Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Sasa hapa huoni ndio tunapendana live?na leo hunipendi sio? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapa huoni ndio tunapendana live?na leo hunipendi sio? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
thanks darln, unajua wivu wakati mwingine hata unakuwa huoni.Sasa hapa huoni ndio tunapendana live?
hahah mkuu unajua mke ni mtu nitayekuj kuishi naye maisha yangu yote, sasa siwezi kufanya makosa hapo yani katika mademu zangu wote sioni hata mmoja anayefaa kuwa mkeSanuka Mkuu! Huyo Demu wako anatafuta chimbo la kudumu na yeye atulie awe Mama mwenye ghetto, na mwisho ndiyo anakua Mke wako! Kuna Mademu wanajuwa kutujaza Upepo na tunajaa!!
Mkuu Waswahili tunasema! "Umzanie ndiye kumbe siyo,na umzanie siyo kumbe ndiye' kila la kheri Mkuu kwenye utafutaji wa Mke mwema!!hahah mkuu unajua mke ni mtu nitayekuj kuishi naye maisha yangu yote, sasa siwezi kufanya makosa hapo yani katika mademu zangu wote sioni hata mmoja anayefaa kuwa mke
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Love you too....thanks darln, unajua wivu wakati mwingine hata unakuwa huoni.
my appologies for not noticing this.
dah ni shida kuna moja kanafanya usafi benki sasa kameshakariri saa yangu ya kwenda kunywa chai aisee haka kananipiga mzinga wa tea hatanifanyeje na hakaoni hayaDunia ina kasi sana, siku hizi ukimsalimia du tu tayar ushaitwa mume na viutani utani vya kujilengesha.... Ukilegeza kidog vibomu na vilunch vya ovyoovyo vitakuhusu..... Kiukweli siku hizi wamekuwa ombaomba sanaaaaa....
Hizo zinakuwaga tamu sana Mkuu na zina utelezi mwingi hadi kwenye mashavu kwa nje!!Haina mvuto imekuwa nyeusi kama imepakwa lami vile
Hahahah kama paka inalamba maziwaSasa na nyie kuomba kwani tutalazimisha mtuombe? Tatizo mnatumia kitumbua kama chambo bhana...
Afu wanaume sijui tukoje... kitumbua kina sura mbaya kama nini lakini unakuta tuko bize tunakilamba kama nyau...
Hama mgahawa hapo kwani lazima uende hapo?dah ni shida kuna moja kanafanya usafi benki sasa kameshakariri saa yangu ya kwenda kunywa chai aisee haka kananipiga mzinga wa tea hatanifanyeje na hakaoni haya
Watapendwa na hao hao vijana wenzao, nyie pendaneni na wazee wenzenu.Sasa wasichana wadogo watapendwa na nani kama vijana ndo wameamua kula chipsi yai, urojo, kusuka nywele, kuvaa hereni na kuvaa suruali chini ya makalio?
Ndo ka mgahawa kana hadhi kidogo hapa tulipo vingine ni vibanda vibanda tu sasa na kenyewe huwa ndo kanatumwa kufuata chai na vitafunwa hapaHama mgahawa hapo kwani lazima uende hapo?
Hehehe we una ajenda sasa ili usilie lie hakikisha umekagonga X tu!Ndo ka mgahawa kana hadhi kidogo hapa tulipo vingine ni vibanda vibanda tu sasa na kenyewe huwa ndo kanatumwa kufuata chai na vitafunwa hapa