Washitakiawa wapi hao?Kifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
Kina Mpemba & Co. au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washitakiawa wapi hao?Kifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
Ungana naye wewe ambaye uliuliza maswali ya kipuuzi kwake.Kifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
Usimuulize alisikia kauli ya mtukukufu. Pia yeye mwenyewe alitetea hilo?Manyerere Jackton bado kuna watu waamini "Mtukufu " ana nia ya dhati ya kupambana na ufisadi ndani ya nchi yetu kama wahujumu uchumi waachiwa kwa dhamana unategemea nini?
Kuna wabunge wa CCM walihongwa milioni 10 kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao waliupitisha wa kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari.
Ulisikia kauli ya mtukufu kuhusu tuhuma za wabunge hao?
Tembo watu wetu watakuja kuwaona kwenye picha tuu.
Hivi kweli wewe ni mwandishi wa habari??????????Tuungane, tushikamane kulaani haya mambo ya kuachiwa majangili. Wamekutwa na SMG 17 halafu wanaachiwa hivi hivi!! Noooo!
Sasa na wewe kwa akili ya kawaida tu unamnyima dhamana lema ambaye kosa lake aliota ndoto kuwa Juma atakufa unampa dhamana mhujumu uchumi kwanini tusishangae? Huu ni mfano tu jamaa katoa.Lema anaingiaje katika hili? We kweli ni mvivu wa kufikiri. Yaani watu wakisema ukweli ni lazima uuhusishe ukweli huo na kesi ya Lema. Kweli elimu ni ya muhimu sana!
Hakimu akila 500m anatoa dhamana na kesi inapigwa danadana tu.Mafisadi wanatakiwa kunyea debe wanatumalizia tembo wetu. Lakini hata hiyo dhamana kwa wote wawili ni kama Bilioni 6.siyo mchezo,
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, maarufu Mahakama ya Mafisadi imewapa masharti sita ya dhamana washtakiwa wa kesi ya uhujumu uchumi wanaodaiwa kukutwa na nyavu haramu za kuvulia samaki katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Katika masharti hayo, Mahakama imemtaka mshtakiwa Ally Raza (34) kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Sh2,582,191,666 (zaidi ya Sh2.5 bilioni), au hati ya mali yenye thamani sawa na kiasi hicho.
Mshtakiwa Jeremiah Kerenge (40), ametakiwa kuwasilisha mahakamani Sh4,454,241,666 (zaidi ya Sh4.4 bilioni), au hati ya mali yenye thamani sawa na kiasi hicho.
Chanzo:Mwananchi
Manyerere Jackton hii habari sio ndio hiyo uliotuletea labda umechanganya tu?Kama ni habari tofauti,basi tunahitaji wanasheria watusaidie katika hili.
Hao wanalindwa kama mboni ya jicho alafu kuna watu wanajisifu eti wao wamekuja kupambana na ufisadi.Na mafisadi akina Rugemarila, lugumi, IPTL, EPA, MV ufisadi, Chenge, Tibaijuka etc lini hawa wahujumu wa uchumi watapandishwa kizimbani.
Ni wapi nimeandika wameachiwa na Magufuli?Magufuli ndo kawaachia mkuu?
Mbona unauliza maswali ya kipuuzi sana kesi za uhujumu uchumi unazijua?Na ni kwa nini hazina dhamana?
Wazalendo tusimame imara kupinga sheria hizi za kinazi
Hii hadithi ya nyani naona ni nzuri dokeza kidogo mkuuunaifahamu hadithi ya nyani waliompamba mwenzao ili akaolewe na mwenye shamba na wao wale mahindi kirahisi?
Mkuu we Hacha tu Mungu Anawaona.Lema alie ota ndoto ananyimwa dhamana kwa maelekezo toka mbinguni,lakini hawa wanaomaliza rasilimali zetu wanapewa dhamana?.
Kweli mktaa pema pabaya panamwita(watu walikataa mabadiliko sasa wanaitwa na fisiemu).
Sijuwi Kama Itawezekana.Katika hili sina Uzalendo wowote.
Hao jamaa waachiwe kabisa huru, sijaona kosa lao mpaka sasa, tunataka wakamatwe wahusika halisi wa Biashara hiyo na kushtakiwa.
Mimi bila Kinana kufikishwa mahakamani, sitavaa huo uzalendo kabisa.
Hadithi imenikuna sana, hebu idadavue vizuri, inaelekea ni tamu mnoAlipopambika na kurembeka aliwasahau ndugu zake hadi akamponza mjomba wake kuchomwa mkuki..... I still love this story [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] umenikumbusha mbali sana