IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
Kama ni kweli hakimu huyo kwisha kazi!!!!!
...Well yaweza kuwa ni maelekezo kutoka angani....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli hakimu huyo kwisha kazi!!!!!
rais yupi???Kifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
Magufuli ndo kawaachia mkuu?Manyerere Jackton bado kuna watu waamini "Mtukufu " ana nia ya dhati ya kupambana na ufisadi ndani ya nchi yetu kama wahujumu uchumi waachiwa kwa dhamana unategemea nini?
Kuna wabunge wa CCM walihongwa milioni 10 kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao waliupitisha wa kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari.
Ulisikia kauli ya mtukufu kuhusu tuhuma za wabunge hao?
Tembo watu wetu watakuja kuwaona kwenye picha tuu.
Dogo Mimi ni mwalimu wako,elimu yangu ni kubwa kuliko mtu yeyote kwenye familia yenu,huwezi kunielewa kwa elimu yako ya shule ya kataLema anaingiaje katika hili? We kweli ni mvivu wa kufikiri. Yaani watu wakisema ukweli ni lazima uuhusishe ukweli huo na kesi ya Lema. Kweli elimu ni ya muhimu sana!
Hilo sio Priority kwaoWatuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara.
Zee la Kuomba Whisk IkuluKifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
Unaungana nini kama wanaachiwa ??. Shida ni UKAWAKifuatacho ni kwa majahili hawa kutoroka nchi. Tuungane na Rais kupambana na ufedhuli huu.
unaifahamu hadithi ya nyani waliompamba mwenzao ili akaolewe na mwenye shamba na wao wale mahindi kirahisi?
Kwani wewe rais wako ni nani?rais yupi???
sina huo muda mchafu aiseee.
Ni kwa sababu ya nasaba zaomla rambirambi ni muonevu and he must be a one term president Na adisapia. Hao akina shose na sumari mbona anawaonea?
WATIA shakaAndika vitu vyenye maana
Wala waliokunywa uji wa mgonjwaWaachiwe tu maana hakuna namna,
Kipaumbele chao ni Lema sio hao Majangiri.
Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana.
Wazalendo tusimame imara