mwingine kaahidi tipa 20 za mchanga.
Hakika ibada ilifaana sana, mchungaji aliwaita wazazi wa wale washikaji pale madhabahuni na kutamka kwamba hakika mumezaa chema sana na MUNGU amebariki uzao wenu.
Hali ile ilinifanya nijiulize maswali yasiyo na mwisho kuhusu hatma ya maisha yangu pamoja na wazazi wangu.
Mungu why najitafuta lakini sijipati? Dunia hii ni ya wachache? Wazazi wangu wataishi katika umasikini huu wa kutisha hadi lini?
wakati narudi nyumbani na mama yangu kwa mguu, nikawa napitwa na wana wakiwa kwenye tinted za Black athlete crown, Ford ranger, Subaru nk, wakati mimi naendelea kupita kando ya barabara kukwepa tope la mvua hizi.
Binidamu tumeumbwa kuhangaika na kuzoea. Wewe ndugu yangu hauna umasikini bali umeizoea hali uliyonayo. Ukikizoea kitu au hali unaiona ya kawaida sana na mwishowe haina thamani. Na akili yako ikikosa kuchangamka inatafuta changamoto mwishowe unatafuta kasoro kwenye mahali ambapo hamna kasoro. Unachotakiwa kufanya ni kuamka na kupambana mpaka uzoee kupambana na ubadilike. Kuna watu wamezoea ku hustle mpaka wakikaa siku moja tu nyumbani wanaumwa. Ukishazoea kupambana hautochoka maana utakuwa umeshazoea hali ya kutafuta na kuwajibika. Maana akili zetu zimeumbwa zichakarike na zizoee vitu vipya kila siku. Jilinganishe na wewe wa jana yako usijilinanishe na mtu mwingine. Jiulize kama Bakhresa angekuwa anajilinganishe na wapemba wenzie angekuwa tajiri mkubwa leo hii. Maana kumiliki mjengo Masaki tu angeridhika na si kuongeza boti za Azam au kumiliki timu za mpira wa miguu. Jizoeshe kujifunza kitu kipya kila siku na pia jikubali na usikate tamaa. Pambana ukipiga hatua kidogo jiüpongeze kidogo then rudi katika kupambania ugali. Usibweteke ukapiga hatua kidogo halafu ukajiachia. Pumzika kidogo halafu rudi kupambania ugali. Mungu akubariki na akulinde katika upambanaji.Nimerudi nyumbani huu mwisho wa mwaka kama ilivyo jadi yetu tulio wengi.
Nimewakuta Baba na mama hali si shwari, nikicheki madogo all eyes on me, na mmoja anashughulikia mikopo ya elimu ya juu mwaka huu ila mambo bado tafrani.
Juzi tulivyoenda ibadani kukatokea mchango wa ujenzi na ukarabati wa nyumba ya ibada, daah washikaji wa rika yangu wamechangia mifuko ya cement 200, mmoja katoa cheque ya milioni 10 katika maongezi yake anamiliki kampuni ya clearing and forwarding huko mjini. Mwingine kaahidi tipa 20 za mchanga.
Hakika ibada ilifaana sana, mchungaji aliwaita wazazi wa wale washikaji pale madhabahuni na kutamka kwamba hakika mumezaa chema sana na MUNGU amebariki uzao wenu.
Hali ile ilinifanya nijiulize maswali yasiyo na mwisho kuhusu hatma ya maisha yangu pamoja na wazazi wangu.
Mungu why najitafuta lakini sijipati? Dunia hii ni ya wachache? Wazazi wangu wataishi katika umasikini huu wa kutisha hadi lini?
wakati narudi nyumbani na mama yangu kwa mguu, nikawa napitwa na wana wakiwa kwenye tinted za Black athlete crown, Ford ranger, Subaru nk, wakati mimi naendelea kupita kando ya barabara kukwepa tope la mvua hizi.
Namuunga mkono kwa asilimia mia moja huyu mwanajamii maana amenisaidia kuifafanunua pointi zangu hapo juu.Hauna pakulala -homeless
Unakosa Milo mitatu 3 kwa siku
Hauna Afya imara umelazwa au upo ICU
Hauna mavazi unatembea uchi
Kama una hivyo vitu na unalalamika kuwa wewe ni Masikini Basi huo umasikini unaouimba utakuvaa na utapoteza Kila kitu ikiwemo furaha
Kabisa mkuuyaah chief, naendelea kupambana
ipo siku haso zitatiki
Karibu mkuu...😋
Akiacha huo ualimu si atakufa njaaHongera mkuu kwa kuiona hii tofauti na ikakusumbua. Hii ni hatua muhimu sana katika ukuaji wako! Tengeneza ukaribu na hawa vijana wenzako na uwe tayari kuanzia chini na kufanya kazi kwa juhudi,maarifa na uaminifu mkubwa. Kama wewe ni mwalimu acha mara moja kwa sababu hiyo kada kwa nchi yetu imetelekezwa!