Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Your research was not comprehensive and lack some important information in it for decisin making purpuse.

umesema mwanaume aliyeachana na mke wake lakini hukuweka wazi sababu za kuachana kwao au nani aliyemuacha mwenzake au nani chanzo, yawezekana mwanaume ndiye aliyemuacha mke lakini mke akawa ndiyo chanzo cha kutengana/kuachana labda alithibitisha mke wake ana uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwengine.

lets analyse reosons firts and make decisions.

:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 
Tatizo kuna vimtu vinajiita vibabu, vitaanza kulia wivu.....Nambe, hadithi imekufundisha nini mjukuu?

sikuwahi kuskia hadithi nzuri hivi,,hadithi imenifundisha kuwa,,,usiache mbachao kwa msala upitao ni sawa babu???
 
sikuwahi kuskia hadithi nzuri hivi,,hadithi imenifundisha kuwa,,,usiache mbachao kwa msala upitao ni sawa babu???

Copy to:

Kimey:.... Aache mchezo na babu
The Finest: Aondoke kwenye jamvi la babu
Kaizer:..Kwa taarifa
RR:..Kwa kumbukumbu
Teamo: Kwa baraka zake.
 
jamani samahani hivi sisi jf dar wing tuna mpango gani na hii holiday season
 
Back
Top Bottom