Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kwanini siku hizi hunipendi kama zamani? Nimwachie Mungu?duuuh Jf haijawah acha mtu salama kwa vicheko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini siku hizi hunipendi kama zamani? Nimwachie Mungu?duuuh Jf haijawah acha mtu salama kwa vicheko
Nakupenda sana jaman ila roho nayo inauma maana unavyobebishwa huku ni hatari na nusu ila nilimwachia Mungu.Kwanini siku hizi hunipendi kama zamani? Nimwachie Mungu?
Aaaah jamani.. nani ananibebisha?Nakupenda sana jaman ila roho nayo inauma maana unavyobebishwa huku ni hatari na nusu ila nilimwachia Mungu.
woow hujui vile naumia ndo maana unatamka kirahis ...ila acha Mungu anijibu tu sina namna ingineAaaah jamani.. nani ananibebisha?
Usitishike na miluzi mingi, mie mbwa wako naujua mluzi wako....
Usiumie bhana. Utaifanya roho yangu itengane na mwiliwoow hujui vile naumia ndo maana unatamka kirahis ...ila acha Mungu anijibu tu sina namna ingine
isitengane bhana though unanifanyia hivyo lakini bado nakupenda,,,,si unajua ule usemi with time ataacha ndio nimeweka akilini mwangu na maisha yanaenda...sasa mwili ukitengana na roho huoni utaniumiza zaidi?Usiumie bhana. Utaifanya roho yangu itengane na mwili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wape na suluhu sasa waache kudanga wafanye nini!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dunia ina kasi sana, siku hizi ukimsalimia du tu tayar ushaitwa mume na viutani utani vya kujilengesha.... Ukilegeza kidog vibomu na vilunch vya ovyoovyo vitakuhusu..... Kiukweli siku hizi wamekuwa ombaomba sanaaaaa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ninavyopenda watoto wa kike kuliko wa kiume nitakoma!
Anzeni kwanza nyie wazee kuacha kupenda wasichana wadogo.Jana nimepaki sinza inasikitisha sana vitoto vya udsm
Taifa letu limepotea kabisa vitoto vinaingizwa kwenye magari na kuchezewa inauma kama una mtoto wa kike kama nilivyo Mimi
Natakiwa kupambana sana mtoto wangu elimu ya juu akasome hata ulaya uko bora wazungu wanajua kufanya ngono salama.
Mungu atunusuru
[emoji23][emoji23][emoji23] daaahYaani ni janga, na nyie ndio mnaowachachua. Haya pamabaneni, sijui tunatengeneza kizazi cha aina gani[emoji2297][emoji2297]
Hakika kabisaaah.Mambo yao waachie wenyewe...
utasema kongoroAlooo papuchi nyingi Zina sura mbaya aiseee dah![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
angalia ndo anajimilikisha geto hivyo..huwa najihami sana na mapigo ayona sasa hiv sio wasicahana wanaojiuza tu hata hawa madem zetu huku mtaani wamekua cheap mnoo yani mademu hawana hiyana kabisa demu unatongoza leo kesho anakupa mzigo aisee asa usiombe uwe na geto utavitafuna hadi utaona hichi nini mana inafikia muda hadi unaulizwa "my kesho utakuwepo nije" ni hatari hii wanangu. Unaweza ukakutana na msichana hata hamjuan kabisa ukimpigisha stori kidogo then ukimuomba namba anakupa baadae unamtongoza anakubali bila shida na mzigo unapewa kiulain kabisa . Binafsi hapa nimetongoza demu mpk najuta kwann nimemtongoza mana kila saa anataka kuja geto hadi imekua kero sometime akija nikiwa namishe zangu nataka kutoka huwa anagoma kuondoka ananambia nimuchie funguo nikirudi nitamkuta, maamae yani demu ananifanya muda wote nifikirie papuchi tu baada ya kuwaza mipango ya kusaka mavumba
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haina mvuto imekuwa nyeusi kama imepakwa lami vile
Angalau umenipa matumaini maana mapigo ya moyo yalianza kuchukua kasi...isitengane bhana though unanifanyia hivyo lakini bado nakupenda,,,,si unajua ule usemi with time ataacha ndio nimeweka akilini mwangu na maisha yanaenda...sasa mwili ukitengana na roho huoni utaniumiza zaidi?
acha hizo basi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah wee lolSasa na nyie kuomba kwani tutalazimisha mtuombe? Tatizo mnatumia kitumbua kama chambo bhana...
Afu wanaume sijui tukoje... kitumbua kina sura mbaya kama nini lakini unakuta tuko bize tunakilamba kama nyau...
na leo hunipendi sio? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Angalau umenipa matumaini maana mapigo ya moyo yalianza kuchukua kasi...
Baada ya kusema hayo napenda kukuthibitishia kuwa nakupenda sana, ntaendelea kukupenda kila kesho na daima. Ukidedi nakufuata twende wote...
Sasa wasichana wadogo watapendwa na nani kama vijana ndo wameamua kula chipsi yai, urojo, kusuka nywele, kuvaa hereni na kuvaa suruali chini ya makalio?Anzeni kwanza nyie wazee kuacha kupenda wasichana wadogo.