Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NzuriiiiiWalime mchicha badala ya kuuchuma
Kwani mama D anasemaje kwenye hili janga?Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko la wasichana kudanga limeshamiri kwa kasi sana Wameona kudanga ndo deal [emoji53] Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28 [emoji2319]
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope
Wawe na chura au mjusi?Wapi nimesema kuwa nina binti wa kike?Nimesema napenda watoto wa kike.
Kwani mama D anasemaje kwenye hili janga?
Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko la wasichana kudanga limeshamiri kwa kasi sana Wameona kudanga ndo deal [emoji53] Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28 [emoji2319]
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope
Haina mvuto imekuwa nyeusi kama imepakwa lami vile
Sema nini,,ni safi mzee..Haina mvuto imekuwa nyeusi kama imepakwa lami vile
Uongo.je kwani unaweza kupiga deki pale mzee baba?
Ndio naweza,,provided kwamba namwamini na kumpenda 100pc.Uongo.je kwani unaweza kupiga deki pale mzee baba?
Hakunaga Cha bure siku hzHalafu ukimuingiza lodge mupo kitandani hamujavua chochotr utasikia "unanipa sh ngapi" hapo hapo stimu inaisha kumwabia basi unataka lkn ukimuangalia Songoro kashadinda unakubali bora yesheeeeeee
Kumbe vipicha vya dizaini hiyo mods. wanaviruhusu humu.....nilikuwa sijui.Ndio naweza,,provided kwamba namwamini na kumpenda 100pc.
naogopa kuuliza hili neno kwa mpalange ila acha niulize tu nieleweSwala la kuoa ni changamoto sana kipindi hiki ...coz...Watoto wanachakatwa kwel kwel ..Tamaa na show off za kijinga ndo zinawapoteza ..siku hz route ya kwampalange gari zinajaa
duuuh Jf haijawah acha mtu salama kwa vichekoHahahahahah hapo huna jinsi mzee baba ni kuila kwa upande upande ili upate tightness ya mapaja na nyonga
Sasa na nyie kuomba kwani tutalazimisha mtuombe? Tatizo mnatumia kitumbua kama chambo bhana...Asprin nimefika
Mungu aliwapa wanaume jukumu la kutuongoza, ikiwa wanaume wakiamua haya mambo yote yaishe yataisha