Wasi Wasi wa Udini

Wasi Wasi wa Udini

Status
Not open for further replies.
Mzee Es,
Nimeyasema yote kwa sababu wewe mwenyewe umeanza kuponda kijiwe hiki.. na ahadi za kuondoka kuwa hapakufai. Nimekutakia kila la kheri, na sidhani kama wewe kweli ni Mzee Ee ila mtu anatumia kivuli chake.
Pili, Huyo mbunge aliyesimamishwa Marekani kwa sababu ya jina inakupa wewe furaha gani?....Yaani hata sielewi uhusiano wa kusimamishwa mtu kwa sababu ni muislaam na unaanza kulaumu JK kwa uteuzi wa muislaam., hali huyu ni mbunge aliyechaguliwa kwa kura na wananchi.naona sasa tumeingia ktk mambo ya Hamas, Ossama na politics za Marekani. Nadhani picha yako hasa ndio imejitokeza zaidi na mtalia kilio cha punda. Wakristu wataendelea ku-enjoy life zao kama vile JK hakuwepo isipokuwa wale mnaotaka kubebwa.
Mzee Es hakuna mtu anayetaka kuharibu mada hapa isipokuwa nadhani naweza kusema nyie. Hakuna mkono wa mtu toka nje na kama kijiwe hiki kitakuja vurugika ni kwa sababu yenu kwani sijaaga ama kukiweka chini kijiwe hiki. Isipokuwa nazungumza mawazo yangu kuhusiana na yale mnayosema. Hata hivyo bado tunakupenda TEF sana tu, labda wewe hufahamu..na wala sio kwa dini yako ila reality unayotupa pale unapofahamu.
Sam,
Sifa za balozi sio kusomea foreign relation zipo nafsi zinazohusu foreign relation. Tazama balozi wa Marekani hapo bongo Nd. Michael Retzer huyu ana digrii ya - Bachelor of Arts, na alikuwa Captain ktk air force. Bi Janet Graham wa Canada hakusomea foreign relation na wala Andrew Pocock wa Uingereza. Sijui hizi sifa zako umezipata wapi....

The reasoning mind can not work under any form of favoritism - well, I guess you wanted JK to favor Christians.
 
Mkandara
The reasoning mind can not work under any form of favoritism. Does this sentence suggests any type of favoristism to christians? Mkandara give me a break kuna watu wanaingia humu ndani kujifunza. If you don't have anything to say let it go.
Kuhusu mabalozi nimesema mtu anatakiwa awe na knowledge ya Internation Relations na foreign affairs. Sijawema mtu au na degree ya International Affairs, hayo umesema wewe. Wewe sema unavyosema lakini..The reasoning mind can not work under any form of favoritism.
Nadhani hii issue ingekuwa imekwisha kama ungenieleza hiki kitu kinaitwaje. Au ndiyo Mifisa yenyewe?
Mzee ES
Wala usiwe na wasiwasi itakuchukua muda lakini tutafika tunakoelekea.
Filgga
Usiwe na wasiwasi tuko wote.
 
Very hot topic!
Let us clear this way: Balozi ni mwakilishi wa rais katika nchi anayokwenda kuwa balozi. Ofcour'se for national interest, lobbying etc etc Hii ni political appointment. Sasa suala hapa ni uwezo wa huyo balozi mwenyewe. Je Sam umejuaje kuwa mtu kama Mapuri hana idea na international relation?
In other words at least some workers, advisors etc katika ministry of foreign affairs, president office na balozini kuwe na watu waliosomea international relation.
Sasa uwezo wa mabalozi unakuwa questionable tu wakati balozi zetu (hasa za kiafrika) zinakuwa ni kama resort za starehe na kupumzika. Hawa watu hawajui priorities zao ni nini wakiwa kama mabalozi.
 
Unajua you sre very good katika kubadili ukweli, na kutaka kuonekana clean mbele ya jamii, hata kama ikibidi kushambulia watu wanaokupinga mawazo katika mtandao na ambao huwajui you will do that,

Yes sikuwepo hapa ni wewe uliyelileta jina langu katika kutafuta sifa za forum, ukaingilia mpaka shughuli ninazofanya as if unanifahamu, ukageuka kuwa psychic, yaani una uwezo hata wa kunisoma bila kuniona kuwa sitaki kukusikiliza, sasa umegeuka tena kuwa mimi sio Es, all this for what nikubali kuwa kuchaguliwa viongozi 12 Waisilamu ambayo ni dini yako na ya rais, it is ok, na mimi ninasema Hell NO!

Mfano wa mbunge ni kukuonyesha kuwa hata nje wameaanza kutushitukia, ndio maana mzee Chenney alimpa rais wetu strong warning kule White House, kwa hiyo tusipojirekebisha tutafikia mahali hatutapita hizi airports za watu, ni fedheha kwa mbunge wetu wa nchi akiwa na diplomatic pass kuwekwa chini ya ulinzi kwa masaa sita huku wabunge wote wengine wamewekwa chini kumsubiri ni aibu? Hayo hayakutokea enzi za Mwalimu na Mkapa, hata Mwinyi,

Kama unafikiri utakuja kuharibu jina langu kwa sababu nimesema kuwa sitakuwemo, nafikiri now you know better, TEF ni a good place ila kuna watu kama wewe ambao mnataka kudanganya watu kwa maneno mengi ya ujanja halafu mkishindwa, mnaanza ujanja mwingi, the issue hapa ni ndogo sana nayo ni kuwa rais anataka kuleta udini na hatuwezi kumruhusu, na salam zimefika tunajua kwa hiyo usikatishe tamaa watu wasitoe michango,

kuhusu mimi kuwa Es au kutokuwa, haibadili kitu cha muhimu ni message, hizo ni moja ya startegies zako katika kulazimisha watu wengine wakubali unayotakja wewe, not me bro!

Sina uhakika hili kubebwa maana yake, na siatingia kwenye huu ujinga wakusema Wakristo sijui wataipata, wataipata nini? Wewe kaa huko West kwa Wakristo na sisi tuko bongo tunapigana na gurudumu la maendeleo, it does not matter rais ni pagan au Muisilam, sisi bongo tunatesa tuu, halafu wewe mwenyewe si unajua bongo ukifanya mchezo huli chakula huku sio huko bro, utaenda kanisani ule huku waya mkali, habebwi mtu watu tunachacharika ili tule bro, na hizo siasa zako za wakristo kuipata hatunazo huku nyumbani samhani sana maana tumeendelea sana ndio maana tunashangaa jamaa kutaka kutuingiza mkenge kweupe tunaona!

The rest Sam well said!, hakuna la kuongeza!
 
Members
Please......stop now..............is more than enough in this topic.

Take time to enjoy your week end............
 
Sam,
Uliandika hivi, rudia mwenyewe ukurasa wa 5.

Toka uhuru tumekuwa tuna utaratibu wetu wa kuwapa watu ubalozi ambao hawastahili, sifa moja kubwa ya balozi ni kwamba awe na knowledge ya foreign affairs na relations between countries to countries. Watu wanasomea International Relations for years kwa nini wapewe wendawazimu? Nina mfano wa balazo wa kweli kama Dr. Mahiga anayetuwakilisha UN, he has PhD in International Relations na anaiweza kazi. Mapuri ana nini?

Hiyo knowledge haipatikani mitaani.

Mzee Es,
Unaposema Marekani wameanza kutushtukia una maana nchi imekuwa ya waislaam?
Mbona mambo yote ya Al-qaeda nchini yamekuwepo wakati wa Mkapa?...na wamesimamishwa wengi chini ya Utawala wake huyasema. Acheni upuuzi wenu hakuna anayebadilisha kitu hapa ila upuuzi upo wazi kwa mwenye akili.

Invincible,
Nimekusikia mkuu, na hapa sasa naweka kituo. Kalamu chini
 
Invincible
Najua hii topic inawaboa watu wengi lakini ni kitu ambacho kinatakiwa kiongelewe, hii topic itakufa yenyewe au topic nyingine ikitokea.
Mkandara
Hivi wewe unapokuwa hulali ukisubiri kubishana udini kwenye Internet, do you neeed BS/BA in Computer Applications kutumia Internet. Kwanza ni vyuo vichache sana vinavyotoa digrii ya International Relations lakini ni vyuo vingi sana ambazo vina hiyo kozi kama required unapotafuta BA yako. Hata UDSM wanasoma kozi za International Relations. Nitafurahi sana kama utaweka kalamu chini kama ulivyosema lakini najua ni kitu ambacho hakiwezekani, tukirudi nyuma kati ya mwaka 625 na 628 ya historia ya dini yako utajua naongelea nini.

"They will question you concerning the holy month, and fighting in it. Say: 'Fighting in it is a heinous thing, but to bar people from God's way, to disbelieve in Him and the Holy Mosque and to expel its people from it - that is more heinous in God's sight; and persecution is more heinous than fighting." (Qur'an 2:217)

Najua utakuwa umeislaiti dini yako kwa kuweka kalamu chini. Let us wait and see.

Interested Observer
Kama ni kweli ubalozi ni political appointment, nadhani pana tatizo hapo ndiyo maana hawa mabalozi wanakuwa hawajui hata wanatakiwa wafanye nini. Ughaibuni kuna opportunities nyingi sana lakini wanashindwa kuzitumia kwa manufaa ya nchi. Kuhusu Mapuri hivi mtu aliyeshindwa hata Home Affairs utamchukuliaje? Nimejaribu kuuliza watu juu ya ufahamu wake wa relations sijapata kitu.
 
................"Upuuzi uko wazi kwa mwenye akili".........!


Mzee Invincible,

Heshima yako mkuuu!, upo!

Sam kazi kwako!
 
Mzee ES
hii issue ingekuwa ndogo sana kama hawa watu wangetueleza sababu za rais kuchagua watu 6 wa dini moja. Kwa mfano mtu akisema rais alimteua PM kwa sababu ya udini, nina zababu za kumpinga huyo mtu. Hata waziri wetu wa fedha hajateuliwa kwa sababu ni muislamu, sababu tunazijua siyo dini. Kwa hawa watu 6 ni jambo tu la mtu mmoja kusimama na kutuelewesha ni sababu gani zilizomfanya rais ateue watu 6 bila ku reason kwamba kutakuwa na matatizo. Huwezi kutawala kwa kufuata historia, hii ni jamii tofauti kabisa. Wakati tunasoma hakuna mzazi ambaye alikuwa anaenda kumhoji mwalimu kwa nini amemchapa mtoto wake, walikuwa wanawashukuru walimu kwa hilo. Hii leo kujimchapa mtoto wa mtu mzazi anakujia juu. Hii ni jamii ambayo watu wana reason why mtoto achapwe kama punda. Mimi najua ujumbe umefika na rais hawezi kufanya kosa kama hili la kiutendaji. Unajua watu wengine wanafikiria kuwa tunapompinga rais tunataka atoke madarakani. NO. Nakumbuka kule BCS mimi na wewe ndiyo pekee tuliowaambia watu wampigie kura JK, hata leo nasema hivyo kama wale wagombea urais wakirudi kama walivyo siwezi nikawaambia watu wampigie kura Mrema, nitawaambia wampigie JK. Hiyo hainizui kumsema pale naona silidhiki na utendaji wake. Hapo ndipo watu wanaposhindwa kunielewa. Wengine humu ndani hawana hata kadi ya CCM ila wanatetea uteuzi wa sekretarieti ya CCM.
Mimi huku simo, sina hiyo kadi ya kijani. Mimi napenda sana utaratibu wa Republicans ya US, kama hawakubaliani na rais BUSH wanamuambu, you f***k it up! Straight up. PERIOD. Siyo umbeya wa akina Salva eti RA ni mwanauchumi bora. What? Hata hiyo BA ya Economics ambayo iko kwenye CV yake hakuna mtu anayeweza kukuambia ametoa wapi.
Salva anashindwa kuelewa tofauti ya biashara na uchumi, ni vitu viwili tofauti. RA ni mfanya biashara anatumia watu kujitajirisha huwezi kuniambia ni mchumi huyo. Kule Igunga tenda zote za barabara za Halmashauri amezishika yeye, nenda kanionyeshe hizo barabara anazojenga. Na watu wote wanajua hizo dili zake, jamaa anachukua kila dili itakayopita karibu yake, na huo ni uchumi. Mzee ES, huyo Salva ukimwona mwambie ataishia kufirwa. Na nyie ma agent wa serikali mnaotembelea hii forum natumaini mnafikisha mawazo sehemu zinazohitajika.

...."WE MEAN BUSINESS" :Israel
 
Mzee ES
Ninafuatilia kwa ukaribu sana mambo yanavyoendelea kule maoni. Siwezi kuandika lolote kule ila jamaa naona wanazidi kuandika pumba, hivi hata huyu Rais akiamua kuingia kwenye hiyo forum si ataona anaongoza taifa la mapunguani?
 
Mzee Sam,

It is ok, kuna wanaotaka kuaabadili mjadala ili uwe wa sisi against nyinyi kitu ambacho si kweli, viongozi waisilamu kwa wakristo could care less kuhusu sisi wananchi, Mahita alikuwa musiilamu je alipowapiga na kuwaua waisialmu wa mwembe chai kwani hakujua kuwa ni waisilamu,

Salva Rweyemamu, ni another kichekesho Sitta alikuwa akitumiwa na mtandao kuandika gazeti la TAZAMA, wamempa uspika sasa yeye masikini ya Mungu walimuahidi ubalozi wa London, kumbe ndio maana in the last two months alikuwa kila siku ana article za kumchimba mzee Kibelloh, huyo mzee ana mkono wa mzito unaomlinda haendi koote na ataishia kuwa waziri,

hizo ndio siasa zetu mbovu za bongo, na ni sisi wananchi wakrsto kwa waisilamu who have to pay for, ile misafara ya asubuhi ya kwenda kazini kwa mguu pale bondeni Jangwani kwa kushindwa kuwa na nauli ya dala dala ni mchanganyiko wa dini zote!

Mzee Sam heshima mkuu!
 
Kwenye hili Mzee Es umenena nakubaliana nawe kabisa .Kwani Slva huyu ni nani hasa hebu semeni kidogo historia yake tumjue .
 
Mzee Es said:
Mzee Sam,
"...kuna wanaotaka kuaabadili mjadala ili uwe wa sisi against nyinyi kitu ambacho si kweli, viongozi waisilamu kwa wakristo could care less kuhusu sisi wananchi, Mahita alikuwa musiilamu je alipowapiga na kuwaua waisialmu wa mwembe chai kwani hakujua kuwa ni waisilamu,.......alikuwa kila siku ana article za kumchimba mzee Kibelloh, huyo mzee ana mkono wa mzito unaomlinda haendi koote na ataishia kuwa waziri, .....hizo ndio siasa zetu mbovu za bongo, na ni sisi wananchi wakrsto kwa waisilamu who have to pay for, ile misafara ya asubuhi ya kwenda kazini kwa mguu pale bondeni Jangwani kwa kushindwa kuwa na nauli ya dala dala ni mchanganyiko wa dini zote!....."

Sikutegemea kuwa ntachagia hii mada kwani ilikuwa against ninavyofahamu mimi na pia ukweli wa mambo ulivyo. Ila kwa mara ya kwanza naona hapa ndo points zimeshushwa......Welldone Mzee.

Tatizo linalotukabili ni kuwa wengi wetu ni "paranoia" na udini na tunabakia kuwa "nimesikia JK...., nimesikia.... na pia tunabaki kufuatilia jina kuliko policy za nchi" ambapo mara nying inakuwa ni uzushi mtupu. Ninavyofahamu mimi ni kwamba hawa jamaa ni walaji, hawajali watu wanaowachuma wapo upande upi kidini...na ndo maana nchi yetu inabaki kudidimia tu blah, blah blah nyingi na hakuna kinachoendelea au la maana linalotokea.

Nilishangaa sana kuona ati topiki ya nguvu hapa ni udini wakati Shirika la bima limeuzwa bei chee sana, mabasi ya kasi yamepitishwa kuletwa dar (sijui yatakuwa na faida gani, kwani haya ya kawaida na yasiyokimbia kasi yanaua watanzania wengi kila siku). kwangu mimi hizo ndo skendo...na wanaoathirika na hayo maamuzi ni watanzania bila kujali ni waislamu, wakristu, wapagani au wanaabudu mizimu.....sasa kama hawa viongozi ni wadini kiasi hicho si vifo vingeelekezwa upande mmoja?
 
Salva, Kama sikosei huyu ni Salva yule mwandishi wa habari. Huyu hawezi hata siku moja akamfagilia BWM kwa sababu kubwa hii: BWM alivyohojiwa na Mr. Khan yule aliyekuwa CNN kulihusishwa suala la Tanzania Jounalists. BWM alijibu na kusema TZ Journalists are still primitive (At primitive stage). Huyu Salva na wengine walikuja juu sana kutaka kuambiwa kwa nini ni primitive. BWM also turned down interview with Salva because he was among primitive jopunalists!
 
Wewe Moshi na huyo mwenzako Mkandara ni wadini kupindukia. Nianze na wewe Moshi. Wewe kweli hujui ulizungumzialo. Uko mwepesi sana kulaumu bila kuwa na "facts" zozote. Wewe umeona Kikwete kateua watu watano tu kuwa mabalozi, na imetokea watu hao kuwa Waislamu, basi umeanza shutuma. Je, katika mabalozi wetu wote wanaotuwakilisha nchi za nje, umefanya utafiti na kujua ni wangapi kati yao ni Waislamu na Wakristu??? Unapenda sana udini wewe

Mkandara......wewe huna lolote wewe!!!! Wewe ni Mujahidina mwenye elimu ya madrasa na hujui wala huelewi chochote kinachoendelea ulimwenguni.
 
Nyani,
Welcome to the forum. Lakini mbona unakuja na makali hivyo? Waachie akina Mkandara na Mosha watoe vitu vyao. Where is old man Njabu?
 
fikiraduni said:
Ngabu Style!!!

Aahaaaa so good to see ya around!

FD

Wahahahaah...wahahahaah......Fikiraduni na Jasusi, za kupotea Watanganyika wenzangu? Aah bwana, mimi nipo tu huku porini nikihangaika na maisha ya kila siku.

Hao mabwana naona wameanza kuikwepa hii topiki. Moshi naumona bado yupo lakini kwenye topiki zingine na Mkandara ndo sijamuona kabisaaaa!!!! Sijui ndio keshaenda Lebanon kuwapiga tafu washirika wake Hezbollah...Lol.
 
Ngabu,

Ni kweli, tunapojadili kuhusu udini lazima tuangalie pande zote, hilo ulilosema linaleta maana na sio kwamba ndio unaanza kulieleza humu, La hasha! lilishaelezwa, hawa "wadini" hawataki kusikia kabisaaaaaa

Siku hizi tupo nusu nusu kila sehemu, Unajua tena badala ya watu kufanyia kazi wanayoona yana maana, wao wanakimbilia ku hack forums!!

Ndio Bongo hiyo! bora kuosha madishi huku kuliko kwenda sehemu ambako kila mtu ana Chukua Chake Mapema!

karibu sana Bro.

FD
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom