Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashangaa nini, mbona hushitukii kufukuliwa makaburi!Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Nyie si mlipewa nafasi ya kumuuliza maswali mkulu, badala mjikite kwny maswali yenye tija kwa nchi mkaendekeza unazi na kujikomba kutafuta vyeo halafu baadae mnakuja kuhoji mambo JF........ Tz bhana kweli z a wonderful countryWatuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Ha! Ha! Ha! Huyo mpemba ana mtandao mkubwa sana miongoni mwa viongozi wastaafu na waliopo , halafu kesi za aina hii serikali yako haijawahi kushinda na wala haitoshinda milele .Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Halafu huko waendako wanapokelewa na balozi wa Tanzania .gafla utasikia watuhumiwa wameruka dhamana na kukimbia nchi...
CHEZEA MLUNGULA WW...Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Lema anaingiaje katika hili? We kweli ni mvivu wa kufikiri. Yaani watu wakisema ukweli ni lazima uuhusishe ukweli huo na kesi ya Lema. Kweli elimu ni ya muhimu sana!Priority yetu ni akina Lema