Washkaji wamejipata mimi niko vilevile

washkaji nime wasendia Cv.
nilipo wauliza kuhusu mishe wanadai mambo saiz hayajakaa sawa
 
Hongera mkuu kwa kuiona hii tofauti na ikakusumbua. Hii ni hatua muhimu sana katika ukuaji wako! Tengeneza ukaribu na hawa vijana wenzako na uwe tayari kuanzia chini na kufanya kazi kwa juhudi,maarifa na uaminifu mkubwa. Kama wewe ni mwalimu acha mara moja kwa sababu hiyo kada kwa nchi yetu imetelekezwa!
 
ahsante chief, ndio mimi ni mwalimu wa kiswahili na civics
 
Utakufa Kwa kihoro... hapo ulipo ndio mtafuto wako... jichanganye Sasa kuiga kunya Kwa tembo yakukute.... Ridhika na unachopata kama unaamini Mungu. Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi ilifika zamu yako utajipata .
 
Ww siyo masikini,shida unajilinganisha na wngine,maisha siyo ushindan kaka utapoteza focus na unachokifanya utaanz kutamani vya watu!!

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Umasikini hauvumiliki.
Hali ya wazazi wako ikiwa hoi, na huna cha kusaidia .

Hakika mwanaume wa kweli huwezi kuwa na amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…