Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Katika vitu vinanishangaza ni wanawake wa kileo kutafuta wafanyakazi na wafanyabiashara baada ya kutafuta wanaume wa kuwaoa.

Inakuwaje mwanamke unaweka sharti la dini kwenye ndoa na sharti la mume au mke kuwa na kazi?

Dini sio ndoa Kama dini ni ndoa mngetongozwa uko msikitini na Makanisani kwanini hampati waume uko msikitini na Makanisani?

Au kwanini hampati waume uko makazini kwenu wakati mkija mitandaoni mnaanza kusumbua watu kwa vigezo kibao?

Natoa ushuhuda, mimi baba yangu na mama yangu wameoana mwaka 1985 na baba yangu hakuwa na kazi alikuwa kamaliza kidato cha nne lakini waliishi mpaka baba akaja kuwa mwandisi baadaye mwaka 1995 wakati huo tulishazaliwa sisi watoto wake.

Pia natoa mfano wangu mimi wakati namaliza chuo nilikuwa sina kazi mwaka, nilikuwa napanga chumba kimoja kinondoni lakini nilioa na baada ya kuoa nikaanza biashara na kupiga pesa mpaka leo nina familia na nyumba yangu ya kuishi na ndoa yangu ina amani sana.

Kama mke wangu angetaka mtu mwenye kazi na masharti kibao leo angekuwa hajaolewa.

Nawashauri wanawake waache kuweka masharti mengi kwa wanaume, kwenye ndoa hakuitaji masharti muhimu upendo hayo mambo ya dini, sijui kazi, kama unataka wa dini yako kamtafute msikitini au kanisani.

Na kama unataka mtu mwenye kazi mpate hapo hapo unapofanya kazi!
 
Inategemea na ofisi.. ofisi nyingine wamama ndio wamejaa, au wengine wababa watu wazima sanaaa..

Hapo hatutoboiii 🤪
Kusema la ukweli ulizemi mujibiwe. Sio sawa kabisa kunijaji au kunitukana pia.
 
Katika vitu vinanishangaza ni wanawake wa kileo kutafuta wafanyakazi na wafanyabiashara baada ya kutafuta wanaume wa kuwaoa...
Hapo kazini wanamjua matatizo yake.

So wanakimbia msala ndo maana anaenda wasipomjua[emoji23][emoji23] na huko kanisani ndo kabisa wanaume wanaogopa kuchukua mzigo kule maana wengi ni wameficha makucha wameweka sura za watakatifu ndo maana makanisani wanaume wameuchuna.

We hujiulizi why siku ikiwa ya kuwaombea wadada wanaotaka wachumba kamwe hutaona wanaume kwenye hiyo misa wakitafuta WA kuwapata.
 
Inategemea na ofisi.. ofisi nyingine wamama ndio wamejaa, au wengine wababa watu wazima sanaaa..

Hapo hatutoboiii [emoji2957]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Hapo kazini wanamjua matatizo yake... So wanakimbia msala ndo maana anaenda wasipomjua[emoji23][emoji23] na huko kanisani ndo kabisa wanaume wanaogopa kuchukua mzigo kule maana wengi ni wameficha
Acheni kujaji watu na kutukana watu, ulizeni mtajibiwa. Sio tabia njema hiyo kabisa.
 
Back
Top Bottom