Bila kusahau watoto wana umri gani, wanatoka shule saa ngapi,housegirls siku hizi ni moto
baada ya wewe uwapige interview wao wanakupiga wewe
mara nyumba ina watoto wangapi watu wanakaa mda gani nyumbani nyumba ina ukubwa gani duh
Mtu anaekaa na wanao lazima umthamini sana, la sivyo nae hawezi juwathamini watoto wakoUna roho nzuri sana Mtende
Mi mwenyewe nilijibia moyoni kuwa inaonyesha ana tabia ya usimangaji nikapiga tu kimya isiwe tabuWewe ukisikia unasemwa hivyo UTAJISIKIAJE?
UNASIMANGWA?
UNAPONGEZWA?
UNABEMBELEZWA?
Kubali kosa, jirekebishe alafu BADILIKA...
Unasema eti "kama unaona namsimanga sawa"
Haya labda mimi naona hivyo...tuulize wajumbe wengine wanayaonaje maneno yako....?
Duh! Pale ambapo mshahara wa muajiriwa unazidi wa muajiriNadhani kuna ulazima hii kazi ikafanywa kwa mkataba wa kimaandishi na malipo kuwa mazuri; mfano; ukibandika tangazo la kuitaji dada wa kazi, kwa mkataba wa miaka 2, mshahara Tsh. 300,000/mwezi. Nadhani waombaji utawakimbia mwenyewe. Huwa najiuliza inakuwaje wakenya wengi wako nchi za uarabuni wanafanya hizi kazi, huwa wanalipwaje?
angalia asije kukuchukulia mume akawa mke mwenzaMtu anaekaa na wanao lazima umthamini sana, la sivyo nae hawezi juwathamini watoto wako
Sema wakati mwingine wadada huwa hawana shukrani hata uishi nae kama ndugu bado atakutenda, ila kwa huyu naona kama nimebahatika ndio maana sitaki kumpoteza
Atamlaje sasa?!Tafuta mdogo wako ukae nae
Ona hiiNaombeni ushauri tutapataje mmama wa kudumu??
Punguza na wewe kwenda kwenye majumba ya watu wakati wa chakula...wadada wa kazi ni binadamu kama binadamu wengine, hii nimeiona kwenye majumba mengi unakuta mda wa kula msaidizi utakuta yupo jikoni na sufuria la makoko ya wali wakati wenye nyumba wapo mezani wanakula, kwa nini uyu msaidizi na yeye awepo kwenye meza ya familia hili ni tatizo wakuu
hahahahaha,,,, sawa mkuu ntapunguzaPunguza na wewe kwenda kwenye majumba ya watu wakati wa chakula...
Sin hofu hiyo wala mawazo hayo ndugu, assume umemchukua mtoto wa shangazi yako kwa makubaliano kwamba baada ya kipindi fulani utamsomesha ili nae ajitegemee, unaweza kuanzisha nae mahusiano ya kimapenzi out of your wife?angalia asije kukuchukulia mume akawa mke mwenza
hapana kama mnashea damu sidhani kitendo kama icho kitatokea but wanaume mara nyingi wanakuwa na akili kama watoto yapasa kuwa makini kwenye mji wakoSin hofu hiyo wala mawazo hayo ndugu, assume umemchukua mtoto wa shangazi yako kwa makubaliano kwamba baada ya kipindi fulani utamsomesha ili nae ajitegemee, unaweza kuanzisha nae mahusiano ya kimapenzi out of your wife?
Nashujuru kwa angakizo, ila na wewe nakupa angalizo kidogo, Jinsi ambavyo huwezi kufanya mahusiano na mtoto wa nduguyo au mtoto wako, same way ujaribu kuheshimu watoto wa wenzio au wake wa wenziohapana kama mnashea damu sidhani kitendo kama icho kitatokea but wanaume mara nyingi wanakuwa na akili kama watoto yapasa kuwa makini kwenye mji wako
Ndipo changamoto ilipo; kama watakuwa wanalipwa vizuri wale wenye akili timamu watafanya. Ila kama unamlipa 20,000/= usitegemee huyo muhusika kuwa na akili timamu,amini ipo siku atakuletea janga la ajabu.Duh! Pale ambapo mshahara wa muajiriwa unazidi wa muajiri
Mtu anaekaa na wanao lazima umthamini sana, la sivyo nae hawezi juwathamini watoto wako
Sema wakati mwingine wadada huwa hawana shukrani hata uishi nae kama ndugu bado atakutenda, ila kwa huyu naona kama nimebahatika ndio maana sitaki kumpoteza
Eeeh alikuwaje?nakumbuka wife alisema anataka HG nikamtafutia, yule bint alifika home nikiwa sipo na wife akamtimua the same day kabla sijarudi.... nikasema wacha nitafute hata picha ya huyo bint nimuone maana nilitafutiwa, baada ya kumcheki kwenye picha nikaconclude kua wife alikua na haki kabisa kumtimua maana lile lilikua balaa.
Hahahah tahadhari kabla ya hatari...anakumbuka wife alisema anataka HG nikamtafutia, yule bint alifika home nikiwa sipo na wife akamtimua the same day kabla sijarudi.... nikasema wacha nitafute hata picha ya huyo bint nimuone maana nilitafutiwa, baada ya kumcheki kwenye picha nikaconclude kua wife alikua na haki kabisa kumtimua maana lile lilikua balaa.
alafu anataka asapotiwe upumbavu...Mi mwenyewe nilijibia moyoni kuwa inaonyesha ana tabia ya usimangaji nikapiga tu kimya isiwe tabu
Kusimanga ni kuongea jambo la ukweli katika lugha isiyo sahihi, kama dharau ivi au kejeli
Mfanye mkeo ajiamini kwako hata kama anakutana na mwanamke wa namna gani, inaonekana there is a way mkeo hajiamini kabisa na hii uneisababisha wewenakumbuka wife alisema anataka HG nikamtafutia, yule bint alifika home nikiwa sipo na wife akamtimua the same day kabla sijarudi.... nikasema wacha nitafute hata picha ya huyo bint nimuone maana nilitafutiwa, baada ya kumcheki kwenye picha nikaconclude kua wife alikua na haki kabisa kumtimua maana lile lilikua balaa.