Wasichana wa kiarabu na kisomali wananuka miguu

Ili kuhitimisha hivyo, ingelazimu uwe umekutana nao katika mazingira tofauti tofauti na wote wanasifa hiyohiyo.

Hapa umetaja ulioishinao chumba kimoja, je vipi ulisikia malamiko kama hayo kwa wengine pia.

Na basi walau hata humu walau mtu mmoja au wawili wangethibisha hilo, maana watu wanaishi na hao waarabu na wasomali lakini hawasikii hiyo miguu kunuka.
 
Dah! Bibie; Labda ungepunguza makali ya Uzi wako e.g. ungelisema au kuuliza: Ni nini sababu ya miguu kunuka? Walao imekaa kipole zaidi i.e. Uzi wako kwa mtazamo wangu naona kama umekuwa ni wa kuwanyanyapaa(Stigmatize ) mno Jamii ulizozitaja. Mbona hata baadhi ya wale Waswahili (Me na Ke) hilo lipo? Why pinpoint Arabs and Somalis?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…