Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,

Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,

Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
Sana aise mbegu chafu zimezidi
 
Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,

Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,

Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
Hili nalo neno. Nendeni mkalitizame
 
Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,

Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,

Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
Lete picha.
 
Jaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,
Wakorea waliokutengenezea samsung ni warefu kama Watusi? Wa Hindi waliokutengenezea TATA, Mahindra nk, ni warefu kama wasudani kusini?
Eron musk ni mrefu kuliko Hashim thabit?kampuni yake yq tweeter ina mapato makubwa kuriko mapato yote yq nchi hamsini za Africa!
Wachina wanaowajengea kila kitu, ni warefu?
Kwa u bongo unatakq Uwe mrefu uvutie madem, na kuwa na pipe kubwa basi,
African race ni dini na ngono basi, na kula bata
Hapo umemtwanga nyundo ya utosi. Mark Zuckerberg ni mfupi lakini ana ukwasi wa kutisha.

Leo Messi ni Andunje ana ukwasi wa kutisha. Sasa sijui urefu unasaidiaje mtu kujikwamua kiuchumi.

Sudan Kusini ina watu warefu dunia hii hakuna lakini ndilo taifa masikini kuwahi kutokea ulimwenguni.

Urefu ama ufupi hauna nafasi kwenye masuala ya akili na ubunifu bali mtu mwenyewe alivyoji shape tangu akiwa mdogo.
 
Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,

Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,

Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
Duh, unataka serikali iingilie kati uumbaji wa mola?
 
Back
Top Bottom