ChaiNenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
Ni kweli ila sio wote mkuumbona ni kawaida kwa mammals, majike kuwa madogo kimaumbile kuliko madume?
Ebu Twambie wanapatikana wap Mkuu??Ni kweli ila sio wote mkuu
Hapa upo sahihiWaha mwisho futi nne na nusu,unakutakana watoto wanne,ukikaangalia na kenyewe ni kama katoto
Wachuga wengi warefu mkuu na baadhi ya wasukuma mkuuEbu Twambie wanapatikana wap Mkuu??
Ni Nature tu kakaIvi kuwa mrefu au mfupi ni maamuzi ya mtu binafsi?
wachache ndo warefuNi kweli ila sio wote mkuu
Sasa jamaa mbona hoja yake ameiweka kana kwamba mtu anaamua kimo chake?Ni Nature tu kaka
EvidenceLishe ndo tatizo plus poor lifestyle since childhood into adulthood.
Sawa MkuuWachuga wengi warefu mkuu na baadhi ya wasukuma mkuu
Jaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili