Wasichana wa siku hizi..na kutafuta elimu..........

Wasichana wa siku hizi..na kutafuta elimu..........

@jmushi1
Kwa kweli kama taifa vinavyotuunganisha ni vichache kuliko vinavyotugawa.
Ata point tulikuwa tumefikia kuona kama ni wamoja lakini kwa sasa hivi kuna drift kubwa inaendelea kutokea
hasa ya kikabila, kidini, kimitizamo ya chama.

Hapa kuna ulazima kama taifa kuja na kitu kimoja kitakachotuunganisha chenye mantiki
Naona Nyerere alijaribu kutumia lugha ya kiswahili, utani kati ya makabila, vijiji vya ujamaa
Lakini vitu hivi vyote kwa sasa naona mantiki yake inapungua
Mfano utani kati ya makabila, kwa sasa si kiviile maana kuna generation inayokuja ambayo haijui lolote kuhusu makabila yao na wala huo utani hauwezi kuwa na mantiki katika vichwa vyao.
Nchi nyingi zilizofanya mapinduzi na kupiga hatua ziliunganishwa na umasikini, unyanyasaji na ufisadi, what else do we need?

Matatizo haya yote yanatokana na hayo matatu hapo juu.

Leo nasikia kuna maandamano ya wanaharakati, lets see how much it will unite the country.
 
Nakubaliana na wewe
matatizo yanaweza kuwa mojawapo ya kiunganishi
lakini je tuko tayari kuunganishwa?
Tuko tayari kuona beyond dini, kabila na tofauti zingine?

Ili kuungana lazima tuwe na uelewa wa kusimamia tunachokiamini.
Tuna uelewa huo?

Hao walioandamana utashangaa kuna watakaowapinga kwa nguvu zote.

Nadhani tu-invest katika kuelimisha jamii zaidi kujitambua na kuweza kusimamia inachokiamini.

Nchi nyingi zilizofanya mapinduzi na kupiga hatua ziliunganishwa na umasikini, unyanyasaji na ufisadi, what else do we need?

Matatizo haya yote yanatokana na hayo matatu hapo juu.

Leo nasikia kuna maandamano ya wanaharakati, lets see how much it will unite the country.
 
Back
Top Bottom