Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu ukiwafatilia sana utaumia kichwa kuna ambao wanajichukulia kama bidhaa nakushauri fanya kama watakavo but with precautions zaidi ya hapo utaonekana boya of the century.Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko la wasichana kudanga limeshamiri kwa kasi sana Wameona kudanga ndo deal [emoji53] Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28 [emoji2319]
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope
hiyo HIV wanapata kwa kunywa au kugusishana vikojoleo vya me na ke?Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh
Waoaji wenyewe ndio vile!!! Ni kama wateja wa parachichi wanabonyeza kumi wananunua moja....Watulie waolewe
😂😂😂Waoaji wenyewe ndio vile!!! Ni kama wateja wa parachichi wanabonyeza kumi wananunua moja....
Wao wanataka waolewe kwanza ndipo watulie. Hapo ndiyo tatizo lilipoWatulie waolewe
Tangu LILLUTH hadi EVA(HAWA) mwanamke asili yake kudanga au nasema uongo ndugu zangu.Kudanga hoyeeee... ni natural...
Tangu LILLUTH hadi EVA(HAWA) mwanamke asili yake kudanga au nasema uongo ndugu zangu.
Kajala na mwanao huko mlipo tunawaomba mje kuwapa somo wanawake wenzenu hapa JF.Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko la wasichana kudanga limeshamiri kwa kasi sana Wameona kudanga ndo deal [emoji53] Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28 [emoji2319]
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope
Wape na suluhu sasa waache kudanga wafanye nini!!!
Na anweza akayabinya binya asinunue vile vile😂😂😂Waoaji wenyewe ndio vile!!! Ni kama wateja wa parachichi wanabonyeza kumi wananunua moja....
Wewe personally unaweza kudanga?Kudanga kumekuwa ndo njia rahisi ya kujipatia kipato kuliko kuajiriwa, kwanza kudanga unajiajiri huduma yako ni mobile unaipeleka popote kulingana na dau, huhitaji kutafuta mtaji ama vyeti......hata wateja nao wapo ukiona hivyo.....hasa kwa mpalange.....
Waoaji wenyewe wapo sasa? Si ndiyo hao wanazoea kufukua mitaro afu anakuja kuoa mke ilimradi tu kaoa ndani hatulii adi aende nje akafukue mitaroWaowaji tutateseka sana miaka inayokuja..papuchi nyingi dashboard zitakuwa zinasoma 380,000Km..tutapata wa kuoa kweli?
Ajira hamna... alisikika mdangaji mmoja akiongea peke ake.Kwani wengine wasio danga wanafanya kazi gani?... akili ukiiset kwenye ujinga utakuwa mjinga na ujinga utaona ndio suluhu ya matatizo yako..
Ni sawa na jambazi, mwizi au mchawi - hizi ni tabia za kipumbavu ambazo chanzo chake ni upuuzi kichwani na uvivu wa kufikiri...eti nisipoiba nitafanya kazi gani? kwani ambao hawaibi wanafanya kazi gani?