Wasichana wa kiislamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma, inayosadikika kupewa elimu ya dini

Wasichana wa kiislamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma, inayosadikika kupewa elimu ya dini

Mfalme...
Kuna taarifa ya uchunguzi ya mambo yaliyokuwa yakipitika NECTA.

Ushahidi ulipokamilika ndiyo Waislam wakaamua kufanya maandamano na ule ushahidi ukapokelewa na serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani.

Mitihani ilisahihishwa upya na haki ikapatikana.

Itakuwa vyema kama utafanya uchunguzi kabla ya kuandika.
Acha Umbea na Uzushi wewe...weka hapa hiyo taarufa ya uchunguzi na Utafiti

Usupoweka wewe ni MWONGO kama kawaida yako
 
kwahiyo hoja yako ni kwamba waislam wanafelishwa makusudi, wanafalishwa na nani wakati wasahihishaji ni watu wa dini zote, mle kwenye chumba cha kusahihisha kuna waalimu wamevaa ushungi kabisa. au tueleze, walifelishwaje, au ndio ile kitu huwa mnalishwa tango halafu mnakuja na mihemko juu? mbona sioni kama una hoja kabisa mzee.
kuna wazee wengine ubongo hawana. kwahiyo mitihani hapa Tanzania huwa inasahihishwa na waalimu wakristo pekee? kana kwamba unataka kuuaminisha umma kwamba waislam wanafelishwa hawafaulu? mbona waalimu wanaosahihisha mitihani hiyo ni wa dini zote na wanatoa marks za haki? kweli wanafunzi wa kiislam wangefelishwa kwenye mtihani wa taifa halafu waalimu wasahihishaji walio waislam kwenye kundi la wasahihishaji wasijue? wazee wengine hawana faida yeyote hapa duniani.
Mwongo huyo Mzee hujamjua tu....ila anapaswa hata kuona Aibu kwa umri wake huo
 
acha kupotosha , sio sahihi kukatisha masomo ya watoto , msiwe wapumbav kias hicho hao Iran na saudia wanasomesha wasichana wao kwan nyie mna dini zenu nyingine mbali na hz za wasaudia na Iran?
Mpumbavu ni wewe ambaye umekurupuka kunijibu bila kunielewa
 
Mam...
Mimi nimeeleza tatizo hili kama ninavyolijua.
Sikulazimishi kukabaliana na mimi.

Ila najua Sheikh Yusuf Muhammad alikuwa anasomesha Uislam na kuhifadhisha Qur'an.

Haya ni mambo makubwa yenye heshima ya kipekee katika Uislam.
Kuna watoto wa Kiislam wananyimwa elimu kwa dhulma na hakuna anaelisemea.

Leo tunawasomesha watoto wetu elimu nyingine wewe unakuja na hoja ati wananyimwa elimu.

Angalia hapo chini:

Lakini tuende kielimu. Ninayo ripoti ya mwaka huu.

Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu.

Asilimia 29 ni wengine.

Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21.
Katika wale 29 walioshinda tena sema mwenyewe.

Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21.

Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu.

Sasa namwomba Waziri anayehusika, anaposema aseme ya kwamba kwa hali ilivyo Waislamu wameumbwa wajinga.

Au kwa hali ilivyo kuna sababu kadha, kadha.

(Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999).

Hizo ni hekaya za Abunuas.
 
kuna wazee wengine ubongo hawana. kwahiyo mitihani hapa Tanzania huwa inasahihishwa na waalimu wakristo pekee? kana kwamba unataka kuuaminisha umma kwamba waislam wanafelishwa hawafaulu? mbona waalimu wanaosahihisha mitihani hiyo ni wa dini zote na wanatoa marks za haki? kweli wanafunzi wa kiislam wangefelishwa kwenye mtihani wa taifa halafu waalimu wasahihishaji walio waislam kwenye kundi la wasahihishaji wasijue? wazee wengine hawana faida yeyote hapa duniani.
Huyu Mzee hata kusoma post zake huwa sipendi maana amejaa udini na uongo tu
 
Mfalme...
Kuna taarifa ya uchunguzi ya mambo yaliyokuwa yakipitika NECTA.

Ushahidi ulipokamilika ndiyo Waislam wakaamua kufanya maandamano na ule ushahidi ukapokelewa na serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani.

Mitihani ilisahihishwa upya na haki ikapatikana.

Itakuwa vyema kama utafanya uchunguzi kabla ya kuandika.
Hakuna kitu kama hicho. Kawadanganye wasiokujua
 
Mam...
Hapana Waislam ni raia kama raia wengine.
Tofauti yao na Wengine ni historia yao.

Hapo ndipo anapokuwa makhsusi.

Waislam wamepambana na Wajerumani kwa silaha.
Naamini unaijua historia ya Abdulrauf Songea Mbano.

Naamini unaijua pia historia ya Khadija Mkomanile.

Hawa wamlinyongwa na Wajerumani kama sehemu ya majemadari wa Vita Vya Maji Maji (1905 - 1907).

Naamini unaijua historia ya Abushiri bin Salim na Mtwa Abdallah Mkwawa.

Waislam ndiyo walioasisi African Association 1929 kupambana na Waingereza.

Waislam ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Waislam ndiyo waliomweka Mwalimu Nyerere kuwa kiongozi aongoze harakatiza za uhuru.

Historia hii ilikwepwa hadi mimi nilipoandikia kitabu cha Abdul Sykes.

Ikiwa hujasoma kitabu hiki kisome utashangazwa na mengi ndani ya kitabu hiki.

Kitabu kimebadili historia si ya Julius Nyerere peke yake bali historia nzima ya uhuru wa Tanganyika.

Sasa ukiangalia hizo takwimu katika hotuba ya Kitwana Kondo Bungeni utaona kuna jambo halijakaa vyema.

Au huoni unaona sawa hakuna kasoro?
Walianzisha harakati za kudai uhuru sawa lakini hawakuwa na elimu Dunia ndio maana wakamhitaji mtu anayeona mbali mwenyeelimu ya kutosha yaani Kambarage wa Butiama
 
Walianzisha harakati za kudai uhuru sawa lakini hawakuwa na elimu Dunia ndio maana wakamhitaji mtu anayeona mbali mwenyeelimu ya kutosha yaani Kambarage wa Butiama
Niz...
Unahitaji kuijua historia ya uhuru wa Tanganyika ili kuweza kuchangia kwa uhakika.

Wote walioasisi African Association mwaka wa 1929 walikuwa na elimu kwa kiwango cha wakati wao.

Halikadhalika mabadiliko makubwa yalipofanyika ndani ya TAA mwaka wa 1950 viongozi waliokuwapo wakati huo walikuwa wameelimika kwa kiwango cha nyakati hizo.

Alikuwapo Abdul Sykes, Hamza Mwapachu, Dr. Vedasto Kyaruzi, Dr. Wilbard Mwanjisi na mdogo wake Roland Mwanjisi, Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Luciano Tsere, John Keto, Thomas Saudtz Plantan, Schneider Abdillah Plantan, Ramadhani Mashado Plantan, Erica Fiah, Clement Mohamed Mtamila, Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo na katika majimbo walikuwapo wazalendo wengi kama hawa, Kanda ya Ziwa kulikuwa na Paul Bomani, Ali Migeyo, Sued Kagasheki.

Hawa walikuwa wameelimika vya kutosha.
TAA hakikuwa chama kinachoongozwa na watu wajinga.

Wala kilichomfanya Julius Nyerere apewe uongozi wa TAA mwaka wa 1953 si elimu yake pekee.

TAA ilimuhitaji kiongozi Mkristo akamate nafasi ya juu ili kuleta umoja wa Watanganyika vinginevyo laiti kiongozi wa harakati za uhuru angekuwa Muislam vuguvugu lote lile lingechukua sura kuwa ni Waislam peke yao ndiyo wanaochochea wananchi kudai uhuru.

Hili lingesababisha kwa Waingereza kuwashawishi Wakristo na wao waunde chama chao.

Tanganyika ingeingia katika siasa za kudai uhuru ikiwa imegawanyika.

Huu ndiyo ulikuwa msimamo na fikra ya Hamza Mwapachu mtu aliyemwingiza Nyerere katika harakati za uhuru Dar es Salaam kupitia kwa Abdul Sykes.

Wakati Nyerere alinafika Dar es Salaam mwaka wa 1952 hawa ndiyo walikuwa viongozi wa TAA wakiendesha mambo kupitia TAA Political Subcommittee: Dr. Vedasto Kyaruzi (President), Abdul Sykes (Secretary), Hamza Mwapachu, Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, Steven Mhando na John Rupia.

Hii ndiyo historia ambayo wengi hamuifahamu.

Ukitaka kuijua historia ya uhuru wa Tanganyika nakushauri usome kitabu cha Abdul Sykes.

1707453335359.png
 
Hakuna kitu kama hicho. Kawadanganye wasiokujua
Niz...
Ikiwa huamini sawa.

Hapa tunabadilishana fikra na kila mtu ana nafasi ya kueleza kile anachokijua.
Inawezekana wewe hujui yaliyotokea baada ya maandamano ya Waislam dhidi ya NECTA kuwa mitihani ilirudiwa kusahihishwa upya na haki ikatendeka.

Faida ya majadiliano ni kuwa wako ambao hawakuwa wanajua haya na sasa baada ya kusoma niliyoandika wamejua.

Hili si suala la mimi kujulikana.
Kufahamika kwa hakika nafahamika sana hapa JF na kwengineko.
 
kwahiyo hoja yako ni kwamba waislam wanafelishwa makusudi, wanafalishwa na nani wakati wasahihishaji ni watu wa dini zote, mle kwenye chumba cha kusahihisha kuna waalimu wamevaa ushungi kabisa. au tueleze, walifelishwaje, au ndio ile kitu huwa mnalishwa tango halafu mnakuja na mihemko juu? mbona sioni kama una hoja kabisa mzee.
Pili ajibu walitaka mitihani yasitumike majina zitumike Namba wanajuaje kuwa waislamu waliofeli idadi Yao wakati Namba ndio zinatumika sio majina?
 
Mam...
Hapana Waislam ni raia kama raia wengine.
Tofauti yao na Wengine ni historia yao.

Hapo ndipo anapokuwa makhsusi.

Waislam wamepambana na Wajerumani kwa silaha.
Naamini unaijua historia ya Abdulrauf Songea Mbano.

Naamini unaijua pia historia ya Khadija Mkomanile.

Hawa wamlinyongwa na Wajerumani kama sehemu ya majemadari wa Vita Vya Maji Maji (1905 - 1907).

Naamini unaijua historia ya Abushiri bin Salim na Mtwa Abdallah Mkwawa.

Waislam ndiyo walioasisi African Association 1929 kupambana na Waingereza.

Waislam ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Waislam ndiyo waliomweka Mwalimu Nyerere kuwa kiongozi aongoze harakatiza za uhuru.

Historia hii ilikwepwa hadi mimi nilipoandikia kitabu cha Abdul Sykes.

Ikiwa hujasoma kitabu hiki kisome utashangazwa na mengi ndani ya kitabu hiki.

Kitabu kimebadili historia si ya Julius Nyerere peke yake bali historia nzima ya uhuru wa Tanganyika.

Sasa ukiangalia hizo takwimu katika hotuba ya Kitwana Kondo Bungeni utaona kuna jambo halijakaa vyema.

Au huoni unaona sawa hakuna kasoro?
Wewe ni mzee wa hovyo na mpotoshaji mkuu unaezeeka na uendawazimu wako.
 
hii haitoi exemption kwamba hawa wasihadhibiwe wote ni waarifu tu.
tunahitaji watoto wetu waende shule.
wawe waisilamu au wakristo na si vinginevyo.
hivyo wanaofanya hivyo hawana haki!
Wakasomee siasa kali?
Wakiumwa watoto wa nani wakawatibu?
Mna wakatisha watoto elimu alafu ndio wanakuwaja kuwa watumwa wa ngono miaka 12 tu?

Mbona wafuasi wa Yesu, wakristo wanafanya elimu ya dini KIFUNGILO GIRLS, CANNOSA, ST FRANCIS MBEYA, ST MARGORETH MOSHI KILIMANJARO, Usa Seminary, MAU SEMINARY, Livingston Sec Tanga, RUBY SEMIANRY, LOMBETA, ST DOCAS huku kote mbona wanafundishwa kuhusu Yesu na wokovu?
 
Hizo ni hekaya za Abunuas.
Niz...
Hapana hapa hakuna utani tunajadili mambo mazito katika jamii yetu.

Angalia picha ya huyu kijana hapo chini yupo na amekutwa na watoto ambao inadaiwa wanafunzwa mambo machafu.

1707453943843.jpeg

Hizi si hekaya.
Huu ni ukweli.

Huyo hapo chini ni Sheikh Yusuf Muhammad mwalimu anasomesha Uislam na kuhifadhisha Qur'an.

1707454173114.jpeg

Sheikh Yusuf Muhammad
Haya si hekaya ni mambo yenye kufahamika.

Ila Sheikh Yusuf Muhammad madrasa yake wanafunzi wake wana nafasi ndogo ya kuishi na hawana maji ya bomba.

Lakini kamwe hapo hapafunzwi uchafu.
Tatizo ni madrasa haina maji ya bomba na nafasi ndogo.

Huu ndiyo ukweli.
Angalia picha ya wanafunzi hapo chini:

1707454459746.jpeg
 
Wewe ni mzee wa hovyo na mpotoshaji mkuu unaezeeka na uendawazimu wako.
Muc...
Bahati mbaya umeghadhibika na unanitukana.

Ungekuwa uko katika hali ya utulivu ungeweza kuandika ukaonyesha yale ambayo napotosha.

Ungefanya hivyo ungetoa nafasi ya wengine kujadili.
 
Muc...
Bahati mbaya umeghadhibika na unanitukana.

Ungekuwa uko katika hali ya utulivu ungeweza kuandika ukaonyesha yale ambayo napotosha.

Ungefanya hivyo ungetoa nafasi ya wengine kujadili.
Unawapotosha waislam wenzako kuwa wanafelishwa kwa makusudi baada ya kuwahusia wasome kwa bidii waache kujifungia ndani kusoma elimu ahera kama hao mabinti
 
Wasichana wa kiislamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma inayosadikika kuwapa elimu ya dini.

Wapo zaidi ya mabikra 200, wanakula na kunywa bure kwa siri kubwa sana.

Wameambiwa wanafundishwa dini, ukweli haujuikani lakini maagizo ya mkuu wa mkoa yanatia shaka hasa baada ya kutoa maagizo mepesi.

Mkuu wa mkoa alitakiwa atonyeshe hao wamilki, atuambie namna wamewapata hao wasichana bikra,mwazazi wao na taarifa nyingine.

Huenda tunaambiwa kila siku watu wamepotea tuna hangaika kuwatafuta kumbe wahusika wapo na hatupewi taarifa.
Ndugu yangu, waziri mpendwa Doctor GWAJIMA naomba utusaidie kuhusu hawa watoto!

View attachment 2896255
Wakifungiwa akina Paulina mnaandika watz.
 
Huyu Mzee hata kusoma post zake huwa sipendi maana amejaa udini na uongo tu
Niz...
Itakuwa bora sana ukaweka hapa yale ambayo unaona ni ya uongo.
Mimi sijaandika udini.

Nimeandika historia ya uhuru wa Tanganyika ambayo ilifutwa historia ambayo ilijipambanua kwa kuwarudisha katika historia ya Tanganyika Waislam waliopigania uhuru.

Ikiwa hupendi kusoma post zangu si tatizo.
Sina shida ya wasomaji.

Kalamu yangu inasomwa na watu wengi sana.
Nashukuru.

1707455262086.png
 
Mam...
Hapana Waislam ni raia kama raia wengine.
Tofauti yao na Wengine ni historia yao.

Hapo ndipo anapokuwa makhsusi.

Waislam wamepambana na Wajerumani kwa silaha.
Naamini unaijua historia ya Abdulrauf Songea Mbano.

Naamini unaijua pia historia ya Khadija Mkomanile.

Hawa wamlinyongwa na Wajerumani kama sehemu ya majemadari wa Vita Vya Maji Maji (1905 - 1907).

Naamini unaijua historia ya Abushiri bin Salim na Mtwa Abdallah Mkwawa.

Waislam ndiyo walioasisi African Association 1929 kupambana na Waingereza.

Waislam ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Waislam ndiyo waliomweka Mwalimu Nyerere kuwa kiongozi aongoze harakatiza za uhuru.

Historia hii ilikwepwa hadi mimi nilipoandikia kitabu cha Abdul Sykes.

Ikiwa hujasoma kitabu hiki kisome utashangazwa na mengi ndani ya kitabu hiki.

Kitabu kimebadili historia si ya Julius Nyerere peke yake bali historia nzima ya uhuru wa Tanganyika.

Sasa ukiangalia hizo takwimu katika hotuba ya Kitwana Kondo Bungeni utaona kuna jambo halijakaa vyema.

Au huoni unaona sawa hakuna kasoro?
We mzee mudi chenga sana
 
Back
Top Bottom