Mwendakuzimu aliharibu kila sekta kwa kweliTutegemee hao wazazi kuwaharibu kisaikolojia wanafunzi, pia tutegemee uwoga wa kupata mimba mashuleni kuondoka maana ukizaa unalea huko upo shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendakuzimu aliharibu kila sekta kwa kweliTutegemee hao wazazi kuwaharibu kisaikolojia wanafunzi, pia tutegemee uwoga wa kupata mimba mashuleni kuondoka maana ukizaa unalea huko upo shule
Waliobakwa percentage yao ngapi bwana. Alafu mpaka mtoto anabakwa mzazi yuko wapi?Kuna waliobakwa mkuu
Wanaoruhusiwa kuja na watot na yaya yupo wa kuwaangalia.. akimaliza kisomo anachukua Mtoto nyumbani... Mtoto akisumbua anaitwa toka darasan ambembelezee.. kisomo na kulea pamojaWatoto wanamwachia nan? Sababu kuna sheria kidume ukitia mimba msichana mwanafunzi unaenda jela
Kuna shule maalumu Pia Kwa ajili Yao... Ila wanaruhusiwa kurudi kwwnye sekondar walizoacha mwanzonWatasoma wenyewe au watasoma na hao ambao bado kujifungua ?
Hiyo itakuwa shule au ustawi wa jamii?Way
Wanaoruhusiwa kuja na watot na yaya yupo wa kuwaangalia.. akimaliza kisomo anachukua Mtoto nyumbani... Mtoto akisumbua anaitwa toka darasan ambembelezee.. kisomo na kulea pamoja
Shule huon tumefikia lëngo Kwa 111%Hiyo itakuwa shule au ustawi wa jamii?
Yuko wapi Cyprian Musiba aaligongelea !!Wasichana 3,333 sawa na 111% wenye umri kati ya miaka 13 hadi 21 waliokatisha masomo ya elimu ya sekondari kwa sababu mbalimbali ikiwemo kutokana na mazingira magumu, kupata ujauzito na ndoa za utotoni wamerejeshwa shuleni mwaka 2021/2022.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima(TEWW), Dk Michael Ng’umbi ameyasema hayo wakati akielezea shughuli mbalimbali za taasisi hiyo na mwelekeo wa utekelezaji wa bajeti ya 2022/2023.
“Tutajitahidi mwaka huu mwingine tujitahidi tupate namba hiyo hiyo ili waanze tena Januari mwakani,” amesema.
Dk Ng’umbi amesema programu hiyo ni kwa ajili ya wale waliokatiza masomo kwa wanafunzi wa sekondari tu.
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali ambalo linajishughuliasha na Wanawake na Watoto (Wowap), Fatma Toufiq amesema hatua hiyo ni kubwa ya kuwawezesha wasichana hao kutimiza ndoto zao walizozikatisha kwasababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupata ujauzito kutokana na kutokuwa na elimu sahihi ya afya ya uzazi.
“Tunamshukuru sana Rais Samia kwa kubali watoto hawa waweze kurejea shuleni. Hawa wamekuwa majasiri, hawakuogopa kunyanyapaliwa. Wanachotakiwa kufanya ni kufuata mambo yaliyowapeleka pale, wasirudie tena makosa kwasababu kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa ndio kosa,”amesema Fatuma ambaye pia ni mbunge wa viti maalum.
Novemba 2021, aliyekuwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alitangaza uamuzi wa Serikali wakuruhusu wanafunzi wa shule za msingi na sekondari waliokatisha masomo kutokana na sababu mbalimbali kurejea shuleni.
YeapSafi wasome watoe ujinga kichwani
Mkuu, are you even serious. Ama uko kwenye payroll ya siri kali. Nijumuishe na mimi kwenye hiyo payroll, ndio nijue ni one step at a time kweli.One step at a time
Sasa Nimekubali samia alikuwa mpinzani wa JPMWasichana 3,333 sawa na 111% wenye umri kati ya miaka 13 hadi 21 waliokatisha masomo ya elimu ya sekondari kwa sababu mbalimbali ikiwemo kutokana na mazingira magumu, kupata ujauzito na ndoa za utotoni wamerejeshwa shuleni mwaka 2021/2022.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima(TEWW), Dk Michael Ng’umbi ameyasema hayo wakati akielezea shughuli mbalimbali za taasisi hiyo na mwelekeo wa utekelezaji wa bajeti ya 2022/2023.
“Tutajitahidi mwaka huu mwingine tujitahidi tupate namba hiyo hiyo ili waanze tena Januari mwakani,” amesema.
Dk Ng’umbi amesema programu hiyo ni kwa ajili ya wale waliokatiza masomo kwa wanafunzi wa sekondari tu.
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali ambalo linajishughuliasha na Wanawake na Watoto (Wowap), Fatma Toufiq amesema hatua hiyo ni kubwa ya kuwawezesha wasichana hao kutimiza ndoto zao walizozikatisha kwasababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupata ujauzito kutokana na kutokuwa na elimu sahihi ya afya ya uzazi.
“Tunamshukuru sana Rais Samia kwa kubali watoto hawa waweze kurejea shuleni. Hawa wamekuwa majasiri, hawakuogopa kunyanyapaliwa. Wanachotakiwa kufanya ni kufuata mambo yaliyowapeleka pale, wasirudie tena makosa kwasababu kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa ndio kosa,”amesema Fatuma ambaye pia ni mbunge wa viti maalum.
Novemba 2021, aliyekuwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alitangaza uamuzi wa Serikali wakuruhusu wanafunzi wa shule za msingi na sekondari waliokatisha masomo kutokana na sababu mbalimbali kurejea shuleni.