pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
"hata akishuka malaika kutoka mbinguni na akawa ccm, baada ya muda wakija kumchukua tyr atakuwa amegeuka kuwa shetani' By Mh. F. Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingine ujienda Ikulu uwe unauliza maswali ya maana ndugu, last time ulituzalilisha wana JFNipo kamanda
BADO DHAMANA YA LEMA.. KIGUGUMIZYEEWatuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Magufuli njoo hukuWatuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Atafanywaje?Kama ni kweli hakimu huyo kwisha kazi!!!!!
Kuna wajinga humu kila siku wanakukuruka kama Kuku aliechinjwa kwa kumtukuza bwana yuleWatuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Wewe ukiwa wapiMtanyooka tu
Maswali kama haya ndio ulipaswa uulize siku matokeo ukadai TUZO na MATANGAZO kwenye maGazeti yenuTuache mzaha, nchi unaumizwa sana. Ujangili unamaliza rasilimali hii adhimu.
Kifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Kwisha kazi namna gani? Kama 'agizo limetoka juu' hakuna ubaya wowoteKama ni kweli hakimu huyo kwisha kazi!!!!!
Bwana ManyerereWatuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Uzalendo kwanza mlipaswa kuuonyesha ninyi wanahabari kwa kusimama kidete kupinga sheria iliyosainiwa jana, ambayo inawanyima fursa pana ya kushughulika na mambo haya kupitia taaluma yenu. Hatukuona uzalendo miongoni mwenu. Pili, hamkuonyesha uzalendo kwa nchi pale mlipopata nafasi ya kukutana na Rais. Badala ya kuuliza maswali ambayo yangesaidia kuijenga nchi, mkawa na maswali yasiyo na kichwa wala miguu, na kujipigania wenyewe kwa kuangalia maslahi yenu binafsi.Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Wenye dhamana ya kulinda hizi raslimali wanahangaika na mfumo wao maana wakikamata mizigo wakiwauliza wakamatwaji wanasema sio yao ya kigogo mkubwa serikalini au kwenye chama hamna namna wataishia kuwaachia tu.Chama hiki ni shida ata aje nani nae wakimfukua makaburi yake daaa!!!makandokando kibaoo.Siku Mpemba anakamatwa nasikia kuna sauti ililia toka nyikani ikisema mwacheni huyoo hadi mkuu wa wanyama pori akaogopa watu wa usalama wakamsemelea mbinguni.Tuache mzaha, nchi unaumizwa sana. Ujangili unamaliza rasilimali hii adhimu.