Wasichana na Kizazi hiki wamekuwa hatari sana

Wasichana na Kizazi hiki wamekuwa hatari sana

Kwani wengine wasio danga wanafanya kazi gani?... akili ukiiset kwenye ujinga utakuwa mjinga na ujinga utaona ndio suluhu ya matatizo yako..

Ni sawa na jambazi, mwizi au mchawi - hizi ni tabia za kipumbavu ambazo chanzo chake ni upuuzi kichwani na uvivu wa kufikiri...eti nisipoiba nitafanya kazi gani? kwani ambao hawaibi wanafanya kazi gani?
Umenena vyema

Kingsmann
 
Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko la wasichana kudanga limeshamiri kwa kasi sana Wameona kudanga ndo deal [emoji53] Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28 [emoji2319]
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope
Hakikisha umevaa bullet proof na helmet ya kivita! Wanakuja na silaha za maangamizi ikiwemo nyuklia bombs😂😂😅
 
Kwani Wanadanga wenyewe? Wanaofanikisha Udangaji nao walaumiwe.

huku nikujifariji kwa kuidanganya nafsi au kughairisha tatizo ukiamini umesolve..

Anaye dhalilika hapa ni Mwanamke sio mwanaume mnunuzi...sasa tusiilazmishe jamii iamini hata mnunuzi anadhalilika wakati "nature" inakataa...

Mtaani mwanamke akiwa na uhusiano na wanaume watatu ataitwa malaya tu na atanyooshewa vidole sana, ila mwanaume akifanya hivyo mtaa unakuwa kimya...hii ni nature tusishindane nayo... na ni tafsiri ya uthamani wa kiumbe anayeitwa mwanamke..
 
Ajira hamna... alisikika mdangaji mmoja akiongea peke ake.

duniani kote kila mahala kuna tatizo la ajira...basi kila mwanamke kila mahala akajiuze..?.....hapana aisee huu ni uvivu wa kufikiri na mwisho wake ni kujilaani mwenyewe na unakufa bila maendeleo yeyote zaidi ya kuwa na CV mbovu...
 
90% ya hawa wanaoishi maisha haya mwisho wao unakuwa wa hovyo sana na huwa malengo yao hayatimii zaidi ya kuishi hivyo mpaka uzee kiasi cha kudhalilisha hata familia,watoto, mme nk.. na wengine huishia kuwa Malaya aka Makahaba mpaka uzee wao..( unakuta bibi kizee anashindana na umri ili aendelee kudanga).
 
Report maalum
Screenshot_20210705-145937.jpg
 
Back
Top Bottom