Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana aise mbegu chafu zimezidiNenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
Hiyo milioni unayo mkononi au mpaka uibe password ya VICOBA?Njoo umuone binti yangu wa "fomtu" alivyo tolo.Tena si tall tu ni "long-preson"!Waha mwisho futi nne na nusu,unakutakana watoto wanne,ukikaangalia na kenyewe ni kama katoto
Hili nalo neno. Nendeni mkalitizameNenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
Oooh yeah!Form two futi sita ?
Luca au yule mzee wa mastories?Luca anajiandaa na press conference saa kumi atueleze kuhusu muundo wa magari anayotumia mama.mchumba hivi mimi ni mrefu au andunje?
Lete picha.Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
View neno mchumba hapo ujue ni yupiLuca au yule mzee wa mastories?Luca anajiandaa na press conference saa kumi atueleze kuhusu muundo wa magari anayotumia mama.
Kumbe ni vibwengo?Ni wafupi mno hata Ukiwapiga picha hawaonekani unaona upepo tu
Hapo umemtwanga nyundo ya utosi. Mark Zuckerberg ni mfupi lakini ana ukwasi wa kutisha.Jaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,
Wakorea waliokutengenezea samsung ni warefu kama Watusi? Wa Hindi waliokutengenezea TATA, Mahindra nk, ni warefu kama wasudani kusini?
Eron musk ni mrefu kuliko Hashim thabit?kampuni yake yq tweeter ina mapato makubwa kuriko mapato yote yq nchi hamsini za Africa!
Wachina wanaowajengea kila kitu, ni warefu?
Kwa u bongo unatakq Uwe mrefu uvutie madem, na kuwa na pipe kubwa basi,
African race ni dini na ngono basi, na kula bata
Duh, unataka serikali iingilie kati uumbaji wa mola?Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili