Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asa mi kati napaonaje 🙄 no homo plsVip na pale kati ulitest
No homoSehemu za siri
Hawajafika tu toka saa hizo?Ngoja waje...
Kwaiyo kama hujawahi kusikia ndo hakipo? Ukweli lazima usemwe niliokutana nao wote wananuka miguuMimi sijawahi kusikia hii kitu
Mtoa mada kama una chuki nao weka wazi tu.. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Kwaiyo kama hujawahi kusikia ndo hakipo? Ukweli lazima usemwe niliokutana nao wote wananuka miguu
Narudia tena ukweli lazima usemwe kama ukweli ni chuki basi acha niwe na iyo chuki 😁 unataka niseme niliokutana nao walikua wananukia wakati wananuka miguu?Acha chuki kijana uishi maisha ya Amani
Huu ni uzushi kama usushi mwingine tu.
Hao uliokutana nao wewe niliokutana nao mimi wapo tofauti wananuka miguu mpk mtu unatamani wasirudi wabakie huko huko shule mana akirudi tu room inabadilika hali ya hewaNimesoma nao wengi sijawahi pata harufu ya ajabu bali ni wasafi wanaojijali
????Wazee wa kunusa chupi za wadada sasa mananusa miguu.
Kwani we unaonaje?
Uzi upi uo? Alaf kama umesoma vizuri nimeandika kabisa wasafi ila tatizo lao wananuka miguu. Ningekua na uwezo wa ku post hapa ningepost harufu mjionee wenyewe 😂Ha haa hii ya leo kali, au ndiyo anajibu kipigo cha yule aliyesema wasichana wa kiisilamu ni wasafi kuliko wengine?
Mi napita tu.
Uongo mtupu, hao uliowapata wewe ni wale mkorogo wakakudanganya ni Waarabu au Wasomali.Waswahili wanasema tembea uone. Aijalishi utaona magorofa au nini wee tembea tu utachokiona ndo iko iko ulitakiwa ukione 😉
Miii katika tembea yangu nimekutana na kitu cha kustajabisha. Nikiwa chuoni nmebahatka kuishi room moja na wasichana wa mataifa mbali mbali, uarabuni, wasomali, wamarekani, wacanada, wakenya, na wa hindi. Ila katika wote hao hakuna aliwahi kunuka miguu kama wasichana wa kiarabu na kisomali. Hawa watu wananuka miguu. Akiwa room unatamani asivue viatu mana akivua tu hali ya hewa inaharibika. Alaf wenyewe sijui hua hawasikii hii harufu, wanakua hawana habari ata kidogo.
Asa sijui kwanini wananukaga miguu. Kuna siku nilimwabia mmoja wao miguu yako inanuka akazuga ati ata sio yangu ni ya fulani wakat kila mtu anafahamu kama yeye ndo ananuka miguu. Kwa ufupi wanakuaga sio wachafu ila wananuka sana miguu. Ni vigumu sana kuvumilia kuishi nao room moja...✍️
bibi kisirani kakaingia utakomaUogo mtupu, hao uliowapata wewe ni wale mkorogo wakakudanganya ni Waarabu au Wasomali.
Waarabu watu wa ma-aloud na sandali, miguu inuke saa ngapi? kwanza umpate wapi Mwarabu wewe? Msomali mtu wa "unsiga" umpate wapi wewe?
Kwanza utathubutu hata kuwasogelea? Danganya majuha wenzako.
Hivi mkikosa vya kkuongea mpaka muwe waongo? Pambaf kabisa.
We nae umetokea wapi? Unaishi wapi wewe Alice in wonderland au? Asa kama msomali alietokea Somalia na muarabu alietokea Syria na Algeria unasema sio halisi, kwa akili yako ya mgando kama upo usingizini, waarabu wa Tanzania na wasomali wa Tanzania ndo halisi? Ata kiarabu na kisomali chenyewe hawajui, wanajua cha kuombea maji tu.Uogo mtupu, hao uliowapata wewe ni wale mkorogo wakakudanganya ni Waarabu au Wasomali.
Waarabu watu wa ma-aloud na sandali, miguu inuke saa ngapi? kwanza umpate wapi Mwarabu wewe? Msomali mtu wa "unsiga" umpate wapi wewe?
Kwanza utathubutu hata kuwasogelea? Danganya majuha wenzako.
Hivi mkikosa vya kkuongea mpaka muwe waongo? Pambaf kabisa.