Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Babu matiti anamuhadithia mjukuu hadithi,,inapendeza kweli:whoo:

Tatizo kuna vimtu vinajiita vibabu, vitaanza kulia wivu.....Nambe, hadithi imekufundisha nini mjukuu?
 

:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 
kama kawa kazi yangu ya nje ni wiselady kwahiyo ndio maana unaona nimetulia
We nilikupa kazi ya kumlea binti yetu a.k.a binti Teamo, unafanya nini huku kwenye jamvi la wazee?
 
Tatizo kuna vimtu vinajiita vibabu, vitaanza kulia wivu.....Nambe, hadithi imekufundisha nini mjukuu?

sikuwahi kuskia hadithi nzuri hivi,,hadithi imenifundisha kuwa,,,usiache mbachao kwa msala upitao ni sawa babu???
 
sikuwahi kuskia hadithi nzuri hivi,,hadithi imenifundisha kuwa,,,usiache mbachao kwa msala upitao ni sawa babu???

Copy to:

Kimey:.... Aache mchezo na babu
The Finest: Aondoke kwenye jamvi la babu
Kaizer:..Kwa taarifa
RR:..Kwa kumbukumbu
Teamo: Kwa baraka zake.
 
jamani samahani hivi sisi jf dar wing tuna mpango gani na hii holiday season
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…