WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
ndio nini kupotea sasa na wewe au ulienda kwenye mafunzo ya kuimba nyimbo za noeli
Huwa tunapishana,,nnapotoka mlimani kuja hapa wewe unakuwa umeshaenda ovyo2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio nini kupotea sasa na wewe au ulienda kwenye mafunzo ya kuimba nyimbo za noeli
huwa tunapishana,,nnapotoka mlimani kuja hapa wewe unakuwa umeshaenda ovyo2
usiwe kama huyu
haya mtoto mzuri,,nakukaribisha xmass ntakuandalia swala
huwa tunapishana,,nnapotoka mlimani kuja hapa wewe unakuwa umeshaenda ovyo2
ukaribisho wangu hahusiki mtu mwingine zaidi yangu mimi
yaani mimi naenda ovyo mbona wanivunjia heshima kwani mimi ni kimey
hivi utakuwa mchoyo nini???
niachie kimey wangu tafadhali,,fanya uje tukamtafute zd mlimani
Habari zenu wote.
Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii
NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11
Dena Laway .orok. Ila binadamu wote si sawa. Kila mmoja na tabia za na huenda kweli chaguo lake la kwanza halikua sahihi hiyo si vibaya akapewa nafasi tena. Huenda alishinikizwa kumwoa hyo mwanamke so u just give him another chance.
kaka pole sana maana naona umeangalia shilingi upande mmoja. Research yako naona ni sawa na bidhaa za kichina
Je umejaribu kuangalia source na changamoto zaa watu kuachana?? Au umekurupuka usingizini mtu wangu? Vitu kama umalaya uliokubuhu,ulevi, uchizi, caree wa HIV/AIDS,magonjwa ya kuridhi,ugumba,ushoga,na mengine mengi ulifikiriaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa?????????????
Think twice men?
ha ha ha ha ha ha nasiiiii nasiiiiiiii nasiiii nasiiiiii nasiiiiii
hahahah lol hiyo safi sana..
mi mzima kabisa..
naona x-mass itakuwa fresh ile mbaya maana mahindi ya Karatu yanaoteshagwa kwenye mawe lol
take care
Wapi bana nipe taarifaaa basi kubeep ruksa saa hizi mkoloni hayupo