Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hilo kanisa lazima ni KKKT, wanatukuza sana wenye pesa.labda kamaanisha wengine tuendelee kujitafuta!
Nadhani nyie ambao bado hamjafanikiwa mlitakiwa muombewe pia ili neema ya bwana iwashukie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo kanisa lazima ni KKKT, wanatukuza sana wenye pesa.labda kamaanisha wengine tuendelee kujitafuta!
washkaji nime wasendia Cv.Pole Mkuu, Lakini inaonesha mwenyewe ndio unaupenda huo umasikini,
1) kwanini usitafute spare time ukamfuata huyo mchungaji na kumlilia hilo jambo lako?! Ili atizame anakusaidiaje?
2) kwanini usiwafuate hao jamaa zako waliojipata ukawalilia hilo jambo lako?!
Uspojua kushukuru kwa ulinacho sio Rahisi uongezewe ila utanyanganywa na hicho kidogo chakoUsihukumu, usije ukahukumiwa
ugua magonjwa yote, lakini sio bundi la ufukara nyumbani kwenuHilo kanisa lazima ni KKKT, wanatukuza sana wenye pesa.
Nadhani nyie ambao bado hamjafanikiwa mlitakiwa muombewe pia ili neema ya bwana iwashukie.
time will tellUspojua kushukuru kwa ulinacho sio Rahisi uongezewe ila utanyanganywa na hicho kidogo chako
How have you managed to survive until now? Pambana mkuunot such easy to live under darkness of poverty
ahsante chief, ndio mimi ni mwalimu wa kiswahili na civicsHongera mkuu kwa kuiona hii tofauti na ikakusumbua. Hii ni hatua muhimu sana katika ukuaji wako! Tengeneza ukaribu na hawa vijana wenzako na uwe tayari kuanzia chini na kufanya kazi kwa juhudi,maarifa na uaminifu mkubwa. Kama wewe ni mwalimu acha mara moja kwa sababu hiyo kada kwa nchi yetu imetelekezwa!
shukuru MUNGU kama umejipata, vijana wengi haliteteHuu ni uongo!
Japo inaweza kuwa kweli unapitia changamoto.
GOD MERCYHow have you managed to survive until now? Pambana mkuu
Mafanikio yana kuja kwa namna mbili.Polee sana kaka endelea kupambania maisha yako ipo siku utatoboa kama mmiliki wa kfc alitoboa akiwa na miaka 70 wewe nani ushindwe
Utakufa Kwa kihoro... hapo ulipo ndio mtafuto wako... jichanganye Sasa kuiga kunya Kwa tembo yakukute.... Ridhika na unachopata kama unaamini Mungu. Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi ilifika zamu yako utajipata .Nimerudi nyumbani huu mwisho wa mwaka kama ilivyo jadi yetu tulio wengi.
Nimewakuta Baba na mama hali si shwari, nikicheki madogo all eyes on me, na mmoja anashughulikia mikopo ya elimu ya juu mwaka huu ila mambo bado tafrani.
Juzi tulivyoenda ibadani kukatokea mchango wa ujenzi na ukarabati wa nyumba ya ibada, daah washikaji wa rika yangu wamechangia mifuko ya cement 200, mmoja katoa cheque ya milioni 10 katika maongezi yake anamiliki kampuni ya clearing and forwarding huko mjini. Mwingine kaahidi tipa 20 za mchanga.
Hakika ibada ilifaana sana, mchungaji aliwaita wazazi wa wale washikaji pale madhabahuni na kutamka kwamba hakika mumezaa chema sana na MUNGU amebariki uzao wenu.
Hali ile ilinifanya nijiulize maswali yasiyo na mwisho kuhusu hatma ya maisha yangu pamoja na wazazi wangu.
Mungu why najitafuta lakini sijipati? Dunia hii ni ya wachache? Wazazi wangu wataishi katika umasikini huu wa kutisha hadi lini?
wakati narudi nyumbani na mama yangu kwa mguu, nikawa napitwa na wana wakiwa kwenye tinted za Black athlete crown, Ford ranger, Subaru nk, wakati mimi naendelea kupita kando ya barabara kukwepa tope la mvua hizi.
waambie chief, japo bado sijakata tamaa.Mafanikio yana kuja kwa namna mbili.
1. Bahati
2. Bidii
Minafikiri KFC alifanikiwa kwa bahati yake tu.
Mkuu UshimenMafanikio yana kuja kwa namna mbili.
1. Bahati
2. Bidii
Minafikiri KFC alifanikiwa kwa bahati yake tu.
Motiveshenu spika manazingua sana🤣Polee sana kaka endelea kupambania maisha yako ipo siku utatoboa kama mmiliki wa kfc alitoboa akiwa na miaka 70 wewe nani ushindwe
Hapana sijaongelea kuhusu kujipata, nimeona huenda una changamoto ila maelezo mengine sio kweli.shukuru MUNGU kama umejipata, vijana wengi halitete
Umasikini hauvumiliki.Ww siyo masikini,shida unajilinganisha na wngine,maisha siyo ushindan kaka utapoteza focus na unachokifanya utaanz kutamani vya watu!!
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
SahihiUtakufa Kwa kihoro... hapo ulipo ndio mtafuto wako. Jichanganye Sasa kuiga kunya Kwa tembo yakukute. Ridhika na unachopata kama unaamini Mungu. wakati wa Mungu ndio wakati sahihi ilifika zamu yako utajipata .