Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
Uko sahihi kwa hili pia. Basi angalau umkute mtu anajishughulisha na kufanya kitu/kazi basi.Nakazia kuwa waache tamaa ya kutazama karibu.
Ni heri waanze zero na wanandoa wao
Kwa sababu kazi ni kazi tu lakini ikiwa ya halali. Muhimu tu mwezio asiwe mvivu. 🙏🙏