GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Kuna mtu kanionea Wiselady? Mkimwona mwambieni babu anamtafuta:teeth::teeth::hungry::hungry:
watoto siri ya mama..:israel::israel::israel:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu kanionea Wiselady? Mkimwona mwambieni babu anamtafuta:teeth::teeth::hungry::hungry:
Kuna mtu kanionea Wiselady? Mkimwona mwambieni babu anamtafuta:teeth::teeth::hungry::hungry:
Bado nakusubiria unipeleke paleeee panaitwa nini vile oohh mariedo au umeghairi tena Fidel??
Babu matiti anamuhadithia mjukuu hadithi,,inapendeza kweli:whoo:
Nikisema moyo wako utapona? Mwambie Kimey asikie.........Babu teeneger niko hapa kwa ajili yako,,,sema neno moja tuu
Your research was not comprehensive and lack some important information in it for decisin making purpuse.
umesema mwanaume aliyeachana na mke wake lakini hukuweka wazi sababu za kuachana kwao au nani aliyemuacha mwenzake au nani chanzo, yawezekana mwanaume ndiye aliyemuacha mke lakini mke akawa ndiyo chanzo cha kutengana/kuachana labda alithibitisha mke wake ana uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwengine.
lets analyse reosons firts and make decisions.
We nilikupa kazi ya kumlea binti yetu a.k.a binti Teamo, unafanya nini huku kwenye jamvi la wazee?kama kawa kazi yangu ya nje ni wiselady kwahiyo ndio maana unaona nimetulia
Tip Top si ni karibu tu na shekilango ilipo Rombo green view.....siji kabisa maeneo ya karibu na hapo
Tatizo kuna vimtu vinajiita vibabu, vitaanza kulia wivu.....Nambe, hadithi imekufundisha nini mjukuu?
We nilikupa kazi ya kumlea binti yetu a.k.a binti Teamo, unafanya nini huku kwenye jamvi la wazee?
sikuwahi kuskia hadithi nzuri hivi,,hadithi imenifundisha kuwa,,,usiache mbachao kwa msala upitao ni sawa babu???
Haha ha mkuu upo karibu new chatrum
Hahahahaha unaogopa mada kesi mpwa?
Shalomu watu wa Mungu
sikuwahi kuskia hadithi nzuri hivi,,hadithi imenifundisha kuwa,,,usiache mbachao kwa msala upitao ni sawa babu???