gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Very touching story...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imefikia mahala hadi wasichana wenyewe
ukiwasaidia for free wanakushangaaa
Huyo ni Jung kwenye "collective unconscious", that those traits are inheritable.ofu kozi
unajua kuna vitu vingine unajifunza kwenu bila hata kujua unajifunza kitu
mfano, baba ni womanizer
hata watoto hii dhambi watairithi bila wao kujua ndani ya nafsi zao
au baba anauza roho za wengine kupata mafanikio
ina a way mtoto anarithi
maisha yakim-push hard
anauza roho ya mwingine
hata walimu wanaangalia msimamo
akimjaribu mwanafunzi anaangalia reaction yake
kuna mmoja aliwahi pewa supp
akagoma kumpa mwalimu mzigo
aka-carry kozi
lakini mwishoni alimwachia
maana hapo alikuwa mwaka wa mwisho
mwalimu huyo huyo
katikati ya mtihani akamtongoza binti
na kumtongoza binti katiktai ya mtihani ni sawa na kumwambia
Be warned
usipokubali una sapp
lakini aliweza kusort out bila kumpa ngono na akafaulu
mi naamini huwa kuna alternatives katika maisha
na kweli kupanga ni kuchagua
Nimemwelewa vizuri sana Boss.Anazungumzia principle,kwamba jambo wanaloridhia wanafunzi wa kike si sawa kwa maana ya faida ya jamii kwa ujumla wake.Si sawa kutumia uma-chiavel (kufanya jambo baya ili upate jambo zuri).Kusema kwamba mbona walimu nao wanaomba ngono bado haihalalishi kosa.Tukitumia hiyo kanuni dunia hii haitakalika:
Kwani si kuna nyakati hatuna kitu mfukoni mpaka unachanganyikiwa,Je uibe? (kwa sababu njaa inahalalisha kosa)
Nikipata hamu ya ngono nimvamie binti ya jirani? (hisia za ngono zinahalalisha kosa)
Au nikitaka kazi nihonge (nia ya kupata kazi inahalalisha kosa).
Kimsingi huu mfumo wa kutojali ya wengine yanayotuathiri sote utatuangamiza.Kwamba kwa sababu mtu ni jambazi na kwamba ameona ni mfumo wa maisha unaomfaa tumuache kwa sababu ni mwelekeo aliouchagua.Si sawa lazima tuwakumbushe kwamba wanachokifanya si sawa (kwa mtazamo wa jamii pana) na hakuna sababu yeyote inayohalalisha hayo.Na pia tunaweza kuwaambia wanaosababisha hayo vilevile.Hakuna kosa "kubwa" linalohalalisha kosa "dogo"
Kwa maana nimesoma posts zenu,mmekubaliana kwamba it is not about morals pekee...
Then it is the whole political system that make,settles all grounds for our living,shelter and sorts...
ha haaa be careful with what you like or hate...
What a bunch of c. . r. . .a. . .p. . .
I'm out!!
Kwa mtoto wa kike aliesoma bongo hizi incidents za kutakwa, kufanyiwa visa, kukosa opportunities za shule na safari za kikazi zipo nyingi tu! Binafsi nimefanya kazi na boss na anakuambia wazi 'huwezi kusafiri nje manake ww ni jeuri!' Na unamjibu kiutani 'na hapa sijaonyesha nusu ya ujeuri wangu, omba mungu nisimalizie' halafu unamuacha hapo na $$ zake mambaf!! Ila ukijiuliza opportunities za kazi in other proffessional offices zipo, why cling on him?
Saa ingine unakuwaga na akili uki-switchoff ile jinsia ingine!
Nimekuelewa ila ningependa pia uelewe nilicho sema: it is easy for you to say that.
Itapendeza sana kama watu watabadilika sababu SIO VIZURI KUTOA RUSHWA YA NGONO.
Ila dunia hii mtu hawezi kuacha njia fupi tena rahisi just because SIO VIZURI.
Kwa hiyo tunaweza kulalamika hapa, na naweza kukuunga mkono but it won't change a thing.
Sio rahisi kwa mtu kukubali kukosa anacho kitakaka just because sio halali (and you know it).
Watakubali kukikosa ikiwa it is illegal and law and order is applied kila wavukapo mipaka.
Watakubali kikukosa ikiwa there is a strong repressive system katika organisation nzima, na mtu akijua atafutwa etc.
Ila hiyo ya kusema tu sio halali kwa hiyo tuache, sioni kama itasaidia chochote.
It is all about MORALS! Nguruwe akizidiwa na njaa anakula kitoto alichozaa mwenyewe, binadamu hawezi kufanya hii, sivyo?
Rejea Bob Marley: would u let the system make u kill ur brother man, no dread no!
Yaani system inifanye mie nivue naniliu? I had a mate college alikuwa anasema ukiniona na lecturer ujue nimemtamani ila si kwa marks. Maskini mzanzibari wa watu alifeli kichwa chini miguu juu, ila namheshimu hadi leo!
Sasa hizi ndo thread The Boss ukianzisha, JF inakuwa na thamani sana, si zile za Infi.....lol
Tatizo la kutumia uchi kupata matokeo fulani ni kubwa na la hatari sana kwa jamii ya kitanzania. Vyuoni tumesoma na wenye tabia kama hizo, wakawa wa kwanza kupata kazi kwa tabia zinazofanana na hizo na wengi sasa ni wake za watu na mama wenye familia. Kila mara ninapokutana na baadhi ya mashosti waliokuwa na tabia hizo chuo,ndio wa kwanza kukupa contacts za ma_HR na ma-Boss wa taasisi kubwa kubwa na pengine kukutanisha nao.....maboss wakikutaka wanakuuliza, ukiwapa wanaondoka nacho? ukiwaambia hivi mnajua kuna ukimwi,wanakuuliza hivi boyfriend wako hawezi kukupa ukimwi?
:focus: Kutumia uchi kupata matokeo mazuri kunapunguza uwezo wa kufikiri na kunaondoa ile hali ya kutaka kufanikiwa kwa juhudi zako.....wanawake wanakuwa wepesi mno wakishaanza hii tabia. Elimu inaweza kuwa na faida kama umeipata kwa nia chafu kama utakuwa na hekima ya kujua uchafu uliofanya na kujirekebisha na kumuomba Mungu akusaidie usirudie tena kutumia mwili wako vibaya.
NB: Ni swali tu? Wale wanaoheshimu infii,wengi wao ni wasomi? hivi elimu imewasaidia kweli?? Tusiangalie upande wa kinadada tu,hata kinababa wanaona hakuna maisha bila infii wao je??
sijui nongeze nini hapa?....lol
nice aisee...
It is all about MORALS! Nguruwe akizidiwa na njaa anakula kitoto alichozaa mwenyewe, binadamu hawezi kufanya hii, sivyo?
Rejea Bob Marley: would u let the system make u kill ur brother man, no dread no!
Yaani system inifanye mie nivue naniliu? I had a mate college alikuwa anasema ukiniona na lecturer ujue nimemtamani ila si kwa marks. Maskini mzanzibari wa watu alifeli kichwa chini miguu juu, ila namheshimu hadi leo!
Umeanza kukwepa maswali The Boss, leo charge haitaisha...lol
Sema tu kuhusu Infii na elimu ya kinababa....lol
Umeanza kukwepa maswali The Boss, leo charge haitaisha...lol
Sema tu kuhusu Infii na elimu ya kinababa....lol
niseme tu kwanza i am so proud of you
una represent vizuri as mrs boss....
unanifurahisha.....
pili kuhusu ile thread ya nyumba ndogo katazame vizuri utagundua ilikuwa nyerere day siku ile
si ilikuwa a gift ya kuwachangamsha watu....shauri yake alie take serious lol