Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, maarufu Mahakama ya Mafisadi imewapa masharti sita ya dhamana washtakiwa wa kesi ya uhujumu uchumi wanaodaiwa kukutwa na nyavu haramu za kuvulia samaki katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Katika masharti hayo, Mahakama imemtaka mshtakiwa Ally Raza (34) kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Sh2,582,191,666 (zaidi ya Sh2.5 bilioni), au hati ya mali yenye thamani sawa na kiasi hicho.
Mshtakiwa Jeremiah Kerenge (40), ametakiwa kuwasilisha mahakamani Sh4,454,241,666 (zaidi ya Sh4.4 bilioni), au hati ya mali yenye thamani sawa na kiasi hicho.
Chanzo:Mwananchi
Manyerere Jackton hii habari sio ndio hiyo uliotuletea labda umechanganya tu?Kama ni habari tofauti,basi tunahitaji wanasheria watusaidie katika hili.
Katika masharti hayo, Mahakama imemtaka mshtakiwa Ally Raza (34) kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Sh2,582,191,666 (zaidi ya Sh2.5 bilioni), au hati ya mali yenye thamani sawa na kiasi hicho.
Mshtakiwa Jeremiah Kerenge (40), ametakiwa kuwasilisha mahakamani Sh4,454,241,666 (zaidi ya Sh4.4 bilioni), au hati ya mali yenye thamani sawa na kiasi hicho.
Chanzo:Mwananchi
Manyerere Jackton hii habari sio ndio hiyo uliotuletea labda umechanganya tu?Kama ni habari tofauti,basi tunahitaji wanasheria watusaidie katika hili.