Wasichana na Kizazi hiki wamekuwa hatari sana

Wasichana na Kizazi hiki wamekuwa hatari sana

Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko la wasichana kudanga limeshamiri kwa kasi sana Wameona kudanga ndo deal [emoji53] Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28 [emoji2319]
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope
Wamejiwekea hadi madaraja wanataja dau......huu ni upunguani mkubwa kwa mtoto wa kike, mtoto wa kike unajifanya kama bidhaa inayouzwa sokoni! sitaki kutaja makabila lakini mjiangalie sana kama mnatunza hadhi ya mtoto wa kike ambaye anategemewa kuwa mama wa familia na taifa kiujumla.
 
[emoji28][emoji28][emoji23]mkuu hii sio kweli ukubwa wake hautegemei kudanga ni maumbile Tu vipi kuhusu walozaa watoto wengi?
Kuna wanawake wakizaa baada ya muda papuchi inarudi kwenye quality yake..kuna hormonal modification inatokea.

Ikiongezeka kisa ya mikuyange,aisee inakuwa hamna taste kabisa..
 
Ndo maana wanawake wengi hawawi submissive kwa waume zao, yaani utii zero........unaongea mwanamke anajibu, unaongea tena anajibu tena kwa sauti ya juu, wameshakuwa na waume wengi saaaaaana hawaoni tena maajabu kwa mwanaume. Yaani wanaume wa kizazi hiki tujihurumie kwa kweli, maana probability ya kuangukia kwenye kuoa dangaji ipo juu sana, zaidi ya asilimia tisini...
 
Ndo maana wanawake wengi hawawi submissive kwa waume zao, yaani utii zero........unaongea mwanamke anajibu, unaongea tena anajibu tena kwa sauti ya juu, wameshakuwa na waume wengi saaaaaana hawaoni tena maajabu kwa mwanaume. Yaani wanaume wa kizazi hiki tujihurumie kwa kweli, maana probability ya kuangukia kwenye kuoa dangaji ipo juu sana, zaidi ya asilimia tisini...
Zile kauli za bwanae tusichoshane 😅😅😅
 
Wa uswahilini utasikia na kusoma SMS "my" "my" "my".....

CHEAPEST and DESPERATE.....🤣
 
Jana nimepaki sinza inasikitisha sana vitoto vya udsm

Taifa letu limepotea kabisa vitoto vinaingizwa kwenye magari na kuchezewa inauma kama una mtoto wa kike kama nilivyo Mimi

Natakiwa kupambana sana mtoto wangu elimu ya juu akasome hata ulaya uko bora wazungu wanajua kufanya ngono salama.

Mungu atunusuru
Aaaamin.....

Kuwa nao karibu zaidi ya mama yao.....hata wakiwa na umri wa kupevuka.....

Tafiti bubu inasema....watoto wa kike walio karibu na baba zao...mfano kwenda mipirani ..kudiscuss nao...kucheza nao games tofauti huwafanya wawazoee wanaume(hata kwa kuwaona tu ) na kutokuwa MATEKA WA HILA ZAO....hilo hupelekea kujiamini kuliko kukubwa na kuongezeka UFAHAMU WA KUYATAWALA MAZINGIRA yao zaidi ya kutawaliwa na MAZINGIRA ....
 
Back
Top Bottom