Wasichana wa kiarabu na kisomali wananuka miguu

Acha chuki kijana uishi maisha ya Amani
Huu ni uzushi kama usushi mwingine tu.
Narudia tena ukweli lazima usemwe kama ukweli ni chuki basi acha niwe na iyo chuki 😁 unataka niseme niliokutana nao walikua wananukia wakati wananuka miguu?
 
Nimesoma nao wengi sijawahi pata harufu ya ajabu bali ni wasafi wanaojijali
Hao uliokutana nao wewe niliokutana nao mimi wapo tofauti wananuka miguu mpk mtu unatamani wasirudi wabakie huko huko shule mana akirudi tu room inabadilika hali ya hewa
 
Ha haa hii ya leo kali, au ndiyo anajibu kipigo cha yule aliyesema wasichana wa kiisilamu ni wasafi kuliko wengine?

Mi napita tu.
Uzi upi uo? Alaf kama umesoma vizuri nimeandika kabisa wasafi ila tatizo lao wananuka miguu. Ningekua na uwezo wa ku post hapa ningepost harufu mjionee wenyewe 😂
 
Uongo mtupu, hao uliowapata wewe ni wale mkorogo wakakudanganya ni Waarabu au Wasomali.


Waarabu watu wa ma-aloud na sandali, miguu inuke saa ngapi? kwanza umpate wapi Mwarabu wewe? Msomali mtu wa "unsiga" umpate wapi wewe?

Kwanza utathubutu hata kuwasogelea? Danganya majuha wenzako.

Hivi mkikosa vya kkuongea mpaka muwe waongo? Pambaf kabisa.
 
bibi kisirani kakaingia utakoma
 
We nae umetokea wapi? Unaishi wapi wewe Alice in wonderland au? Asa kama msomali alietokea Somalia na muarabu alietokea Syria na Algeria unasema sio halisi, kwa akili yako ya mgando kama upo usingizini, waarabu wa Tanzania na wasomali wa Tanzania ndo halisi? Ata kiarabu na kisomali chenyewe hawajui, wanajua cha kuombea maji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…