Washukiwa wa shambulio la kigaidi la "Crocus" wanasema kwamba walikuwa wakisafiri kwenda Kiev kupokea zawadi waliyoahidiwa

Washukiwa wa shambulio la kigaidi la "Crocus" wanasema kwamba walikuwa wakisafiri kwenda Kiev kupokea zawadi waliyoahidiwa

Uvamizi wa Urusi nchini Ukraine umeiachia Urusi madhaifu mengi kwenye intelijensia yake ikiwemo kutengwa kimataifa katika masuala ya intelijensia.
Israel, German na US zote hizo hazijatengwa kimataifa yet ugaidi hutokea, vipi nongwa kwa Urusi, twambie we mcha-'mbuzi' the great.
 
Tangu shambulizi lilipofanyika urusi anaimba wimbo uleule tu wa kumtupia Ukraine lawama, ajabu hakuna chochote kimebadilika Ukraine,kama mashambulizi kwenye miundombinu na kwingineko yalikuwepo tangu mwanzoni mwa uvamizi!
Anatafutiza sababu za kuokoteza ili kuhalalisha mashambulizi yake dhidi ya Ukraine.

Hahitaji kutafutiza sababu, yeye ashambulie tu, yeye si ni mbabe!
 
Kwa kiasi kikubwa taarifa tulizopata mpaka sasa ni kutoka kwa watuhumiwa walioteswa. Hatuwezi kuujua ukweli kamili kwa staili hiyo.

Kuna mwanajeshi yeyote aliyerekodi live huo msafara wa watuhumiwa kuelekea Ukraine na ana ushahidi kwamba walikuwa wanaenda kupewa zawadi? Ama ni kauli tu zilizotolewa na watuhumiwa?
Taarifa kwa kiasi kikubwa zinatoka Makundi ya Telegram, toka vita vya Ukraine na Urusi ianze kuna page za telegram zinajulikana ambazo zina inside info, hio ya hao jamaa kulishwa dawa so far Urusi wenyewe hawajaizungumzia ila tayari imeleak, hizo video zote za kukamatwa ni wanajeshi wenyewe wame upload mpaka kisu kilichokata wamekipiga mnada.

Kuhusu zawadi inawezekana ni kauli tu za kisiasa.
 
Wanaukumbi.

MPYA: 🇷🇺🇺🇦 Washukiwa wa shambulio la kigaidi la "Crocus" wanasema walikuwa wakisafiri kwenda Kiev kupokea zawadi waliyoahidiwa - RIA

Washtakiwa katika kesi ya shambulio la kigaidi huko Crocus walisema wakati wa mahojiano kwamba baada ya shambulio hilo walikuwa wakielekea Kiev kwa tuzo, Kamati ya Uchunguzi iliripoti kwenye chaneli ya Telegraph.

"Kwa maagizo ya mratibu, baada ya kufanya uhalifu, magaidi waliendesha gari kuelekea mpaka wa Urusi na Kiukreni ili kuvuka na kufika Kyiv kupokea thawabu waliyoahidiwa," chapisho hilo linasema.

Watu waliohusika katika kesi hiyo waliripoti kwamba vitendo vyao katika hatua ya maandalizi na baada ya shambulio kwenye ukumbi wa tamasha viliratibiwa na mtu fulani kupitia ujumbe wa sauti kwenye Telegraph.

Uchunguzi unaendelea kubaini wawakilishi wa huduma maalum za Kiukreni zinazohusika katika kuandaa na kufadhili shambulio la kigaidi.

NEW: 🇷🇺🇺🇦 The suspects in the "Crocus" terror attack say that they were traveling to Kiev to receive the promised reward - RIA

The defendants in the case of the terrorist attack in Crocus said during interrogations that after the attack they were heading to Kiev for a reward, the Investigative Committee reported on the Telegram channel .

“On the instructions of the coordinator, after committing the crime, the terrorists drove in a car towards the Russian-Ukrainian border to subsequently cross it and arrive in Kyiv to receive the reward they were promised,” the publication says.

The persons involved in the case reported that their actions both at the preparation stage and after the attack on the concert hall were coordinated by a certain man through voice messages on Telegram.

The investigation continues to identify representatives of the Ukrainian special services involved in organizing and financing the terrorist attack.



View: https://x.com/megatron_ron/status/1773757744958382495?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw%5B/

View:
Tumewarahisishia%20hamna%20haya%20kusafiri%20umbali%20mrefu%20kufata%20zawadi..%20Russia%20itawapatia%20zawadi%20kubwa%20zaidi%20ya%20Hiyo
 

Attachments

  • IMG_20240328_213709.jpg
    IMG_20240328_213709.jpg
    80.1 KB · Views: 1
Kwa case kama hiyo ata ukisema ukweli bado maafIsa wanajua unadanganya wanazidi kuminya mbupu.🤣🤣🤣
Shida ya mpelelezi anaekufanyia mahojiano akiwa na majibu kichwani yani wanataka uwaambie tumetumwa na marekani uingereza akishirikiana na Ukraine apo ata bikira wa kirusia utapewa ata kama ulikua gaidi.
 
Hakuna lolote .......wale jamaa wanateswa na wanaambiwa hili mateso yapungue kira kitu waseme ni Ukraine......maana hata passport zao walisema ni za Ukraine kumbe uongo mijamaa ni kutoka Tajikistan..........yaani kira wakitaka kufanya kitu kina goma ......ila wanahalalisha vita kwa sababu walikuwa kwenye smo iliyoipa urusi gharama kubwa sana tokea taifa lile liundwe sasa hivi mafuta anaagiza Belarusian kwake jamaa wamelipua karibia visima vyote
Kila kitu waseme ni Ukraine???

Hii mpya 😀😀😀
 
Back
Top Bottom