Wasichana wa JF ambao hamjaolewa



kaka pole sana maana naona umeangalia shilingi upande mmoja. Research yako naona ni sawa na bidhaa za kichina
Je umejaribu kuangalia source na changamoto zaa watu kuachana?? Au umekurupuka usingizini mtu wangu? Vitu kama umalaya uliokubuhu,ulevi, uchizi, caree wa HIV/AIDS,magonjwa ya kuridhi,ugumba,ushoga,na mengine mengi ulifikiriaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa?????????????
Think twice men?
 
Dena Laway .orok. Ila binadamu wote si sawa. Kila mmoja na tabia za na huenda kweli chaguo lake la kwanza halikua sahihi hiyo si vibaya akapewa nafasi tena. Huenda alishinikizwa kumwoa hyo mwanamke so u just give him another chance.

Ha ha ha ha ha ha nasiiiii nasiiiiiiii nasiiii nasiiiiii nasiiiiii
 

Ha ha ha ha ha wewe kweli la mchina umeshachakachuliwa huko tulishatoka mkuu eeehhh naona hata hujui nini unaongea Men ni nani hapa??? Soma thread uelewe kinachoendelea sio kukurupuka hovyo!!!!!
 
hahahah lol hiyo safi sana..
mi mzima kabisa..
naona x-mass itakuwa fresh ile mbaya maana mahindi ya Karatu yanaoteshagwa kwenye mawe lol
take care

Jambo jambo niko karatu narudi jioni leo imboru ha ha ha kuna wageni humu umewaona?? Mwaka mpya mwema banaaa
 
Wapi bana nipe taarifaaa basi kubeep ruksa saa hizi mkoloni hayupo

Dah!!! Afadhali maana mkoloni wako hata kukujulia hali naogopa mie poa basi ngoja nikutumia sms ila natuma kwenye Tigo
 
DENA umeachwa niini? Mimi Sikubaliani na wewe!
Habari zenu wote.
Kuna sababu nyingi zinachangia mtu kuachwa
1. Mwanamke anabadilika akisha ingia ndani
2. Mwananmke akuheshimu tena
3. Ana mahusiano mengine nje ya ndoa
4. Alikupendea pesa sasa kaona mambo yanaenda vibaya anaanza kuhangaika
5. Zipo sababu nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Kukubali au kutokubali inategemea sababu hapo juu!!!!!!!!!!!!!!!
 
Dah!!! Afadhali maana mkoloni wako hata kukujulia hali naogopa mie poa basi ngoja nikutumia sms ila natuma kwenye Tigo

Usijali si unajua tena tuma tu usijali mkoloni noma wee acha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…