Acha Umbea na Uzushi wewe...weka hapa hiyo taarufa ya uchunguzi na UtafitiMfalme...
Kuna taarifa ya uchunguzi ya mambo yaliyokuwa yakipitika NECTA.
Ushahidi ulipokamilika ndiyo Waislam wakaamua kufanya maandamano na ule ushahidi ukapokelewa na serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani.
Mitihani ilisahihishwa upya na haki ikapatikana.
Itakuwa vyema kama utafanya uchunguzi kabla ya kuandika.
kwahiyo hoja yako ni kwamba waislam wanafelishwa makusudi, wanafalishwa na nani wakati wasahihishaji ni watu wa dini zote, mle kwenye chumba cha kusahihisha kuna waalimu wamevaa ushungi kabisa. au tueleze, walifelishwaje, au ndio ile kitu huwa mnalishwa tango halafu mnakuja na mihemko juu? mbona sioni kama una hoja kabisa mzee.
Mwongo huyo Mzee hujamjua tu....ila anapaswa hata kuona Aibu kwa umri wake huokuna wazee wengine ubongo hawana. kwahiyo mitihani hapa Tanzania huwa inasahihishwa na waalimu wakristo pekee? kana kwamba unataka kuuaminisha umma kwamba waislam wanafelishwa hawafaulu? mbona waalimu wanaosahihisha mitihani hiyo ni wa dini zote na wanatoa marks za haki? kweli wanafunzi wa kiislam wangefelishwa kwenye mtihani wa taifa halafu waalimu wasahihishaji walio waislam kwenye kundi la wasahihishaji wasijue? wazee wengine hawana faida yeyote hapa duniani.
Mpumbavu ni wewe ambaye umekurupuka kunijibu bila kunielewaacha kupotosha , sio sahihi kukatisha masomo ya watoto , msiwe wapumbav kias hicho hao Iran na saudia wanasomesha wasichana wao kwan nyie mna dini zenu nyingine mbali na hz za wasaudia na Iran?
Akili za TanzaniaKwamba adui wa ikulu ni misikiti!
Kwamba ikulu imehama Dar kisa Zanzibar kuna misikiti?
Hizi akili za wapi?
Hizo ni hekaya za Abunuas.Mam...
Mimi nimeeleza tatizo hili kama ninavyolijua.
Sikulazimishi kukabaliana na mimi.
Ila najua Sheikh Yusuf Muhammad alikuwa anasomesha Uislam na kuhifadhisha Qur'an.
Haya ni mambo makubwa yenye heshima ya kipekee katika Uislam.
Kuna watoto wa Kiislam wananyimwa elimu kwa dhulma na hakuna anaelisemea.
Leo tunawasomesha watoto wetu elimu nyingine wewe unakuja na hoja ati wananyimwa elimu.
Angalia hapo chini:
Lakini tuende kielimu. Ninayo ripoti ya mwaka huu.
Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu.
Asilimia 29 ni wengine.
Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21.
Katika wale 29 walioshinda tena sema mwenyewe.
Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21.
Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu.
Sasa namwomba Waziri anayehusika, anaposema aseme ya kwamba kwa hali ilivyo Waislamu wameumbwa wajinga.
Au kwa hali ilivyo kuna sababu kadha, kadha.
(Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999).
USIA WA MAREHEMU KITWANA SELEMANI KONDO KWA WATANZANIA
Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999 Mohamed Said February 17, 2015 0 Annur Na.187- Feb....mohamedsaidsalum.blogspot.com
Huyu Mzee hata kusoma post zake huwa sipendi maana amejaa udini na uongo tukuna wazee wengine ubongo hawana. kwahiyo mitihani hapa Tanzania huwa inasahihishwa na waalimu wakristo pekee? kana kwamba unataka kuuaminisha umma kwamba waislam wanafelishwa hawafaulu? mbona waalimu wanaosahihisha mitihani hiyo ni wa dini zote na wanatoa marks za haki? kweli wanafunzi wa kiislam wangefelishwa kwenye mtihani wa taifa halafu waalimu wasahihishaji walio waislam kwenye kundi la wasahihishaji wasijue? wazee wengine hawana faida yeyote hapa duniani.
Hakuna kitu kama hicho. Kawadanganye wasiokujuaMfalme...
Kuna taarifa ya uchunguzi ya mambo yaliyokuwa yakipitika NECTA.
Ushahidi ulipokamilika ndiyo Waislam wakaamua kufanya maandamano na ule ushahidi ukapokelewa na serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani.
Mitihani ilisahihishwa upya na haki ikapatikana.
Itakuwa vyema kama utafanya uchunguzi kabla ya kuandika.
Walianzisha harakati za kudai uhuru sawa lakini hawakuwa na elimu Dunia ndio maana wakamhitaji mtu anayeona mbali mwenyeelimu ya kutosha yaani Kambarage wa ButiamaMam...
Hapana Waislam ni raia kama raia wengine.
Tofauti yao na Wengine ni historia yao.
Hapo ndipo anapokuwa makhsusi.
Waislam wamepambana na Wajerumani kwa silaha.
Naamini unaijua historia ya Abdulrauf Songea Mbano.
Naamini unaijua pia historia ya Khadija Mkomanile.
Hawa wamlinyongwa na Wajerumani kama sehemu ya majemadari wa Vita Vya Maji Maji (1905 - 1907).
Naamini unaijua historia ya Abushiri bin Salim na Mtwa Abdallah Mkwawa.
Waislam ndiyo walioasisi African Association 1929 kupambana na Waingereza.
Waislam ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Waislam ndiyo waliomweka Mwalimu Nyerere kuwa kiongozi aongoze harakatiza za uhuru.
Historia hii ilikwepwa hadi mimi nilipoandikia kitabu cha Abdul Sykes.
Ikiwa hujasoma kitabu hiki kisome utashangazwa na mengi ndani ya kitabu hiki.
Kitabu kimebadili historia si ya Julius Nyerere peke yake bali historia nzima ya uhuru wa Tanganyika.
Sasa ukiangalia hizo takwimu katika hotuba ya Kitwana Kondo Bungeni utaona kuna jambo halijakaa vyema.
Au huoni unaona sawa hakuna kasoro?
Niz...Walianzisha harakati za kudai uhuru sawa lakini hawakuwa na elimu Dunia ndio maana wakamhitaji mtu anayeona mbali mwenyeelimu ya kutosha yaani Kambarage wa Butiama
Niz...Hakuna kitu kama hicho. Kawadanganye wasiokujua
Pili ajibu walitaka mitihani yasitumike majina zitumike Namba wanajuaje kuwa waislamu waliofeli idadi Yao wakati Namba ndio zinatumika sio majina?kwahiyo hoja yako ni kwamba waislam wanafelishwa makusudi, wanafalishwa na nani wakati wasahihishaji ni watu wa dini zote, mle kwenye chumba cha kusahihisha kuna waalimu wamevaa ushungi kabisa. au tueleze, walifelishwaje, au ndio ile kitu huwa mnalishwa tango halafu mnakuja na mihemko juu? mbona sioni kama una hoja kabisa mzee.
Wewe ni mzee wa hovyo na mpotoshaji mkuu unaezeeka na uendawazimu wako.Mam...
Hapana Waislam ni raia kama raia wengine.
Tofauti yao na Wengine ni historia yao.
Hapo ndipo anapokuwa makhsusi.
Waislam wamepambana na Wajerumani kwa silaha.
Naamini unaijua historia ya Abdulrauf Songea Mbano.
Naamini unaijua pia historia ya Khadija Mkomanile.
Hawa wamlinyongwa na Wajerumani kama sehemu ya majemadari wa Vita Vya Maji Maji (1905 - 1907).
Naamini unaijua historia ya Abushiri bin Salim na Mtwa Abdallah Mkwawa.
Waislam ndiyo walioasisi African Association 1929 kupambana na Waingereza.
Waislam ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Waislam ndiyo waliomweka Mwalimu Nyerere kuwa kiongozi aongoze harakatiza za uhuru.
Historia hii ilikwepwa hadi mimi nilipoandikia kitabu cha Abdul Sykes.
Ikiwa hujasoma kitabu hiki kisome utashangazwa na mengi ndani ya kitabu hiki.
Kitabu kimebadili historia si ya Julius Nyerere peke yake bali historia nzima ya uhuru wa Tanganyika.
Sasa ukiangalia hizo takwimu katika hotuba ya Kitwana Kondo Bungeni utaona kuna jambo halijakaa vyema.
Au huoni unaona sawa hakuna kasoro?
Wakasomee siasa kali?hii haitoi exemption kwamba hawa wasihadhibiwe wote ni waarifu tu.
tunahitaji watoto wetu waende shule.
wawe waisilamu au wakristo na si vinginevyo.
hivyo wanaofanya hivyo hawana haki!
Niz...Hizo ni hekaya za Abunuas.
Muc...Wewe ni mzee wa hovyo na mpotoshaji mkuu unaezeeka na uendawazimu wako.
Unawapotosha waislam wenzako kuwa wanafelishwa kwa makusudi baada ya kuwahusia wasome kwa bidii waache kujifungia ndani kusoma elimu ahera kama hao mabintiMuc...
Bahati mbaya umeghadhibika na unanitukana.
Ungekuwa uko katika hali ya utulivu ungeweza kuandika ukaonyesha yale ambayo napotosha.
Ungefanya hivyo ungetoa nafasi ya wengine kujadili.
Wakifungiwa akina Paulina mnaandika watz.Wasichana wa kiislamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma inayosadikika kuwapa elimu ya dini.
Wapo zaidi ya mabikra 200, wanakula na kunywa bure kwa siri kubwa sana.
Wameambiwa wanafundishwa dini, ukweli haujuikani lakini maagizo ya mkuu wa mkoa yanatia shaka hasa baada ya kutoa maagizo mepesi.
Mkuu wa mkoa alitakiwa atonyeshe hao wamilki, atuambie namna wamewapata hao wasichana bikra,mwazazi wao na taarifa nyingine.
Huenda tunaambiwa kila siku watu wamepotea tuna hangaika kuwatafuta kumbe wahusika wapo na hatupewi taarifa.
Ndugu yangu, waziri mpendwa Doctor GWAJIMA naomba utusaidie kuhusu hawa watoto!
View attachment 2896255
Niz...Huyu Mzee hata kusoma post zake huwa sipendi maana amejaa udini na uongo tu
Yupi huyo, hawa wafuasi wa Yesu wao wanamwachiaga Yesu wao awapiganie.Wakifungiwa akina Paulina mnaandika watz.
We mzee mudi chenga sanaMam...
Hapana Waislam ni raia kama raia wengine.
Tofauti yao na Wengine ni historia yao.
Hapo ndipo anapokuwa makhsusi.
Waislam wamepambana na Wajerumani kwa silaha.
Naamini unaijua historia ya Abdulrauf Songea Mbano.
Naamini unaijua pia historia ya Khadija Mkomanile.
Hawa wamlinyongwa na Wajerumani kama sehemu ya majemadari wa Vita Vya Maji Maji (1905 - 1907).
Naamini unaijua historia ya Abushiri bin Salim na Mtwa Abdallah Mkwawa.
Waislam ndiyo walioasisi African Association 1929 kupambana na Waingereza.
Waislam ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Waislam ndiyo waliomweka Mwalimu Nyerere kuwa kiongozi aongoze harakatiza za uhuru.
Historia hii ilikwepwa hadi mimi nilipoandikia kitabu cha Abdul Sykes.
Ikiwa hujasoma kitabu hiki kisome utashangazwa na mengi ndani ya kitabu hiki.
Kitabu kimebadili historia si ya Julius Nyerere peke yake bali historia nzima ya uhuru wa Tanganyika.
Sasa ukiangalia hizo takwimu katika hotuba ya Kitwana Kondo Bungeni utaona kuna jambo halijakaa vyema.
Au huoni unaona sawa hakuna kasoro?