Tetesi: Washtakiwa kesi ya Uhujumu Uchumi waachiwa kwa dhamana

Tetesi: Washtakiwa kesi ya Uhujumu Uchumi waachiwa kwa dhamana

Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.

Wazalendo tusimame imara.
Inawezekana kumbuka hii kesi iligomewa na DPP na washtakiwa kwamba kesi imeletwa kimakosa kwenye mahakama hiyo .
 
YA LEMA NINI KOSA LA MAHAKAMA? AU HAKIMU..... HATA LEAMA MWENYEWE ANATAMBUA MAHAKAMA INAMTENDEA HAKI ILA WASHITAKI WAKE WANAWATANGULIA KIMEDANI MAWAKILI WAKE...ALL IN ALL HAKI YAKE IKO NA HATAIPOTEZA CHA MUHIMU MAHAKAMA IRIDHIKE NA UTETEZI WAKE...
umekunywa viloba vingapi..
Mahakama na hakimu manayake nini
 
Tuungane, tushikamane kulaani haya mambo ya kuachiwa majangili. Wamekutwa na SMG 17 halafu wanaachiwa hivi hivi!! Noooo!
Kwa nini tuanze kulaani wakati sheria zipo?
Msingi ni kujiuliza je hii serikali inatenda inachokihubiri.!
 
Halafu hao majangiri Rais mwenyewe alihusika kuwakamata.....

Naanza kumwelewa Makonda kwa nini alivishutumu vyombo vya usalama hadharani.
 
Mod, taarifa nilizozipata punde zimethibitisha kuwa watuhumiwa wote 9, licha ya kukutwa na bunduki 17, wamefutiwa mashitaka yote na sasa wako huru!! Kigezo kilichotumiwa ni kwamba 'hakuna ushahidi'. Hii kazi imefanikishwa na Polisi wazito kutoka ngazi za juu. Kwa namna mchezo ulivyo, hii ni kashfa kubwa na haitashangaza kusikia rungu likitua kwa vigogo kadhaa wa Polisi na ofisi ya DPP.
 
Kila kesi inaamuliwa kwa hoja zake na ushahidi wake.
Na kama sio mahakama Lema na Lissu wangeshafanyiwa mbaya siku nyingi.
Na habari zishafika jukwaani kuwa Ester Bulaya naye kamshinda Wassira mahakamani...
Sasa jadili hoja na sio kuleta lugha na ushabiki wa kipuuzi.
Kama huwezi kujadili kistaarabu bila hizo lugha zako za kejeli na kuchokoza wenzio, iachie mada ipite tu.
Sasa unakataa lugha za ajabu then wewe mwenyewe unaleta lugha za ajabu.Mkuu humu free forum na waingozaji wapo nacsheria pia zipo.Kama unahisi lugha ya kipuuzi niliyotumia basi moderators wangenichukulia hatua.Lakini kwa sababu hakuna kosa wala kejeli ndio maana bado comment yangu ipo kama kawaida.Nakusihihi wewe ndio uache upuuzi wakuwachagulia watu nini cha kuandika na kujivika umodereta ambao hauna.
 
Mod, taarifa nilizozipata punde zimethibitisha kuwa watuhumiwa wote 9, licha ya kukutwa na bunduki 17, wamefutiwa mashitaka yote na sasa wako huru!! Kigezo kilichotumiwa ni kwamba 'hakuna ushahidi'. Hii kazi imefanikishwa na Polisi wazito kutoka ngazi za juu. Kwa namna mchezo ulivyo, hii ni kashfa kubwa na haitashangaza kusikia rungu likitua kwa vigogo kadhaa wa Polisi na ofisi ya DPP.
KAKA UMEFANYA KAZI NJEMA KTK KUHABARISHA JF NA UMMA. THIS IS WHAT WE MISSED FROM MWANZO ......
 
Kifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
Manyerere unatia kinyaa sijui ni kwasababu ya lishe duni mnayopata kule mnakotoka au ni njaa tu? Umsaidie nini mtu aliyeapa kutofukua baadhi ya makaburi?
 
Presidaa alikuwa na hamu ya kumuona Mpemba eti anamsikiaga tu. Mpemba jeuri yako tumeona, unavuruga mbugani hadi mahakamani.
 
Kina Mpemba???? Mpemba is not a man of sport sport #Hawashindwi_Shilawadu.
 
kama ni kweli wameachiwa kwa dhamana bado itakuwa ni kupambana na uharifu wa aina hii pamoja na rushwa.
 
Kama Taifa tujiulize kweli kwa utaratibu wa kuwapa majangili dhamana, huko mbeleni tutakua tunaenda kenya kuangalia tembo na twiga maana naona serikali haina nia ya dhati kupambana na ujangili.

Mtu unamkamata na pembe za kutosha za tembo, unampeleka mahakamani mwendesha mashitaka anasema upelelezi haujakamilika kweli inaingia akilini?

Matokeo majangili yanapewa dhamana yanarudi mtaani kutumbua. Hii dhambi ya unafiki ipo siku itawagharimu CCM na serikali yake tuendelee na maombi.
 
Back
Top Bottom