Wasichana wa Afrika Kusini ni hatari

Wasichana wa Afrika Kusini ni hatari

Hongera kwa kutupeperushia vizuri bendera yetu huko Dzonga
 
Ngoma pima baada ya miezi mitatu uwa nashangaa mtu kafanya ngono jana kesho anakimbilia kupima.
Nimesoma story natafuta unoma wao sijaona unoma wowote.
Mkuu nishapima sana ujue kiufupi nimeanza kupima nikiwa Tz kuanzia 2007 nimeanza hadi leo niko fresh.....Nashukuru sana kwahili nipo makini ile mbaya...
 
Habari wakuu.

Hii imenikuta juzi tu hapa.

Mara kwa mara siku za weekend napenda kwenda club huku South Africa sasa bana kuna kidemu fulani hivi nishakipitiaga miezi iliyopita mara moja
Mimi naomba tu kukuuliza, South Africa ni lini hizi tavern zimeanza kuwa na wahudumu kama Bongo?

Pili kama ulikuwa hujui South Africa sex ni jambo la kawaida mno tena sana na ndio sababu biashara ya kuuza nyapu imehalalishwa sehemu za wauza nyapu first class ni za kumwaga.
 
chai ya kaburu ijawahi kuacha mtu salama kwenye umalaya
 
Mimi naomba tu kukuuliza, South Africa ni lini hizi tavern zimeanza kuwa na wahudumu kama Bongo?

Pili kama ulikuwa hujui South Africa sex ni jambo la kawaida mno tena sana na ndio sababu biashara ya kuuza nyapu imehalalishwa sehemu za wauza nyapu first class ni za kumwaga.
Wacha uongo hakuna sehemu iliyohalaloshwa ya kuuza nyapu....juzi tu hamefukuzwa unaongea nini mkuu mimi naishi huku...labda sheria hiyo ipo maadhi ya Province na wahudumu wapo kama kawaida kwenye clubs
 
Wacha uongo hakuna sehemu iliyohalaloshwa ya kuuza nyapu....juzi tu hamefukuzwa unaongea nini mkuu mimi naishi huku...labda sheria hiyo ipo maadhi ya Province na wahudumu wapo kama kawaida kwenye clubs
Wewe kama upo South Africa kweli basi itakuwa unaishi location, tavern zote pombe ni self service au unanunuwa pombe liquor store unaenda kunywa nyumbani.

Kama hujui kuuza uchi South Africa ni biashara halali basi wewe hapo upo upo tu.
 
Hayo ndiyo maisha ya vijana wa kileo!
ukiona huyaishi au hujawahi yapitia maisha ya namna hii basi wewe bado sana kuyaenjoy maisha kama mwanadamu wa kawaida

kifo kipo na kila mtu atakufa,
kazi maendeleo na starehe lazima viende sawia
Hii ni sababu moja wapo inayowafanya Watanzania wengi hususani vijana wa siku hizi wanashindwa kutoka kimaisha.

Hebu fikiria mtu ameenda kuzisaka kwa watu alafu anaingia kwenye ulimbukeni na maisha ya starehe kiasi hicho? Starehe ambayo inamgharimu muda (mtu anakesha club mpaka saa kumi na moja alfajiri), hela (unaanza kulipia stahere, machangudoa na kuwalipia kodi yao ya nyumba), uwezekano mkubwa wa kuambukizwa magonjwa ya zinaa (mwisho ni umauti tu) na kibaya zaidi ni uwezekano wa kuingia kwenye mikono ya wahuni wakakumalizia mbali kwa kujifanya mjanja.


Mwisho wa siku jeneza linaporudi Tanzania, utasikia mtoto wetu amerogwa, hakuna mchawi hapo. Ni mfumo wa maisha aliyochagua mtu.

Utapoteza fursa na muda ujanani vibaya mno usipojiangalia, utakuja kulia chooni.
 
Vijana wanaokwenda Afrika Kusini bado wanapenda sana 'usela'

Hadithi zao nyingi zinahusu wanawake,utasikia,

'nina demu wa kirangirangi'kizulu au kikhosa......

Mwisho wa siku wanarudishwa wakiwa maiti au wakirudi wakiwa hai wanarudi na cheni za Silva,vipini na heleni. Bado wana tabia za miaka ya 90s.

Amkeni...
 
Hayo ndiyo maisha ya vijana wa kileo!
ukiona huyaishi au hujawahi yapitia maisha ya namna hii basi wewe bado sana kuyaenjoy maisha kama mwanadamu wa kawaida

kifo kipo na kila mtu atakufa,
kazi maendeleo na starehe lazima viende sawia
Na ukija kuchunguza kwa makini wanaofanya starehe na ndio haohao wenye maendeleo.

Ingekuwa starehe ndio kipimo cha kukosa maendeleo basi wazungu na ulaya kwa ujumla wangekuwa mafukara, huko ndiko zinakolika bata mpaka kuku anaona gere.
 
Back
Top Bottom