Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Ujiandae kwa mashambulizi MkuuWasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko
Wacha wapelekewe moto, inasikitisha sana hadi kwa mpalange wanakupeleka😊CHUMA YAO KWA WADANGAJI😆Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko
Toa hela acha ubahili. Kama Huna hela endelea na punyere. Wanawake wanataka pesa boya wewe! Malalamiko peleka Dawati la malalamikoWasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza
Watulie waoleweWape na suluhu sasa waache kudanga wafanye nini!!!
Jana nimepaki sinza inasikitisha sana vitoto vya udsmWasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia
Chuma yaoo chief😄Mimi ninavyopenda watoto wa kike kuliko wa kiume nitakoma!
SijakuelewaChuma yaoo chief😄
Watapelekewa moto pia,si umesema una binti wa kike🙄Mungu amuepusheSijakuelewa
Wapi nimesema kuwa nina binti wa kike?Nimesema napenda watoto wa kike.Watapelekewa moto pia,si umesema una binti wa kike🙄Mungu amuepushe
Sawa mkuu,Wapi nimesema kuwa nina binti wa kike?Nimesema napenda watoto wa kike.