Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wanachukuaga vitoto ili wavipelekeshe wanavyotaka...usichukue hivyo vitoto acha vilelewe huko kwanza
unachukuaje katoto yani uje uanze kukalea kenyewe
halafu ndio akutunzie nyumba na mtoto,achana na hzo age.
Pasua kichwa sio mchezo
Yaaani kanunuliwa simu na mume wa jirani
Kazi hazifanyiki anatuona wajinga wakati tumempokea na mfuko wa rambo
Hilo ni tatizo la hao single mother. Wakishatulia yeye na mwanae wakapata nguvu anawasiliana na waliomtelekeza anatoa udhuru. Hatarudi tena. Yaani unatumika kumlea yeye na mtoto akikua kidogo sahau ataondoka tu.Nimempata mmoja recently toka mafinga huko...
Ana watoto mapacha.
Naona anajielewa ila simu yake sasa. Waume zake nafikiri washashikwa nyege huko..ni full busy.
Yani niko standby kwa lolote anytime.
Mimi nina mmama mtu mzima age kama 38 alikua anafanya kazi Oman za kulea watoto, mwaka wa tano sasa bado nadunda nae, sijawahi kumpangia kazi, huwa anajipangia mwenyewe na anajua kujiongeza kweli, ameolewa ana watoto wawili, yeye anafika saa 12 asubuhi na anaondoka 11 jioni, nina msichana mdogo lakini sina wasiwasi kwa kuwa huyu mama mtu mzima yupo, sababu ya kuweka haka kasichana kadogo ni kwa emergency lets say siku huyu mama ameshindwa kufika, au labda nikisafiri atlist nyumbani pawe na mtuNaombeni ushauri tutapataje mmama wa kudumu??
[emoji23][emoji23][emoji23] pole best, mimi huwa sichujui wasichana wa vijijini au nkoani, ni wasumbufu yani wakizibuka ndo utajuta, tafuta msichana wa kuja na kuondoka wa hapahapa mjini, huwa wanajitambua na hawana ushambaPasua kichwa sio mchezo
Yaaani kanunuliwa simu na mume wa jirani
Kazi hazifanyiki anatuona wajinga wakati tumempokea na mfuko wa rambo
Kabisa kabisa.Hilo ni tatizo la hao single mother. Wakishatulia yeye na mwanae wakapata nguvu anawasiliana na waliomtelekeza anatoa udhuru. Hatarudi tena. Yaani unatumika kumlea yeye na mtoto akikua kidogo sahau ataondoka tu.
we mmama nichukue mimi sina kazi pia nina uzoefu wa iyo kazi yako lakini sharti langu sitaki mwanaume yoyote atakayekuja kulala ndani
Hio ni nzuri lakini si vema kukaa na msichana wa watu mpaka anakosa fursa za kuolewa na mengine mengi umri ukishaenda ni vigumu kupata fursa.Hamna njia rahsi ya kukaa na dada wa kazi na kudumu nae kama UPENDO ukitaka dada wa kazi adumu kwako mpende na mthamini kama unavyojithamini
kwanza tutambue kuwa huyo ni msaidizi wa kazi na sio mfanya kazi,maana yake ni wewe mama unapokua nyumbani huna kazi basi shirikiana na dada kufanya kazi pamoja
lakini pia tafuta kitu cha kumfunga huyo dada wa kazi,yani mfunge awe wako mpk utakapo amua wewe Aende au vinginevyo,Kuna vitu vingi unavyoweza kuvifanya kwa dada wa kazi ukam BLOCK
1.Mpeleke shule ya Ufundi Cherehani/Upishi
Mlipie ada tafuta shule ya bei nafuu kbsa awe anaenda kila j5 au kila jmosi anaenda hko anajifunza mapshi au ufundi kisha anarudi,unakua unampa ahadi akimaliza mafunzo vzr akiweza utamfungulia ofisi ya cherehani,huyo dada atakuaakifanya kazi kwa bdiii sana kwa sababu unampenda lkn pia unamuendeleza,mawazo ya kuku udhi atayaondoa na atakua makini kwa hali kubwa sana ili asikuudhi.
2.Mfungulie biashara Hapo Hapo home
najua hukosi friji mruhusu atengeneze ice cream,mnunulie mahitaji ya ice cream ambayo mahtaji hayazidi hata 10,000 muwekee tangazo hapo nnje kama atauza vi ice cream na barafu,hela itayopatkana Muachie iwe yake"USICHUKUE HATA SENT" tena siku moja moja unaweza ukamtania ukamwambia "dada naomba nikopeshe 500" hawezi kukosa atakupa then utakaa nayo baada ya siku mbili unamrudshia..
Hii tunafanya si kwasababu tunapesa za kuchezea ila tunafanya vitu vya kumfunga huyu dada wa kazi awe wetu milele na daima.
Unaweza mnunulia Gunia la mkaa ukamwambia awe anauza mkaa hapo nnje,muache auze mkaa wake atapanga mkaa wake nnje kisha atarudi ndani kufanya kazi zake,mtu aktaka mkaa atamuita ataenda,Atakua anapata hela za mshahara wake kuptia biashra zake kwakua ww boss upo na unaona biashara zinavyoenda na wewe ndio unaemnunulia vitu Unaweza kbsa kujua hizi biashara zake zinaenda au haziend,Kama umeona haziend ikifka mwsho wa mwezi mpe mshahara wake kama kawaida.
Usiruhusu awaze et biashara mbaya ntakosa hela,hapana hizi biashara n changa la macho kwa dada wetu wa kazi ili awe loyal kwetu Atutunzie watoto wetu,alinde nyumba yetu yenye thamani ya mamilioni,Atunze afya zetu zenye thamani isiyoweza kutamkika,huyu n zaidi ya dada wa kazi lazima tutumie kila mbinu ili kumfanya ajione Kapata BOSS bora.
Njia za kuishi na dada wa kazi zipo nyingi sana ila lazima ukubali kujitoa kwa ajili yake hyo haitoshi pia upendo usio wa kinafki umuonyeshe dada,nakuambia huyu mdada wa kazi siku akikosea ukamtshia kumfukuza Atakulilia mpk utashangaa,na ukimsamehe hatokaa arudie hilo kosa milele.
😆😆Nimempata mmoja recently toka mafinga huko...
Ana watoto mapacha.
Naona anajielewa ila simu yake sasa. Waume zake nafikiri washashikwa nyege huko..ni full busy.
Yani niko standby kwa lolote anytime.
[emoji23][emoji23][emoji23] pole best, mimi huwa sichujui wasichana wa vijijini au nkoani, ni wasumbufu yani wakizibuka ndo utajuta, tafuta msichana wa kuja na kuondoka wa hapahapa mjini, huwa wanajitambua na hawana ushamba
hahhaa..ukweli mtupu...na ukifanya mchezo wewe ndio unakuwa mdada wakehousegirls siku hizi ni moto
baada ya wewe uwapige interview wao wanakupiga wewe
mara nyumba ina watoto wangapi watu wanakaa mda gani nyumbani nyumba ina ukubwa gani duh
Akinibaka na mtoto je?
[emoji23][emoji23][emoji23]Jaribu wa Joyce kiria
Nataka wa kuishi nae akiondoka usiku nitakuwa mpweke Sana bna[emoji23][emoji23][emoji23] pole best, mimi huwa sichujui wasichana wa vijijini au nkoani, ni wasumbufu yani wakizibuka ndo utajuta, tafuta msichana wa kuja na kuondoka wa hapahapa mjini, huwa wanajitambua na hawana ushamba
Kha..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jaribu wa Joyce kiria
Mimi nina mmama mtu mzima age kama 38 alikua anafanya kazi Oman za kulea watoto, mwaka wa tano sasa bado nadunda nae, sijawahi kumpangia kazi, huwa anajipangia mwenyewe na anajua kujiongeza kweli, ameolewa ana watoto wawili, yeye anafika saa 12 asubuhi na anaondoka 11 jioni, nina msichana mdogo lakini sina wasiwasi kwa kuwa huyu mama mtu mzima yupo, sababu ya kuweka haka kasichana kadogo ni kwa emergency lets say siku huyu mama ameshindwa kufika, au labda nikisafiri atlist nyumbani pawe na mtu
Hawa watu wazima wanajitambua sana though mshahlara wao ni mkubwa kidogo kuanzia 200,000 kwenda juu ila hutajuta, wala hutakua na muda wa kupigizana nae kelele maana anajua anachofanya na wana upendo sana na watoto, hawana hasira za hovyoo na ni waaminifu sana
Pia amekua kama ndugu kwa sasa maana ni muda mrefu na yupo very committed tena anaipenda kazi balaa
Nnachofanya kila mwaka huwa nampa salary increament hata kama ni ya 20,000 na vibonus vya hapa na pale
Mfano siku za sikukuuu huwa nawanunulia watoto wake vizawadi kama nguo, viatu, na mara nyingi pia huwa tunawaalika kwetu kama kukiwa na event hata watoto wake wanakuja wanalala, lengo ni sitaki kumpoteza mpaka wanangu wafike umri wa kujitegemea maana watoto wanampenda sana na anakaa nao vizuri
Pia na yeye huwa simsahau vocha za hapa na pale, vitenge, mkoba, just kump motisha
Ki ukweli ni mtu mzuri sana na anajituma mpaka unafurahi.
Kama ukimpata mtu mzima ambae anajitambua kwa kweli utasahau hizo adha za vischana vya kijijini vinavyosumbua kila kukicha