Wasichana na Kizazi hiki wamekuwa hatari sana

Wasichana na Kizazi hiki wamekuwa hatari sana

Sanuka Mkuu! Huyo Demu wako anatafuta chimbo la kudumu na yeye atulie awe Mama mwenye ghetto, na mwisho ndiyo anakua Mke wako! Kuna Mademu wanajuwa kutujaza Upepo na tunajaa!!
hahah mkuu unajua mke ni mtu nitayekuj kuishi naye maisha yangu yote, sasa siwezi kufanya makosa hapo yani katika mademu zangu wote sioni hata mmoja anayefaa kuwa mke

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
hahah mkuu unajua mke ni mtu nitayekuj kuishi naye maisha yangu yote, sasa siwezi kufanya makosa hapo yani katika mademu zangu wote sioni hata mmoja anayefaa kuwa mke

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Mkuu Waswahili tunasema! "Umzanie ndiye kumbe siyo,na umzanie siyo kumbe ndiye' kila la kheri Mkuu kwenye utafutaji wa Mke mwema!!
 
Jamani nimetafakari kwa kina kuhusu hiki kilichowasilishwa kwenye hii mada nikagundua hizi lawama tunazojaribu kuwatupia wasichana kwamba wamekuwa wadangaji ni matokeo ya akili mbovu za mwanaume. Hivi ni nani aliye na mamlaka ya kiutawala na kiuongozi kama siyo mwanaume!? ni nani anayetakiwa kuweka directives za kimaadili na kimalezi kwa mtoto wa kike na kiume kama siyo mwanaume? hao wasichana wanaodanga wanadanga na nani kama siyo wanaume? Ninawaomba radhi wanawake kwa zile comment zangu za awali na kuficha upumbavu wa mwanaume kwenye hili. Na sasa nawahitaji wanaume wote tujipigepige kifua tuitikie kibwagizo hiki "Sisi wanaume ni wajinga na wapumbavu kweli kweli" rudia mara tano....
Halafu mods. napendekeza heading ya hii thread isomeke kama ifuatavyo "Sisi wanume tumekuwa wajinga sana kushindwa kuthibiti maadili ya watoto wa kike na wa kiume" na mjadala uanze upya.
 
Dunia ina kasi sana, siku hizi ukimsalimia du tu tayar ushaitwa mume na viutani utani vya kujilengesha.... Ukilegeza kidog vibomu na vilunch vya ovyoovyo vitakuhusu..... Kiukweli siku hizi wamekuwa ombaomba sanaaaaa....
dah ni shida kuna moja kanafanya usafi benki sasa kameshakariri saa yangu ya kwenda kunywa chai aisee haka kananipiga mzinga wa tea hatanifanyeje na hakaoni haya
 
Sasa na nyie kuomba kwani tutalazimisha mtuombe? Tatizo mnatumia kitumbua kama chambo bhana...

Afu wanaume sijui tukoje... kitumbua kina sura mbaya kama nini lakini unakuta tuko bize tunakilamba kama nyau...
Hahahah kama paka inalamba maziwa
 
Sasa wasichana wadogo watapendwa na nani kama vijana ndo wameamua kula chipsi yai, urojo, kusuka nywele, kuvaa hereni na kuvaa suruali chini ya makalio?
Watapendwa na hao hao vijana wenzao, nyie pendaneni na wazee wenzenu.
 
Shida ni umasikini tu Wakiwa na hela hao madem huwezi kuwakuta wanafanya mambo ya Hivo so point ni ile ile WATAFUTE HELA ZAO
 
Back
Top Bottom