Wasichana wa kiislamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma, inayosadikika kupewa elimu ya dini



Imani ni shambulio la akili
 
Usipende kutengeneza chuki na kudhihirisha ujinga, kwa hiyo uwepo wa misikiti ndio inapelekea tishio la usalama. Dar kuna misikiti zaidi ya 1000 taja tishio moja tu linalotokana na uwepo wa hiyo misikiti.
Muislam akitetea/kujifunza dini yake anaitwa gaidi. Tubadilike tusiwe na mawazo mgando
 
Huyo Ustaadh alipaswa kua jela hadi sasa.

Kuna mwingine huko Bagamoyo yeye anakusanya watoto wadogo na kuwafundisha ushoga na hajachukuliwa hatua yoyote.

Tanzania hakuna sheria kali za kuwalinda watoto.
Ikisha husisha ushoga inazimwa kimya kimya
 

Huyu mzee ni wa kupuuzwa amejawa na udini mpaka anakuwa mjinga.

Ninachomkubali mzee Kikwete japokuwa ni muislam ila alipinga sana suala la udini kwa hili nampa pongezi huyu mzee.

Wazee kama Mohamed Said sio salama sana kwa Taifa letu.
 

Hata utoe historia ya wapi wewe huo udini wako Kwa maslahi mapana ya Taifa wala hatuna kazi nao, yaani umekuwa mdini kupitiliza.

Au upewe Nchi uongoze ulete huo usawa unaodai waislam wamepunjwa?
 
Ficha ujinga wako, Sheria ya uislamu hairuhusu hilo jambo Kwa wanawake
Kwakuwa haislamu hawana elimu na akili hata kama sheria hairuhusu wao humezeshwa sumu na ma ustadhi uchwara na kwenda kujiunga na vikundi uchwara ati kupigana jihadi.
 
Hata utoe historia ya wapi wewe huo udini wako Kwa maslahi mapana ya Taifa wala hatuna kazi nao, yaani umekuwa mdini kupitiliza.

Au upewe Nchi uongoze ulete huo usawa unaodai waislam wamepunjwa?
Big...
Sijaandika udini naeleza matatizo yanayokabili nchi yetu.
 
Huyu mzee ni wa kupuuzwa amejawa na udini mpaka anakuwa mjinga.

Ninachomkubali mzee Kikwete japokuwa ni muislam ila alipinga sana suala la udini kwa hili nampa pongezi huyu mzee.

Wazee kama Mohamed Said sio salama sana kwa Taifa letu.
Big...
Si rahisi kupuuza kalamu yangu.
Ingekuwa rahisi mimi kupuuzwa ungeanza wewe.

Wala sijaandika udini.

Niko hapa kwa jina langu halisi na kwa sura na sauti.

Wewe unaandika umejificha.

Niambie sababu ya wewe kuficha jina na uso wako.

Unahofia usalama wako?
 

Hiyo ni sehemu ya uhuru wangu.

Kama ingekuwa ni lazima basi kila mtu kwenye hili jukwaa ungemfahamu kwa majina yake halisi, picha na kila kitu.

Lakini Mexence hajaweka restrictions kama hizo hivyo hiyo ni sehemu ya privacy yangu na ni haki yangu pia.

Kuweka sura na majina halisi bado sio justification ya kusambaza udini usio na tija yoyote kwa Taifa hili la Tanzania.

Na kwa hivyo basi kupuuzwa pia inawezekana maana udini wala hauna maslahi kwa Taifa hili tena katika zama hizi.

Mwana historia lakini historia zako zinalenga chuki na udini baina ya ukristo na uislamu huku ukijaribu kutetea kundi la uislamu kama kundi linalokandamizwa..

Nimepitia Nyuzi zako nyingi hapa jukwaani tena zingine za muda mrefu sana. Wewe una chuki na Nyerere vile vile ni mdini sana.

Kwa mambo hayo huwezi kuwa hazina kwa Taifa hili labda ubadilike.
 
Huyo Ustaadh alipaswa kua jela hadi sasa.

Kuna mwingine huko Bagamoyo yeye anakusanya watoto wadogo na kuwafundisha ushoga na hajachukuliwa hatua yoyote.

Tanzania hakuna sheria kali za kuwalinda watoto.
Keshakamatwa Yuko ndani
 
Mam...
Mbona unachanganya mambo?
Unajua kuwa serikali ilivunja EAMWS ili kuzuia Waislam wasijenge Chuo Kikuu?
Unajua kuwa serikali ilikataa kutoaa kibali kwa OIC kujenga ChuoKikuu Tanzania?
yaliyopita si ndwele Waislamu mumepewa chuo kikuu Cha Morogoro Bure na serikali kile mororogoro Muslim University hakina maprofesa hata Waislamu maprofesa hawataki kwenda kufundisha pale na pia wanachuo kupata shida wamejaa wanzanzibari kiduchu

Chuo mumepewa Waislamu hawataki kwenda kusoma Hicho wamejazana vyuo secular sababu Kiko duni sana kielimu muda mwingi swala Tano tu
 
Singida hii hali imeshamili sana na wazaz wao wanabariki hiko kitu , nlimpata mdada mmoja mzur kwel ila aliponiambia wapo msituni wanafundishwa madrasa nkaona hapa kuna ttzo tyr
Wanaandaliwa kuwa wake wa magaidi wa Alshabab
 
Keshakamatwa Yuko ndani
Shot....
Polisi wamemchukua Sheikh Yusuf Muhammad kwa mahojiano zaidi hawakumchukua kwa kumweka rumande kwani hapakuwa na jinai yoyote pale.

Sina taarifa zaidi lakini naamini yuko nje.

Inafahamika jambo lolote kuhusu Waislam linaamsha hisia kali.

Mfano ndiyo huu tunashuhudia katika kadhia hii.

Tumeelezwa kuwa kosa la madrsa ni nafasi ndogo kwa wanafunzi na wanateka maji kibwawani.

Vitu hivi haviruhusiwi.

Inatakiwa nyumba yenye nafasi na kuweko na mabomba yanayotiririka maji safi.

Kuna mambo huwa yanafurahisha kusikia.

Inanikumbusha Mkuu wa Mkoa mmoja mwanamama wakati wa kipindupindu anawahutubia wananchi Manzese Uzuri anawaambia kuwa lazima wachemshe maji ya kunywa.

Hawa watu hawana uwezo wa kuchemsha kibirika kidogo cha chai ya rangi watakuwa na uwezo wa kuchemsha sufuria kubwa ya maji ya kunywa?
 
Shot...
Mimi nimefika MUM mara kadhaa na nimewakuta maprofesa.
Mimi sijasikia kuwa Waislam hawapendi kufundisha MUM.

Kujaa Wazanzibari MUM limekuwa tatizo?

Ushachunguza kabila gani wamejaa University of Dar es Salaam na kwengineko?

Kuwa MUM ni duni umetumia kigezo kipi kutambua hilo?

Sala Tano: Alfajir saa 11, Dhuhr saa 7 mchana, L' Asr saa 10 jioni, Maghrib saa 12.30 jua linachwea na Isha saa 2 usiku.

Sala hizi kila moja haizidi dakika 10.
Huo muda mwingi ni upi?
 
Big...
Hakika una uhuru wa kujificha.
Kuficha jina lako na sura yako.

Lakini unajificha tu bila sababu?

Uhuru wa kujificha nami ninao lakini sijifichi na sababu ni kuwa nataka viongozi wetu ikiwa watataka ushahidi wa niandikayo wasipate shida kunipata.

Kupuuzwa haijawezekana.

Nimeshiriki miradi minne ya kuandika historia: Mradi wa Oxford University Press Nairobi na Oxford University Press New York, mradi wa kuandika kitabu cha Julius Kambarage Nyerere na mradi wa kuandika upya historia ya Tanzania wa Rais Magufuli.

Niko vilevile katika Cambridge Journal of African History.

Nimezungumza vyuo hivi: University of Dar-es-Salaam, Sokoine University, State University of Zanzibar, Kenyatta University, University of Ibadan, University of Johannesburg, University of Iowa na Northwestern University hizi mbili za mwisho ni Marekani.

Nimezungumza karibu na vyombo vyote vikubwa vya habari: VoA, Radio Iran, BBC, SABC, DW; halikadhalika vyombo vya hapa nyumbani AZAM, RTD, ITV kwa kuvitaja vichache.

Nimezungumza pia katika taasisi za utafiti wa histioria kama Zentrum Moderner Orient, Berlin Ujerumani.

Nisingeweza kufika huko ingekuwa naandika chuki na udini.



VoA Washington DC

AZAM TV

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…