Tetesi: Washtakiwa kesi ya Uhujumu Uchumi waachiwa kwa dhamana

Tetesi: Washtakiwa kesi ya Uhujumu Uchumi waachiwa kwa dhamana

Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.

Wazalendo tusimame imara.
Kifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
KESI IKO MAHAKAMA IPI NA LINI UAMUZI HUO UMETOLEWA? JE UNA UHAKIKA HAO WATU WA SERIKALI WAMEIWASILISHA KAMA ULIVOSEMA KWENYE HEADING MANYERERE? Kesi nyingine zinazokosa ushahidi wa kutosha ktk uhujumu na hao Vijana wa DPP wanabadilisha charge na wewe unabakia na taarifa ya awali...Hebu tendeeni haki profesional za watu.....JPM hasaidiwi kwa kumuongopea bali kumpa taarifa za usahihi....Kujenga kesi, kukusanya ushahidi, na kuithibitishia mahakama ....ni process inayotaka uadilifu mkubwa na kuheshimu haki za pande zote.....Naamini Manyerere huna fact na umeamua kuwachafua Mahakama na kuwaacha wanaoharibu kesi hizo Mahakamani....Manyerere tunaomba kujua Mahakama ni ipi? Hakimu ni nani? Waendesha Mashitaka ni kina nani? Na je wamepewa dhamana kwa KESI YA UHUJUMU UCHUMI AU UMEKOSEA ? Hebu leta fact hizi ulinde heshima uliyo nayo kwa sisi wasomaji wako....JF tunaomba fact kwenye hili.....Kama ni Uzalendo basi fact zije hata kama kukiri kukosea na kukiri ni Uzalendo
 
isome vizuri sheria ya Uhujumu uchumi ama Ujangili....halafu uje na FACT KAMA KWELI HAINA DHAMANA au La! Dhamana ipo toka high court ama dpp wasipoipinga it is given

Kaka Manyerere come out and correct me
 
Mkuu Lancanshire
Huku Ya Huyo Mtoto Wa Mbunge Imetoka Na Hapa Jf Zipo Thread Zake Nyingi Sana
Alilipa Pesa Hukumu Ikaisha
 
isome vizuri sheria ya Uhujumu uchumi ama Ujangili....halafu uje na FACT KAMA KWELI HAINA DHAMANA au La! Dhamana ipo toka high court ama dpp wasipoipinga it is given

Kaka Manyerere come out and correct me
Sijaelewa kama unafafanua au unatetea .
 
Sijaelewa kama unafafanua au unatetea .
si vema kuupotosha umma ktk issue za kisheria....mnajenga chuki unneccessary......Nimekupa fact kuwa hizi kesi zina dhamana lakini ni jukumu la DPP pia kuhakikisha kuna vigezo ambavo mahakama itakubalian nao....usipofanya hivo si haki kuwapakazia watu wa mahakama
 
Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.

Wazalendo tusimame imara.
Kumbuka ya Ditopile aliua kwa kukusudia mbele ya abiria bado akapewa dhamana. Kuna washukiwa wa vijijini ambao muuaji hajulikani lakini bado wanasota miaka kumi na zaidi. Sheria ni msumeno kwa wanyonge lakini ni mafuta kwa wenye nacho. Mwisho wa siku hawafaidi. Dito yupo wapi?? kufia guest???
 
Lema alie ota ndoto ananyimwa dhamana kwa maelekezo toka mbinguni,lakini hawa wanaomaliza rasilimali zetu wanapewa dhamana?.

Kweli mktaa pema pabaya panamwita(watu walikataa mabadiliko sasa wanaitwa na fisiemu).
Kuwaita wenzio fisiemu sio staha wala busara.
Watu wa aina yako ndo wanaoharibu utamu na umuhimu wa mijadala yenye manufaa kwa taifa na mambo yenu ya kipuuzi...
Hizi "fisiemu" na "nyumbu" zikae mbali na huu mjadala.
 
WAKATI MWINGINE FEDHA INAWEZA KUTUMIKA KUPINDISHA SHERIA...

OVA
 
Kuwaita wenzio fisiemu sio staha wala busara.
Watu wa aina yako ndo wanaoharibu utamu na umuhimu wa mijadala yenye manufaa kwa taifa na mambo yenu ya kipuuzi...
Hizi "fisiemu" na "nyumbu" zikae mbali na huu mjadala.
Katika mada post nzima niliyoandika neno fisiemu ndio neno limelokukera?.

Kwa nini huzungumzii uhalali wa hawa majangili kupewa Dhaka,na Lema kunyimwa dhamana?.
 
isome vizuri sheria ya Uhujumu uchumi ama Ujangili....halafu uje na FACT KAMA KWELI HAINA DHAMANA au La! Dhamana ipo toka high court ama dpp wasipoipinga it is given

Kaka Manyerere come out and correct me
na ye lema je??
unatete uozo wa LUMUMBA
 
Katika mada post nzima niliyoandika neno fisiemu ndio neno limelokukera?.

Kwa nini huzungumzii uhalali wa hawa majangili kupewa Dhaka,na Lema kunyimwa dhamana?.
Kila kesi inaamuliwa kwa hoja zake na ushahidi wake.
Na kama sio mahakama Lema na Lissu wangeshafanyiwa mbaya siku nyingi.
Na habari zishafika jukwaani kuwa Ester Bulaya naye kamshinda Wassira mahakamani...
Sasa jadili hoja na sio kuleta lugha na ushabiki wa kipuuzi.
Kama huwezi kujadili kistaarabu bila hizo lugha zako za kejeli na kuchokoza wenzio, iachie mada ipite tu.
 
na ye lema je??
unatete uozo wa LUMUMBA
YA LEMA NINI KOSA LA MAHAKAMA? AU HAKIMU..... HATA LEAMA MWENYEWE ANATAMBUA MAHAKAMA INAMTENDEA HAKI ILA WASHITAKI WAKE WANAWATANGULIA KIMEDANI MAWAKILI WAKE...ALL IN ALL HAKI YAKE IKO NA HATAIPOTEZA CHA MUHIMU MAHAKAMA IRIDHIKE NA UTETEZI WAKE...
 
Back
Top Bottom