Wasichana 3,333 warejeshwa shule, ni waliokataliwa na serikali ya hayati Magufuli

Tukisema wanawake ni kundi maalum muwe mnatuelewa sio mnakaza ubongo
 
Way
Watoto wanamwachia nan? Sababu kuna sheria kidume ukitia mimba msichana mwanafunzi unaenda jela
Wanaoruhusiwa kuja na watot na yaya yupo wa kuwaangalia.. akimaliza kisomo anachukua Mtoto nyumbani... Mtoto akisumbua anaitwa toka darasan ambembelezee.. kisomo na kulea pamoja
 
Way

Wanaoruhusiwa kuja na watot na yaya yupo wa kuwaangalia.. akimaliza kisomo anachukua Mtoto nyumbani... Mtoto akisumbua anaitwa toka darasan ambembelezee.. kisomo na kulea pamoja
Hiyo itakuwa shule au ustawi wa jamii?
 
Yuko wapi Cyprian Musiba aaligongelea !!
 
Sasa Nimekubali samia alikuwa mpinzani wa JPM
 

Attachments

  • 0556ABBA-6301-47A3-8D0E-A8D421A600C7.jpeg
    87.7 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…